Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Endeleeni tu na propaganda zenu uchwara!! Mnafikiri watanzania ni wajinga sana!!!Ukanda ni sera ya chadema na iko kwenye ilani yenu kwamba mtaundo serikali za kikanda mkibatiza jina la majimbo, hata utawala wenu kichama uko kikanda.Watanzania wameshituka, ni ubaguzi mbaya sana kwani ukanda utaumiza kanda zisizo la rasilimali nyingi kama Dododma, singida Irigna na kadhalika. Sera ya ccm ni uchumi jumuishi kwa nchi nzima, keki inagawanwa kimkoa, kiwilaya na kikata. Malengo ya milenia yanasisitiza usawa wa ugawaji wa rasilimali za nchi. Leo chadema wanakuja na ukanda a.k.a majimbo. TUMESHTUKA, BORA NYUMBANI KUMENOGA, CCM Hoyeeeeee
Soma bajeti ya mwaka huu 2020/2021 mliyokimbia kuipitisha eti kisa corona, kuna ujenzi wa meli mbili ziwa tanganyika ya mizigo na ya Abiria, pia UJENZI WA BANADARI YA KALEMA itakayohudumia Congo na Burundi
Kwani hao watu ni Lissu???? Wapi Lissu amehoji ujenzi wa daraja la busisi???Chato si kanda ya ziwa?fuatilia hoja zao hata humu wameleta hoja za kulaani ujenzi wa daraja la busisi
Ndo maana chadema mnasema badala ya kujenga daraja la busisi watumie hizo fedha kuwanunulia hao watu chai na maandazi wale Hadi waache.Watu hawali Madaraja, hivi CCM mmeshindwa kabisa namna ya kufikiria nje ya Madaraja na Mabarabara!?
Nimeangalia mapokezi ya JPM n mkutano wake leo ni wazi mgombea wa chama changu hana chake kanda ya ziwa. Mimi nasema kweli tu.
..Unakumbuka Ofisi ya Spika iliyojengwa Urambo?
..CCM walikuwa wakiitetea kama wanavyotetea uwanja wa ndege wa Chato.
..Chato International Airport haitumiki sasa hivi, ni afadhali fedha hizo zingeelekezwa kwenye miradi inayowagusa wananchi.
Kwani mmezuiliwa akufanya kazi wehu nyie. Fanyeni kazi mpate pesaUnapomwacha mwanao avae suruali iliyotoboka huku unanunua iPhone ya M.2 huo ni upumbavu.
Tundu Lissu anapinga ule ujenzi wa Chato Airstrip uliogharimu mabilioni bila sababu maalumu
Ndo maana chadema mnasema badala ya kujenga daraja la busisi watumie hizo fedha kuwanunulia hao watu chai na maandazi wale Hadi waache.
Kwani mmezuiliwa akufanya kazi wehu nyie. Fanyeni kazi mpate pesa
Tutampa somo.Mfundisheni Tundu mambo ya kuzungumza
Somo la Mayanga wananchi wanalielewa saaaana.Tutampa somo.
Hapa ndipo mnapoharibu makamanda. Somo la Mayanga litaubeba?Somo la Mayanga wananchi wanalielewa saaaana.
Nakuona Gwajima!! Ubaya umeweka cover ya uchadema ila ugwajima hauwezi kujifichaHapa ndipo mnapoharibu makamanda. Somo la Mayanga litaubeba?
Ndio litawabeba.Hapa ndipo mnapoharibu makamanda. Somo la Mayanga litaubeba?
Tuheshimiane kamanda.Nakuona Gwajima!! Ubaya umeweka cover ya uchadema ila ugwajima hauwezi kujificha
Mpuuzi wa Lumumba wewe yangu lini ukawa kamandaTuheshimiane kamanda.
Ahaaa. Hawa ccm sio. Wamewakamata? Au kamanda unaleta porojo? Porojo ambazo hazisaidii.Ndio litawabeba.
Vipi kuwaweka watu wa Bukoba ndani kisa wamewakataa kutawabeba nyinyi wana CCM?