sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Sina hakika na Lupaso Kwa Hayati Mkapa maana Mtwara sijafika tangu alipofariki Ila nina hakika na chato Kwa mwendazake, nina hakika na Kwa mwalimu maana niliwai fika.
Najiuliza Tunalinda marehemu kinacholindwa nini?
Nakumbuka miaka kadhaa niliwai udhuria msiba wa jamaa yangu kutoka Kagera Yule Bwana aliweka Ulinzi wa kulinda kabuli la Baba yake Kwa muda wa mwezi mmoja. Nilipomuuliza Kwa nn alifanya hivyo aliniambia alifanya hivyo ili kuepusha wachawi wasinyofoe mahiti ya Baba yake kabulini na kundi la wachawi.
Nilishanga sana lakini pamoja na ulinzi ule alio uweka, marehemu Baba yake hakumaliza hata wiki kabulini jamaa walimchomoa na kumla kama samaki hiyo ndo Kagera bhana.
Sasa najiuliza, kwanini Tunalinda Makabuli? Kwa nini Membe aliyekuwa Usalama kabuli lake halindwi? Je, membe angepenya na kuwa Rais tungemlinda? Maiti ya Membe Afisa na Membe Rais ingekuwa na tofauti gani?
Najiuliza Tunalinda marehemu kinacholindwa nini?
Nakumbuka miaka kadhaa niliwai udhuria msiba wa jamaa yangu kutoka Kagera Yule Bwana aliweka Ulinzi wa kulinda kabuli la Baba yake Kwa muda wa mwezi mmoja. Nilipomuuliza Kwa nn alifanya hivyo aliniambia alifanya hivyo ili kuepusha wachawi wasinyofoe mahiti ya Baba yake kabulini na kundi la wachawi.
Nilishanga sana lakini pamoja na ulinzi ule alio uweka, marehemu Baba yake hakumaliza hata wiki kabulini jamaa walimchomoa na kumla kama samaki hiyo ndo Kagera bhana.
Sasa najiuliza, kwanini Tunalinda Makabuli? Kwa nini Membe aliyekuwa Usalama kabuli lake halindwi? Je, membe angepenya na kuwa Rais tungemlinda? Maiti ya Membe Afisa na Membe Rais ingekuwa na tofauti gani?