KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,999
Kutuma pesa toka NMB kwenda m-pesa nk ni gharama kubwa Sana ukilinganisha na m-pesa kwenda m-pesa au mitandao mingine.Huyo mleta mada hajafanya ulinganishi.elimu hii ndio mim naitaka.mkuu em nijulishe ni benk gan hio kutuma wanakata. hivyo.mana mabenk meng wameficha kweli makato yao.yan unakua una guess tu sijui hapa wanakata kias gan kutoa,kuweka,kuhamisha.
ushauri.watuwekee viwango vyao vyote makato,kuweka kutoa.sio kuyatafutaaa weee kwa toch yawe hadharan tu kwenye user interface rahisi tu like ukifika Atm unakuta kabisa wamebandika unajua unajihukum vip
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umejichanganya nimezungumzia benk, lakini naona bado mnataka kutoka benki kuja kwenye simuKutuma pesa toka NMB kwenda m-pesa nk ni gharama kubwa Sana ukilinganisha na m-pesa kwenda m-pesa au mitandao mingine.Huyo mleta mada hajafanya ulinganishi.
Rer kwenye jibu langu kwenye hiyo comment ya juuNMB TO Mobile Transfer
From: 1,000 - 5,000 makato800
From: 5,001 - 30,000makato 2,800
From: 30,001 - 100,000makato 3,400
From: 100,001 - 600,000makato 4,920
From: 600,001 - 1,000,000makato 5,500
From: 1,000,001 - 2,000,000 makato 6,500
Hapo bado huyu mpokeaji ajakatwa pesa ya kutole.
Kwa gharama hizi,mimi nitaendelea kutumia simu tu.
You are asking the obvious.Hii sio hypothesis, imeshakuwa proven kwa tafiti zilizofanywa na wengine wanaotafiti kuhusu poor economics.
Iko hivi ni rahisi kujua kuwa gharama za kutuma na kutoa fedha kwa kutumia simu, iwe M-pesa, Tigo pesa nk ni gharama zaidi kuliko kutumia benki i.e ATM ambazo zimetapakaa nchini.
Kwa maeneo kama Dar, ATM zimetapakaa maeneo mbalimbali na zaidi benki nyingi zinatumia mitandao mikubwa kama VISA, MASTARCARD, MAESTRO nk ambayo haikupi ulazima wa wewe kutafuta benki yako ili kutoa fehda.
Mbali na hayo bado watu wamekuwa wakitumia zaidi mitandao ya simu ambayo ina gharama kubwa za huduma zao kuliko benki, Je shida iko wapi.
Wewe kama mdau unayetumia simu kufanya miamala, Je unadhani ni kipi kinakufanya ukae humo ukizingatia gharama ni kubwa?
Nadhani watu wa benki wanaotengeneza mifumo ya masoko wanaweza kuwa na njia nzuri ya kuweza kujua namna gani ya kuwanasa watu ambao wanatumia simu badala ya benki ambazo zina gharama nafuu.
Hypothesis: Watu hawatumii benki kwa kuwa benki zinaonekana kama ni za watu fulani wenye hadhi na fedha nyingi (It can be tested)
Au ni kuwa watu huwa hawana muda wa kujua kuhusu gharama za masuala ya kifedha.
Signed
Oedipus
Hiyo ndio ugomvi wao na sisi wateja. Ndio maana mtu akiwa na heka mbuzi zinapotea bila habariMIMI NINA SWALI MOJA.
KWA NINI HAWAPRINT GHARAMA ZA KUWEKA,KUTOA,KUTUMA NA KUHAMISHA IWEPO KARATASI NTU UKIFIKA TU KWENYE ATM UNAIONA NCHANA KWEUPEE.....
??
Bank za nje zipo vema sana. Sababu zimekaa kiushindani so wanampatia mteja anachotaka.Aliyesema kufungua akaunti bank ni 20,000 namwambia hivi kesho kutwa aende NMB au CRDB akawaambie Hu kasema kufungua akaunti ni bure, hakuna cha barua ya serikali ya mtaa wala nini! ni NIDA tu.
Mimi binafsi nilifungua akaunti hizo bure kabisa ila huwa napokelea mshahara kisha nakwangua wote nahamishia BANCABC.
Huko hakuna makato yoyote, ukiweka 10000 utaikuta 10000 yako mwezi ujao. Sio hizo njemba hapo juu uki-request statement hadi unajiuliza haya makato nimekatwa mimi kama nani?! kwa BANCABC kutoa hadi milioni makato hayazidi 2000 ukitolea kwenye ATM zao, ukitumia VISA makato ni 3000.
Huko EQUITY BANK nasikia nako kumenoga, hawana makato ya mwezi na pia hata kuangalia salio ni bure kabisa.
Unajua gharama za kutoa pesa kwenye fahari huduma?Kiongozi, Chukulia mazingira ya Dar, Jinsi ambavyo ATM ziko maeneo mengi tofauti tofauti, plus unaweza kutoa hela kwa mawakala wa huduma za kifedha kama fahari Huduma na Nmb wakala
Mkuu upo sahihi nafikiri watu hatuna taarifa za kutosha ngoja Mimi nikifanyie kaziHili la kusema watu wengi hudhani kuwa benki ni kwa ajili ya watu fulani ni sahihi kabisa. Ndio maana watu wengi hawana account za bank. Lakini watu hao wengi wasio na bank accounts wana miliki simu na wanapokea na kutuma fedha kupitia accounts za simu.
Iko hivi, watu wengi hawana taarifa sahihi juu ya matumizi ya accounts za bank. Kuna rafiki zangu siku moja walikua wanang'ang'ania kuwa wataendelea kutumia CRDB kwa sababu ipo kila mahali...mimi nikawaambia sitaitumia sababu muda mwingi naishi Dar es Salaam. Je, ukienda mkoani? Nikawajibu, ni mara ngapi kwa mwaka naenda mikoani? Na nikienda hata robo mwaka haifiki narudi hapa hapa. Zaidi ntakaa week 2 tena za likizo. Kuna bank kuhamisha pesa toka bank kupeleka Tigo/voda ni bure ila kila mwisho wa mwezi unakatwa sh 250/- hata kama wamepandisha siku hizi, basi tuseme 500/- bado ni nafuu sana.
Lakini kwa nini utumie simu? Wakati kuna visa?
Kuna bank kutoa kwa visa unakatwa sh 3,000 bila kujali kiasi unachotoa. Wakati tigo kutoa laki 2 ni elfu 5. Kuna kipindi mzee alikua anaumwa kalazwa hospitali, na mimi ndio nilikua caretaker. Kuna gharama kule hospitali haziko kwenye bima, sasa ndugu na jamaa wakawa wanataka wanitumie pesa kwa simu, haki nakwambia niliwapa account yangu ya bank. Mtu akihoji niende kwa bank muda huu sijui bla bla namwambia nenda kwa wakala niwekee juat like unavyoenda kuweka tigopesa.
Ilisave sana gharama za kutolea pesa. Maana nikienda ATM navuta laki 2 mpaka 4 kwa buku wakati tigopesa ningetakiwa niwaachie elfu 10 hapo.
Cha msingi ni taarifa.
huwa nataman weweke hata rate kwamba sasa kabla hujafanya muamamla utakatwa kiasi kadhaa.yan nilifanya gizan.najirushia buku app kwenda hlopesa.nimekatwa bukuKutuma pesa toka NMB kwenda m-pesa nk ni gharama kubwa Sana ukilinganisha na m-pesa kwenda m-pesa au mitandao mingine.Huyo mleta mada hajafanya ulinganishi.
Sasa wewe kipoozeo cha watu mihamala yako ni ya kutumiwa, halafu umtumie nani hela ya kuhongwa na madanga?Mi sipendi kabisa kutuma pesa kwa simu
Sawa, lakini ushawahi jua makato ya kutoa hela kwenye ATM isyo yako? Yaani kwa VISA etc..? Kwa mfano Baclays wapo maeneo machache sana kwa hapo Dar. Unataka mtu wa Baclays afanyeje? AU mtu wa NMB.. Ikifika mwisho wa mwezi, foleni yake kwenye ATM zao kisa walimu almost wote wapo huko unaijua?Kiongozi, Chukulia mazingira ya Dar, Jinsi ambavyo ATM ziko maeneo mengi tofauti tofauti, plus unaweza kutoa hela kwa mawakala wa huduma za kifedha kama fahari Huduma na Nmb wakala