deni
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 255
- 186
sijasema sayansi inapanda kwa kasi sana. Ila nimesema kuna uwezekano hapo mbeleni teknolojia ikaweza kuhuwisha kiumbe kilichokufa. pia sijasema kwamba lazima sisi kama binadamu tutafikia teknolojia hiyo ila nimesema kuna "uwezekano".kaka unaongelea kufufua maiti wakati magonjwa yanayopelelekea watu kufa ndiyo yanaongezeka regardless hiyo sayansi unayosema inapanda kwa kasi sana.
Magonjwa kama Kansa, Kisukari, Pressure nk yote haya hayana dawa hadi muda huu na yanapukutisha watu ni balaa duniani kote sasa unategemea ni lini utapata hiyo technology ya kufufua maiti? Labda uniambie ufufue maiti iwe robot.....