Kwanini tunapenda kutuma pesa (kwa njia ya simu) kuliko benki ambazo huwa na gharama nafuu?

Kutuma pesa toka NMB kwenda m-pesa nk ni gharama kubwa Sana ukilinganisha na m-pesa kwenda m-pesa au mitandao mingine.Huyo mleta mada hajafanya ulinganishi.
 
Kutuma pesa toka NMB kwenda m-pesa nk ni gharama kubwa Sana ukilinganisha na m-pesa kwenda m-pesa au mitandao mingine.Huyo mleta mada hajafanya ulinganishi.
Hapa umejichanganya nimezungumzia benk, lakini naona bado mnataka kutoka benki kuja kwenye simu

Swai linakuja kwa nini utumie simu wakati kutoa hela benki ni gharama nafuu.

Badala ya kutoa mpesa toa kwenye ATM
 
Rer kwenye jibu langu kwenye hiyo comment ya juu
 
You are asking the obvious.

Wilaya inaweza kuwa na ATM machines kumi tena zikiwa makao makuu ya wilaya. Vibanda vya kutolea/kutuma pesa vipo hata kwenye ngazi ya kitongoji kijijini.

Gharama ya kuweka ATM machine moja kama miundombinu stahili linganisha na kibanda cha Mpesa/Tigooesa/AirtelMoney.
 
MIMI NINA SWALI MOJA.
KWA NINI HAWAPRINT GHARAMA ZA KUWEKA,KUTOA,KUTUMA NA KUHAMISHA IWEPO KARATASI NTU UKIFIKA TU KWENYE ATM UNAIONA NCHANA KWEUPEE.....
??
Hiyo ndio ugomvi wao na sisi wateja. Ndio maana mtu akiwa na heka mbuzi zinapotea bila habari
 
Bank za nje zipo vema sana. Sababu zimekaa kiushindani so wanampatia mteja anachotaka.

Ila za hapa bongo zimekalia dharau tukizitema wanakuja kutubembeleza bembeleza na upuuzi wao mbwa kabisa.......

Wakiona wanashindwa ushindani wanakwenda kushitaki ccm ili kuwawekea ukiritimba bank za nje ambazo zinaperform vizuri katika soko......

Ujinga mtupu... Wanafanya biashara kipuuzi sana benki zote za tanzania.....
 
Unachoongea ni sawa na kusema kwanini watu wanapanda ndege let say Dar to Dom kwa gharama ya juu wakati kuna mabasi yanayokwenda huko kwa gharama nafuu...
 
Kiongozi, Chukulia mazingira ya Dar, Jinsi ambavyo ATM ziko maeneo mengi tofauti tofauti, plus unaweza kutoa hela kwa mawakala wa huduma za kifedha kama fahari Huduma na Nmb wakala
Unajua gharama za kutoa pesa kwenye fahari huduma?
 
Mkuu upo sahihi nafikiri watu hatuna taarifa za kutosha ngoja Mimi nikifanyie kazi
 
Kutuma pesa toka NMB kwenda m-pesa nk ni gharama kubwa Sana ukilinganisha na m-pesa kwenda m-pesa au mitandao mingine.Huyo mleta mada hajafanya ulinganishi.
huwa nataman weweke hata rate kwamba sasa kabla hujafanya muamamla utakatwa kiasi kadhaa.yan nilifanya gizan.najirushia buku app kwenda hlopesa.nimekatwa buku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nalo linahitaji research aisee, nikiwa hko kijijini interior mpka nitafte bank? Nikiwa na shida ya haraka nafanyaje? Umempa fundi kazi kamaliza sa 1 usiku unaenda bank gani kumtumia hela? Mwisho wa siku bank ina umuhimu wake na mashirika ya simu yana umuhim kwa transaction za haraka
 
Kiongozi, Chukulia mazingira ya Dar, Jinsi ambavyo ATM ziko maeneo mengi tofauti tofauti, plus unaweza kutoa hela kwa mawakala wa huduma za kifedha kama fahari Huduma na Nmb wakala
Sawa, lakini ushawahi jua makato ya kutoa hela kwenye ATM isyo yako? Yaani kwa VISA etc..? Kwa mfano Baclays wapo maeneo machache sana kwa hapo Dar. Unataka mtu wa Baclays afanyeje? AU mtu wa NMB.. Ikifika mwisho wa mwezi, foleni yake kwenye ATM zao kisa walimu almost wote wapo huko unaijua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…