sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
, Siku hizi imekuwa ni kawaida sana wazazi kujua kijana wao ana boyfriend ama girlfriend na wazazi hawana shida.
Hapo wazazi wanajua kabisa kwamba vijana wanasex ila wanaona ni sawa tu, na hii imepelekea wazazi wawe wanawapa vijana sex edication kuwaasa watumie mipira (condom), ila muda huo huo wanawahamasisha wawe wanaenda kanisani.
Hali hii huwa inaendelea hadi mtu anafika miaka 33 hajaoa, kazoea zaidi mahusiano ya ma Girlfriend na ma Boyfriend.
Ni sawa kupuuza?
Hapo wazazi wanajua kabisa kwamba vijana wanasex ila wanaona ni sawa tu, na hii imepelekea wazazi wawe wanawapa vijana sex edication kuwaasa watumie mipira (condom), ila muda huo huo wanawahamasisha wawe wanaenda kanisani.
Hali hii huwa inaendelea hadi mtu anafika miaka 33 hajaoa, kazoea zaidi mahusiano ya ma Girlfriend na ma Boyfriend.
Ni sawa kupuuza?