mtoa uzi ujue kabisa kuna watu wamefungwa, wengine wamepata shock na kufa, wengine wamefukuzwa kazi kisa wamegushi, sawa tuseme waliokufa washatangulia mbele za haki hawa waliofungwa na kufukuzwa nao warudishwe makazini na haki zao wapewe, kwani hatukuwahi kusikia wameua au kashfa na walikuwa wanafanya kazi kwa uadilifu kabisa, kama atazidi kumkingia kifua watz wote bila kujali itikadi za vyama hawatakaa kimya,Poleni na majukumu wana JF,
Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.
Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.
Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?
Ni wazo tu karibuni tujadili hili.
Asanteni.
Kama unafikiri Makonda ana pambana madawa ya kulevya umepotoka,Makonda ana pambana na watu binafsi wanaopambana na madawa kulevya wapo na wanapambana kisayansi na hawana pyeepyepye kama za Makonda wako huyo,na kazi ya kupinga madawa ya kulevya siyo ya leo ilianza kabla hata Makonda hajaliona jua.Poleni na majukumu wana JF,
Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.
Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.
Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?
Ni wazo tu karibuni tujadili hili.
Asanteni.
Kwani tatizo vyeti tu?Kwani vyeti ndo vinavyofuatilia madawa?
Ni kama vile huelewi jambo ulilolileta hapa!Poleni na majukumu wana JF,
Kila kukicha sikosi kuona uzi wa member kuzungumzia vyeti vya PAUL MAKONDA mpaka hufikia kuchoshwa na swala hili la nyeti.
Sasa nimewaza kwanini tusiache kwanza mambo ya vyeti tukajikita kwa maswala yale ya madawa maana naona kama mmemkatisha tamaa ya hatua nyingine ya kuwataja wale ambao alisema akimtaja mtu habahatishi.
Yawezekana waliyotajwa wanapiga madongo kwa kujihami?
Ni wazo tu karibuni tujadili hili.
Asanteni.
Kwahiyo na wewe unaamini kuwa ili kiongozi /mfanyakazi aonekane kuwa ni mtenda kazi mzuri ni lazima ashinde Kwenye media daily!?Mkuu ujue nmewaza baada ya kuona kama swala la madawa linapotea vile?
Weka post yako yenye maana basi 2ione mkuu ambayo wewe unaweza kumrithisha mwanao!Mkuu nakuomba tu usimrithishe mwanao akili ulizo nazo kwa post hiyo.
Ili aje kuishi maisha yenye fikra chanya.
Hivi kumbe Mbowe, Wema, Masogange na T. I. D. Ndio watu wenye nguvu Tanzania kiasi kwamba walikuwa na uwezo wa kuipangia ccm mgombea wa kumsimamisha kugombea urais? Inamaana hao ndo walimweka Mwinyi, Mkapa na Kikwete?Watazungumziaje madawa huku agenda ya vyeti ililetwa kufunika vita ya madawa na ndiyo maana wauza madawa walikuwa stand byee kushurutishwa makonda atumbuliwe maana alikuwa anaenda kuharibu system yao.Hawa jamaa ni wengi na ni wazito mno na isitoshe wananguvu kiuchumi na kisiasa walikuwa wanatupangia hadi rais wa nchi hii sasa Magufuli na ndio hao hao waliomshauri Lowasa ahame akajiunge ukawa wenyewe watamchangia na kumpa suport ya kifedha maana walijua magufuli atakuja kuharibu biashara zao na madili machafu yao.
Kamishna Siang'a nae tusimpe ushirikiano!?Watanzania tuamke tumuunge mkono makonda kudili na madawa ya kulevya sio jambo dogo
Bashite acha porojo weka vyeti mezani yaishe!Nami niongezee ....Hivi kuwa na vyeti feki kuna madhara kwa taifa kuliko madawa ya kulevya....makonda alikua kwenye bunge la katiba. ...makonda alikua dc...kipindi cha kikwete...leo hii ndo vyeti vyake fake vimeleta madhara baada ya kuwataja wahusika wa madawa ya kulevya?..