Shida kubwa katika nchi hii mawaziri kuingia mikataba bila kufika kwa wananchi yaani bungeni ili kujadiliwa kujua manufaa yake. Ndio maana akiingia kiongozi fulani anaona mwenzeka kaharibu alitakiwa kufanya hivi na hii yote ni kutaka kupata tenda mpya ambayo na yeye atapata maslahiNafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.
Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.
Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.
Tukajifunze.
Hii ndio inasababisha miradi kuishia njiana huku pesa imetumika bila kutoa matoke chanya