TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
Kwa hiyo pesa natengeneza mashimo matatu ya kudumu.
Kweli kabisa,,,
Kwa hiyo pesa natengeneza mashimo matatu ya kudumu.
Effluent kwenda kuunga a na water level. Just 30Cm above water level. If I got you well. It is Completely unacceptable for public Health(Water Pollution). Ground water will be polluted with( fecal coliform)/ Escherichia coli. And isn't env friendly.Ni rafiki,ndo maana nimetoa maelezo kuwa asilimia kubwa tumefanya kazi kwa kwenye maeneo hayo kwa sababu unakuta mtu kishachoka na adha hiyo.
Second: Free water from biodigester inaelekezwa kuungana na water level,and the system should placed just high 30cm above it.
System haifi Mkuu kwa kutumia kinyesi,tp,Maji ya bafu,Maji ya jiko.ila ukianza kutupia madude magumu they are non biodegradable kwahiyo utasababisha kufail,Kama haijai kwanini msitoe life time warranty? Au system huwa inakufa baada ya muda? Kama inakufa gharama za replacement au service zikoje? Nataka nilinganishe gharama za kuleta lori la kunyonya na ku-maintain system yenu.
Me nimejenga shimo la Urefu wa ft12 nimejengea na mawe Yale yanayonyonya maji,,,,nimetumia laki Saba tu,,Yaah inawezekana,mashimo hayana standard hata kwa laki 6 unaweza kuyachimba,sikatai.
Nakuunga mkono kabisa, mtoa mada weka maelezo yako ameweka presentation sawa ila sio wote hupenda kusikiliza zaidi kama kusoma wengine kusoma wanapenda na kuelewa zaidi.. Na kama ni kazi yake anahtaji wateja ajotoe tangaza kwel aandike watu wanapromote kazi wanaandika hadi page 5 huko yeye ameweka picha tuMtoa maada mvivu kuandika
Nakuunga mkono kabisa, mtoa mada weka maelezo yako ameweka presentation sawa ila sio wote hupenda kusikiliza zaidi kama kusoma wengine kusoma wanapenda na kuelewa zaidi.. Na kama ni kazi yake anahtaji wateja ajotoe tangaza kwel aandike watu wanapromote kazi wanaandika hadi page 5 huko yeye ameweka picha tu
maelezo mengi wengi wanachoka,napenda briefing na kwa vile si maramoja kuleta huu Uzi ,nyuzi za nyumba nilieleza kwa kirefu sana na kuna maswali mengi sana na majibu mengi na hadi feedback ya watu ambao walitutafuta na kuwapeleka site mbalimbali tulipoweka,so leo ilikua kama kukumbushia tu,Nakuunga mkono kabisa, mtoa mada weka maelezo yako ameweka presentation sawa ila sio wote hupenda kusikiliza zaidi kama kusoma wengine kusoma wanapenda na kuelewa zaidi.. Na kama ni kazi yake anahtaji wateja ajotoe tangaza kwel aandike watu wanapromote kazi wanaandika hadi page 5 huko yeye ameweka picha tu
Sasa m3 mbona xpnsive sana? Si bora nichimbe mashimo tu.Kwa dar 3mil kwa nyumba mpya,
Mcheki jamaa 0784934147 Director
Ahsante mkuu. Hii technology ilishafanyika kwa wenzetu ikafanikiwa au ndo imeanzia hapa nchini kwetu?
Maana kinyesi hususani cha binadamu sio kitu cha kukifanyia masihara na majaribio.