Magoya2000
JF-Expert Member
- May 7, 2017
- 575
- 1,131
Habari wapendwa,
Poleni na miangaiko ya hapa na pale!
Leo nimeona tushirikiane kwenye hii mada ya kuuza mechi!
Naamini wahenga wanaelewa nini namaanisha. Nimejaribu kupita sehemu mbalimbali na tofauti katika kujivinjari na hii jinsia tofauti na sisi wa kiumeni.
Ukweli tatizo linalotukabili mpaka tunauza mechi ni hili la kujifanya wewe ni rijali na unasimama kwenye game vizuri.
Ukweli ni kwamba ukichukua machine na kupiga bao mbili na protector Mara nyingi mtu huwezi kwenda zaidi ya tatu.Hivyo ili tujione vidume tunaamua kuuza mechi ili kukamilisha idadi ya nne au tano.
Rai yangu tusiuze mechi maana tunajihatarisha ni bora kubaki mbili au tatu safe kuliko kuuza mechi upate tano.
UKIMWI upo! Be careful my friend!
Poleni na miangaiko ya hapa na pale!
Leo nimeona tushirikiane kwenye hii mada ya kuuza mechi!
Naamini wahenga wanaelewa nini namaanisha. Nimejaribu kupita sehemu mbalimbali na tofauti katika kujivinjari na hii jinsia tofauti na sisi wa kiumeni.
Ukweli tatizo linalotukabili mpaka tunauza mechi ni hili la kujifanya wewe ni rijali na unasimama kwenye game vizuri.
Ukweli ni kwamba ukichukua machine na kupiga bao mbili na protector Mara nyingi mtu huwezi kwenda zaidi ya tatu.Hivyo ili tujione vidume tunaamua kuuza mechi ili kukamilisha idadi ya nne au tano.
Rai yangu tusiuze mechi maana tunajihatarisha ni bora kubaki mbili au tatu safe kuliko kuuza mechi upate tano.
UKIMWI upo! Be careful my friend!