Kwanini ugonjwa wa Ebola huwa hauvuki mpaka wa DRC kuingia nchini?

tofautisha vifo na pretext!!

Wakisema watu wameuliwa na magaidi wanakuaga hamna aliyekufa??
Vifo vipo na wanaokufa wanakuepo lakini ugonjwa huwa n wakutengeneza ili utumike na si naturally!
Chukulia kama ilivo kua covid
Kwamba Huwa wanapandikiza HOFU Kisha vifo vinatokea? Au tuseme Huwa virus Huwa wako kwenye briefcase zao?
 
Ukisikia uchawi ndo huu sasa. Ina maana unaomba hiyo balaa itufikie na siye? Huo ugonjwa huwa haumpi nafasi ya mtu kusafiri nao mbali, huwa unamaliza biashara mapema!
Umeelewa vibaya,

Nimeuliza kutaka majibu,

Yaeza kuwa tunao ulinzi, ni vizuri kujua ulinzi huo, yaeza kuwa ni Siri ya Wachache, siku wakiondoka, huoni kuwa tutataabika mbeleni?
 
Kwamba Huwa wanapandikiza HOFU Kisha vifo vinatokea? Au tuseme Huwa virus Huwa wako kwenye briefcase zao?
mkuu we ni ngumu kukuelewesha shida huelewi chochote !! Jifunze kwanza mambo ya geopolitics.
Ndio utajua vizuri unaonekana uko total blind
Na wanaojua hawawezi kuongea hapa..,, Niulize why tena🤔
 
mkuu we ni ngumu kukuelewesha shida huelewi chochote !! Jifunze kwanza mambo ya geopolitics.
Ndio utajua vizuri unaonekana uko total blind
Na wanaojua hawawezi kuongea hapa..,, Niulize why tena🤔
Unashauri nitumie njia Gani Ili watu wanaoijua waongee hapa?

Ikiwa Kuna Hila ndani ya ugonjwa huo, huoni huruma Kwa ndugu zetu wakongo Ili tujue njia njema kuwasaidia?
 
Unashauri nitumie njia Gani Ili watu wanaoijua waongee hapa?

Ikiwa Kuna Hila ndani ya ugonjwa huo, huoni huruma Kwa ndugu zetu wakongo Ili tujue njia njema kuwasaidia?
😂😂😂bro una miaka mingap?? really??

Ok Kuna njia nyingi za kuvuta watu wenye weredi kwene uzi wako!

1.Lazima uwe unajua unachoelezea au unachouliza atleast 60%
Hii inamaanisha uandike nondo na uwe deep.
Hapo hujitokeza kukosoa, kuchangia, au kuboresha.

2.Uwe n blind kubwa au coporation ya news then una invite known expert kwene field husika kama zinavofanya media kubwa then zinawahoji.
mfano bbc, cnn, al jazeera

3.Uwe na pesa kufanya consultation kwa ajili ya kujadili au kushauri kitu husika kwa field husika njia n nyingi.

Otherwise utapata walopokaji na wachangiaji wa kupoteza muda,wasiojua chochote nao wamekuja kusikiliza

Actually njia ni nyingi lakin other wise No.
Ndo maana hata wenye idea za hela hawashei na masikini. Watu wanafanya kitu ili kugain not otherwise
 
😂😂😂bro una miaka mingap?? really??

Ok Kuna njia nyingi za kuvuta watu wenye weredi kwene uzi wako!

1.Lazima uwe unajua unachoelezea au unachouliza atleast 60%
Hii inamaanisha uandike nondo na uwe deep.
Hapo hujitokeza kukosoa, kuchangia, au kuboresha.

2.Uwe n blind kubwa au coporation ya news then una invite known expert kwene field husika kama zinavofanya media kubwa then zinawahoji.
mfano bbc, cnn, al jazeera

3.Uwe na pesa kufanya consultation kwa ajili ya kujadili au kushauri kitu husika kwa field husika njia n nyingi.

Otherwise utapata walopokaji na wachangiaji wa kupoteza muda,wasiojua chochote nao wamekuja kusikiliza

Actually njia ni nyingi lakin other wise No.
Ndo maana hata wenye idea za hela hawashei na masikini. Watu wanafanya kitu ili kugain not otherwise
Mfano wewe,

Unauza hizo taarifa Bei Gani, nione kama naweza kuafford!!
 
Salaam, shalom!!

Kama mada inavyojieleza, mwandishi angependa kupata majibu sahihi ya kisayansi, Kwanini ugonjwa huu wa kuambukiza huwa hauvuki mipaka japokuwa watu huvuka kuja Tanzania na kuingia DRC?

Karibuni Kwa majibu🙏
Usiogope, Point of entry surveillance system ya nchi yetu ipo juu sana. Any case can be picked hata kabla ya kufika nchini
 
Usiogope, Point of entry surveillance system ya nchi yetu ipo juu sana. Any case can be picked hata kabla ya kufika nchini
Ndio nataka kujua japo Kwa uchache jinsi tulivyo Imara Ili nimshukuru zaidi Mungu Kwa kuniweka katika pande hili la ardhi lililobarikiwa sana!!
 
Salaam, shalom!!

Kama mada inavyojieleza, mwandishi angependa kupata majibu sahihi ya kisayansi, Kwanini ugonjwa huu wa kuambukiza huwa hauvuki mipaka japokuwa watu huvuka kuja Tanzania na kuingia DRC?

Karibuni Kwa majibu🙏
Oh,Oh; we Rabbon tema mate hapo chini. Wacha bhana mambo hizi unaweza kumshtua huyo mzimu wa Ebola na katika kukurupuka kwake akaingia Tz. Usituombee hilo aisee. Acha likae huko liliko na liishie huko huko.
 
Oh,Oh; we Rabbon tema mate hapo chini. Wacha bhana mambo hizi unaweza kumshtua huyo mzimu wa Ebola na katika kukurupuka kwake akaingia Tz. Usituombee hilo aisee. Acha likae huko liliko na liishie huko huko.
No, umeelewa vibaya!!

Nataka nijue ulinzi nilionao Kwa faida ya vizazi vijavyo,

Maana wengine hudhani jambo hili ni Bahati mbaya,

Na wapo wengi wanaodhani Nchi hii ni mchezo mchezo,

Nia ni kuinua UZALENDO, watu waipende, wailinde na kuithamini Nchi Yao.

Nia ni njema ndugu!!
 
Back
Top Bottom