Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Wapi nimeikana Sera ya majimbo??? Umekula bange nini???Unaikana sera yenu ya majimbo(kanda)????? basi kakichane kitabu chenu cha ilani, makamanda mna mambo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wambie mkuu,,, watu wanaona kiwanja Cha chato,,, mbona Dodoma Kuna kiwanja kinajengwa watu hawasemi, lkn viwanja vingap vimejengwa watu hawaongei,,, knda ya kaskazini njia ya treni imefufuliwa watu hawsemi,!Binafsi nimeiona hoja yao imejikita kwenye Chato na sio kanda ya ziwa
Haijazungumziwa meli mpya inayogusa maslahi ya wengi....
Nenda TRA kaangalie barua zetu za kufunga biashara kutokana na kodi kandamizi.
Mbona wengine hawafungi hizo biashara,,, hao wengine wapo nchi gani mkuu,,? We ulikua mpiga dili tuNenda TRA kaangalie barua zetu za kufunga biashara kutokana na kodi kandamizi.
Enzi hizo ilikuwepo NCCR kamanda
Lissu anachuki na Magufuli tangu alipozaliwa.Ndugu zangu,
Ukiwasikiliza na kusoma makala za Tundu Lissu na CHADEMA ni dhahiri wanatoa ujumbe kuwa eneo la Kanda ya Ziwa lisingestahili kuwa na chochote, naam wanaichikia Kanda ya Ziwa na kupinga maendeleo yake kitu ambacho ni hatari na wanapaswa kuadhidhibiwa kwenye sanduku la kura. Kwa ufupi:
Tumeshuhudia meli mpya na ukarabati wa meli za zamani kwa Ziwa Tanganyika, Nyasa na Victoria lakini Tundu na Chadema wananuna na Mv Victoria.
Tumeshihudia ujenzi wa viwanja vya ndege zaidi ya 11 vipya na kuweka rada Kilimnjaro, Mbeya na Mwanza. Lakini Tundu na Chadema wanachukia uwanja wa Chato na rada ya uwanja wa Mwanza.
Kumejengwa madaraja kadhaa juu ya mito na bahari ikiwemo Salender na Kigamboni lakini Tundu Lissu na Chadema wanachukia daraja la busisi.
Kumejengwa bandari kadhaa kwenye Ziwa Tanganyika, Nyasa na Victoria lakini Tundu Lissu na Chadema wamekasirishwa na ujenzi wa gati ya Musoma iliyopo Mwigobero.
Chuki hii ya Tundu na Chadema inayopandikizwa dhidi ya kanda ya Ziwa itawacharaza.
Kama waneanza kutengenezewa mawazo ya kibaguzi kwa misingi ya kikanda na vinginevyo na wanakubali ama wanaaelekea kukubaliana na Hali hiyo,sisi tuwasaidieje zaidi ya kuwataka wabadilike ama wasubiri kupambana na hali zao.Ndugu zangu,
Ukiwasikiliza na kusoma makala za Tundu Lissu na CHADEMA ni dhahiri wanatoa ujumbe kuwa eneo la Kanda ya Ziwa lisingestahili kuwa na chochote, naam wanaichikia Kanda ya Ziwa na kupinga maendeleo yake kitu ambacho ni hatari na wanapaswa kuadhidhibiwa kwenye sanduku la kura. Kwa ufupi:
Tumeshuhudia meli mpya na ukarabati wa meli za zamani kwa Ziwa Tanganyika, Nyasa na Victoria lakini Tundu na Chadema wananuna na Mv Victoria.
Tumeshihudia ujenzi wa viwanja vya ndege zaidi ya 11 vipya na kuweka rada Kilimnjaro, Mbeya na Mwanza. Lakini Tundu na Chadema wanachukia uwanja wa Chato na rada ya uwanja wa Mwanza.
Kumejengwa madaraja kadhaa juu ya mito na bahari ikiwemo Salender na Kigamboni lakini Tundu Lissu na Chadema wanachukia daraja la busisi.
Kumejengwa bandari kadhaa kwenye Ziwa Tanganyika, Nyasa na Victoria lakini Tundu Lissu na Chadema wamekasirishwa na ujenzi wa gati ya Musoma iliyopo Mwigobero.
Chuki hii ya Tundu na Chadema inayopandikizwa dhidi ya kanda ya Ziwa itawacharaza.
Ukiambiwa wewe ni nyumbu inabidi ujifikirie. Bila daraja la uhakika huo Uhuru na Haki atatumiaje akiwa mfungwa eneo lake? Hoja KiojaWatu hawali Madaraja, hivi CCM mmeshindwa kabisa namna ya kufikiria nje ya Madaraja na Mabarabara!?
haya sasa na kalemani alisema chato kunajengwa kiwanja cha mpira chenye hadji kuliko viwanja vyote nchi hii,wewe unaona sawa?mwanza na chato wapi palistahili au angalau geitaMleta mada muongo ziwatanganyika kwasasa hakuna meli iliyokarabatiwa na inayokarabatiwa wala hakuna meli mpya inayoundwa kwanza kwahapo tu wewe nimuongo pia tumesema muda mwingi maendeleo yanapendwa ndiolengoletu lakini kunautaratibu tuliojiwekea haukufwata inatowa mwanya kuonesha kunamatumizi mabaya ya ofice unatakiwa ulijue hilo chadema iliukombozi upatikane inawapenda kanda yaziwa inawaihitaji haiwachukii tafuta namnanyingine uwachonganishe.
Mpo wangapi kamanda?
Mbona wengine hawafungi hizo biashara,,, hao wengine wapo nchi gani mkuu,,? We ulikua mpiga dili tu
Hv ukiwa chama cha kijani moja ya sifa ni uvivu wa kufikiri na uzushi?Ndugu zangu,
Ukiwasikiliza na kusoma makala za Tundu Lissu na CHADEMA ni dhahiri wanatoa ujumbe kuwa eneo la Kanda ya Ziwa lisingestahili kuwa na chochote, naam wanaichikia Kanda ya Ziwa na kupinga maendeleo yake kitu ambacho ni hatari na wanapaswa kuadhidhibiwa kwenye sanduku la kura. Kwa ufupi:
Tumeshuhudia meli mpya na ukarabati wa meli za zamani kwa Ziwa Tanganyika, Nyasa na Victoria lakini Tundu na Chadema wananuna na Mv Victoria.
Tumeshihudia ujenzi wa viwanja vya ndege zaidi ya 11 vipya na kuweka rada Kilimnjaro, Mbeya na Mwanza. Lakini Tundu na Chadema wanachukia uwanja wa Chato na rada ya uwanja wa Mwanza.
Kumejengwa madaraja kadhaa juu ya mito na bahari ikiwemo Salender na Kigamboni lakini Tundu Lissu na Chadema wanachukia daraja la busisi.
Kumejengwa bandari kadhaa kwenye Ziwa Tanganyika, Nyasa na Victoria lakini Tundu Lissu na Chadema wamekasirishwa na ujenzi wa gati ya Musoma iliyopo Mwigobero.
Chuki hii ya Tundu na Chadema inayopandikizwa dhidi ya kanda ya Ziwa itawacharaza.
Hujui Singida Kuna migodi??? Hujui dodoma kuna mapori ya akiba??? Hujui Dodoma kuna ranchi zinazouza nyama??? Hujui singida wanazalisha sana alizeti na wana viwanda vidogo vya alizeti vingi sana????Yani wanataka watugawe kikanda,,, Kanda ya Kati kutakua na maendeleo gani,,? Mfano mkoa kama singida au shinyaga utakua na maendeleo gani,
Mwambieni Lisu aongee hoja za kueleweka
Wanatia huruma hawa watu. Akili za CCM zimejaa funza badala ya akiliHv ukiwa chama cha kijani moja ya sifa ni uvivu wa kufikiri na uzushi?
Mbona wengine hawafungi hizo biashara,,, hao wengine wapo nchi gani mkuu,,? We ulikua mpiga dili tu
Swali la kipumbavu kweli kweli