MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,415
- 4,881
Ndiyo maana katiba ya Warioba haitapita bila kufanya uchaguzi wa mbinde wa kulinda mkondo wote wa kura. Maana Lubuva hata akifa atatangaza matokeo.Ile rasimu ya Warioba ikifanikiwa kupita ndo utakuwa mwisho wa CCM wananchi wakiamua wanaweza .Hakuna nguvu ya umma iliwahi kushindwa.
Hii ni michezo ya kitoto inayochezwa na watu wazima ambao hamnazo.