TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,814
- 3,155
Nchi ya kijinga hii chini ya mzanzibar sa100😕
KumbeKuna tetesi ccm wanahitaji pesa za uchaguzi mwakani hayati mkapa kwenye kitabu chake amekiri kuiba zaidi ya bil 300 kufanyia kampeni mwaka 2005 sasa imepita miaka 19 sasa pesa nyingi zinahitajika kufanyia kampeni mwakani
Chama kinachowaza kupata ushindi wa kishindo ni ngumu kuleta maendeleo matokeo yake ndio haya
Imeandikwa wapi hiyo trillion 27, na hata ikiwepo kwenye HGA na isifikiwe mtavunja vipi ushirikiano wakati makubaliano ni ya milele hata malengo yasipofikiwa?Hembu tuambiane ukweli ni mradi gani Tanzania uliofanywa ambao utaingiza trillioni 27 directly achilia mbali other multiplier, strategically ni win ,ila too emotional individuals watapiga tu makelele. Hata akina Deng Xiaping walionekana wamemsaliti MaO ila wakajenga modern day China muda utaongea .
Hiv huu ujinga utawaisha lin kichwan. Umeambiwa mkataba mbovu wewe unazungumzia mapato.Hembu tuambiane ukweli ni mradi gani Tanzania uliofanywa ambao utaingiza trillioni 27 directly achilia mbali other multiplier, strategically ni win ,ila too emotional individuals watapiga tu makelele. Hata akina Deng Xiaping walionekana wamemsaliti MaO ila wakajenga modern day China muda utaongea .
My friend you too dont be stupid ulitaka kwenye IGA iandike trillion 27 kwani huo ni mkopo wa bank au mauzo kuwa wamenunua kuwa na intellectual reasoning na sio emotional political reasoning, wewe ni wale watz wa kulia kulia mkiletewa tozo mnalia lia ikija big foreign direct investment ili jamhuri ijikwamue mnaleta vipingamizi zisipolipa kampuni kubwa hizo kodi mtalipa nyie mnakuwa aina ya watu wakujikwamisha wenyewe yaani self inflicted sanctions hauendi mbele wala nyuma.Imeandikwa wapi hiyo trillion 27, na hata ikiwepo kwenye HGA na isifikiwe mtavunja vipi ushirikiano wakati makubaliano ni ya milele hata malengo yasipofikiwa?
Don't be stupid ni rushwa tu ndio inaweza mtia mtu upofu wa namna hii tunayoiona
Kwani sababu kuu ya kufanya hayo yote ni nini zaidi ya kutafuta mapato hicho ndio lengo kuu hata muwe na agreement nzuri kama nini kama haina lengo la kuongeza mapato hapo ni sawa na kupigia mbuzi gitaa.Hiv huu ujinga utawaisha lin kichwan. Umeambiwa mkataba mbovu wewe unazungumzia mapato.
Wewe ndio mpumbavuMy friend you too dont be stupid ulitaka kwenye IGA iandike trillion 27 kwani huo ni mkopo wa bank au mauzo kuwa wamenunua kuwa na intellectual reasoning na sio emotional political reasoning, wewe ni wale watz wa kulia kulia mkiletewa tozo mnalia lia ikija big foreign direct investment ili jamhuri ijikwamue mnaleta vipingamizi zisipolipa kampuni kubwa hizo kodi mtalipa nyie mnakuwa aina ya watu wakujikwamisha wenyewe yaani self inflicted sanctions hauendi mbele wala nyuma.
Hahaha we uniquote halafu unaomba nisikusemeshe usipaniki wewe acha kuquote tu sitakujibuWewe ndio mpumbavu
Siko kinyume na uwekezaji kwanza uelewe hilo, Niko kinyume na uwekezaji wa kimbumbumbu,
Serikali hii ndio kinara wa kuhujumu watu wake, kwa kuweka sheria ngumu na mifumo mibovu ya kuwaendeleza wananchi wake hata washindwe kuwa faida kwa maana ya kuweza kulipa kodi.
Pili, hunifahamu hivyo usinisemehe,
Tatu, mkataba usiovunjika niwa kazi gani je matarajio yasipofikiwa litakuwaje I?
Inasemekana wameshaanza kazi bandarini NI kweli au???Wanasema kilichodainiwa ni makubaliano ya kuingia mkataba na si mkataba wa kuingia makubaliano
Sent using Jamii Forums mobile app
Chifu Mangungo tumemlaumu sana tena kwa miaka mingi vizazi mpaka vizazi lakini sasa huko aliko nae anakenua meno kuona kuna aliyemzidi kwa .............. tena akiwa amezungukwa na vyanzo vya taarifa vingi, teknolojia, ulinzi na wasomi wa hali ya juu lakini bado anaingizwa chaka🤣🤣Daah bora ule Mkataba wa Mzee Mangungo na Wakoloni kuliko huu...
Sina hakika inawezekana kabisa kwakuwa hii ishu ilianza tangu last yearInasemekana wameshaanza kazi bandarini NI kweli au???
Umeandika Kwa akili na uchungu mkubwa sana na kizalendo sana, ubarikiwe sana, hayo mambwa yaliyoingia huo mkataba na DP world yalaaniwe na yafe yanuke na yaozeKama ni kafara la kukimbiza moto basi limetubamba kisawasawa...Na kama ni dozi ya upumbavu aliyetunywesha katu overdose kasoro wachache mno...!
Kwa makosa makubwa na ya wazi kiasi kile kwenye ule mkataba wa DPW na Tanzania kama sisi ndio tunataka kuwekeza kwao wallah nakwambieni ungechanwa mapema asubuhi tena kwa matusi na kejeli za kila aina!
Sisi sote tu mashuhuda namna tunavyotendewa nje ya nchi kwa makosa madogo mno tena sometimes kwenye nyaraka tuu ambayo yanaweza kurekebishwa hapo hapo
Mali zetu nyingi zilizokamatwa nje ya nchi si kwamba zote zilikamatwa kihalali, nyingine ni makosa madogo tu ya kisheria
Fidia tulizolipa na tunazoendelea kulipa nje ya nchi baada ya kushindwa kesi, nyingine zinatokana na kukosa uzalendo tu wa wanasheria wetu na wahusika wetu na kushindwa kupigania na kuonesha shida ilipo
Kipindi kile cha corona ni wangapi wamesahau namna mamlaka za Dubai zilivyowanyanyasa na kuwadhalilisha wabongo ambao nyaraka zao za chanjo zilikuwa na makosa madogo mnoo.. Kuna baadhi walirudishwa airport na kupoteza muda na nauli zao
Magereza za Dubai zina watanzania kibao kwa kesi mbalimbali ambazo nyingine ni za kubambikiwa, kushukiwa na nyingine makosa madogo mno... Sisemi kutenda kosa hata liwe dogo ni halali la hasha bali kuna baadhi ya makosa yanahitaji kuelimishwa tuu
Wakenya wanaweza kuwa mashuhuda wazuri kwa mabinti zao wanaokwenda arabuni kufanya kazi mbalimbali hasa za ndani, yale wanayofanyiwa kule hakuna mwafrika anaweza thubutu kumfanyia mgeni
Kwahiyo linapokuja swala la nchi yao.. Wenzetu hawana utani hawana huruma na hawana chembe ya utu wala ubinadamu.. Wananyoosha rula..!
Sisi huku bongo ndio kwanza tunawasaidia wageni
Kuvunja sheria mbalimbali
Kuwatetea wanapoharibu
Kuiba
Kukwepa kodi
Kuwatendea ndugu zetu mabaya nknk..
Kwao wao hawana huu upuuzi hata nukta.. Sana sana utashirikiana naye ila akikupa kisogo unadakwa.. Kakuchomam, na ndio atakuwa shahidi wa kukuangamiza ukipandishwa kizimbani
Sasa hili bango la watanzania wenzetu kuutetea mkataba mbovu mbovu mbovu kiasi kile huu uthubutu wanaupata wapi? Na mbaya zaidi wakiongoza na CCM wenyewe.. Hii ni aibu ni fedheha na ni laana kwa taifa hili.. Huku ni kudhalilishwa kulikovuka mipaka yote!
Hakuna anayekataa uwekezaji, kinachokataliwa na wananchi wazalendo ni mkataba mbovu, wenye makosa yasiyorekebishika na usio na maslahi yoyote kwa taifa.. Kwani kuna shida gani mamlaka zikitamka kuukataa na kuufuta?
Kwani kuna shida gani kuanza upya?
Kwani kuna shida gani kuwatafuta wawekezaji wengine?
Kwani ni lazima huyu dp na si mwingine yoyote? Kwanini?
Yanayofanyika sirini yakiwekwa bayana matokeo huwa hasi! Mambo haya yalianza 2022 kwa siri, taifa halikushirikishwa tangu mwanzo.. Kila kitu kingekuwa bayana tangu awali kwa uwazi na kwa uzalendo wa taifa.. Tusingefika leo hapa tulipo
Natambua wazi nguvu ya pesa ilivyoshawishi maamuzi yote mpaka sasa japo hili litakanushwa kwa viwango vyote, lakini mwenye macho haambiwi tazama!
Natambua ubinafsi wa viongozi wengi wa ccm wanaotegemea kujikomba na kujipendekeza dpw itakapoanza kazi ili wapate chochote na kuwatafutia vibarua ndugu, jamaa, marafiki na michepuko yao.. Hapa ndio ukomo wao wa kufikiri unapoishia..!
Huu unaotutikisa mpaka sasa ni mmoja tu kati ya ile 37 iliyosainiwa huko...
Good morning TanganyikaView attachment 2690651
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani sababu kuu ya kufanya hayo yote ni nini zaidi ya kutafuta mapato hicho ndio lengo kuu hata muwe na agreement nzuri kama nini kama haina lengo la kuongeza mapato hapo ni sawa na kupigia mbuzi gitaayaan
Yaan uwe na agreement nzur halafu haina mapato? Hiv unaelewa unachoongea Chief. Inakuwaje nzur halafu haina mapato huo uzur unakujaje sehem unapoteza. Sisi tunasema mkataba uwe na terms nzur tunamaanisha kwanza ujulikane unaisha lin na wanaweka au wanawekeza kias gan na hiyo trillion 27 ni mwaka huu tu au itakuwa inaongezeka kila mwaka. Usalama unakuwaje na ni bandari ngap wataajir watu wangapi na nk in a few. Sasa inaonekana wewe ukishapewa hela tu inatosha hata kama huna uhuru. Lazima nchi kama nchi lwe na maamuz ya mwisho kwenye himaya yake kusema tu tutapata hela then what. Sio kila kitu ni hela mzee kuna mindsets zinaafectika za vizaz vingi kwa maamuz yako ya leo kwasababu tu ya hela.Kwani sababu kuu ya kufanya hayo yote ni nini zaidi ya kutafuta mapato hicho ndio lengo kuu hata muwe na agreement nzuri kama nini kama haina lengo la kuongeza mapato hapo ni sawa na kupigia mbuzi gitaa.
Sasa wewe unavyoona nchi nyingi za kiafrica kwa sasa tunahangaika na uhuru kweli hilo lilishapita uhuru tunao na wananchi wanalifeel na hili hatuwezi kunyanganywa na yeyote yule maana tushaonja utamu wa kuwa huru ,ila sasa ukiangalia nchi nyingi za kiafrica kwa sasa tunastrugle kupata ecomonic freedom tunabajeti deficit mpaka tukapate misaada au mikopo mpaka tupewe zile misaada na watu wanajitangaza redioni ya kutoka watu wa .... ni wakati wa kupata shughuli za muingiliano kama hizi tukuze pato hii ndio struggle yetu ya wakati huu kwa sasa africa na huu ndio uhuru wa pili tunaoutafuta kwa sasa na kupitia shughuli kama hizo zenye kutuletea pato kubwa ndio zinakuwa na umuhimu wa kipekeee .Yaan uwe na agreement nzur halafu haina mapato? Hiv unaelewa unachoongea Chief. Inakuwaje nzur halafu haina mapato huo uzur unakujaje sehem unapoteza. Sisi tunasema mkataba uwe na terms nzur tunamaanisha kwanza ujulikane unaisha lin na wanaweka au wanawekeza kias gan na hiyo trillion 27 ni mwaka huu tu au itakuwa inaongezeka kila mwaka. Usalama unakuwaje na ni bandari ngap wataajir watu wangapi na nk in a few. Sasa inaonekana wewe ukishapewa hela tu inatosha hata kama huna uhuru. Lazima nchi kama nchi lwe na maamuz ya mwisho kwenye himaya yake kusema tu tutapata hela then what. Sio kila kitu ni hela mzee kuna mindsets zinaafectika za vizaz vingi kwa maamuz yako ya leo kwasababu tu ya hela.
bro kwenye mikatab kun tofaut kubwa ka neno shall na will.usijiaminish san kwa hawa jamaa kwa vil tu wako top.kam mkatab undoubt hatuna haj y kujiforc .ishu ya kulipa kodi so main purpose ata akija mwingin kodi italipwa tu at ikiwa chin ake ila mkataba ikiw saf ni bora zaid.acha tamaa tamaa za fisi utajikuta mtegoni n hun pa kuchomkea unabak kuskilzia wakufany wanchotak make ishjifungaHahaha we uniquote halafu unaomba nisikusemeshe usipaniki wewe acha kuquote tu sitakujibu
Ndio maana wenye mamlaka wameamua kutumia vizuri kabisa nafasi hii ya kuingia makubaliano ya uendeshaji wa bandari na magwiji wa tasnia show me your friend i can predict your future ,wewe kwa lugha zako na maoni yako ndio wale wale wapingaji saa nyingine unapinga kwa hofu tuu what if ,what if acha wenye clear mind wasio na hofu na wenye kujiamini wafanye mambo na tuondoe uwoga uwoga wa kuona tunaibiwa that how business is done. Wasipopatikana walipa kodi wakubwa basi tujue tutalipa sisi wadogo huhitaji kuwa nani au kuwa madigrii 7 kujua hilo.
Umeandika Kwa akili na uchungu mkubwa sana na kizalendo sana, ubarikiwe sana, hayo mambwa yaliyoingia huo mkataba na DP world yalaaniwe na yafe yanuke na yaoze



Hatahivyo umpatie Heshima zake, huyo anaitwa Hayati Raisi John Pombe Magufuli.
Vitabu vitakatifu vinanena kuwa siku ya kiyama makazi yao yatakuwa lile ziwa liwakalo motoKaka Mshana:
Rushwa ni kipofu kwani inapofusha!!
Rushwa ni ugonjwa mbaya kuliko hata saratani!
Rushwa iliangamiza mataifa na wenye hekima!
Rushwa ni dhuluma na uonevu mkubwa!
Rushwa ni dhambi kubwa mno mbele ya Mola.
Vitabu vitakatifu vinanena kuwa siku ya kiyama makazi yao yatakuwa lile ziwa liwakalo moto!

