Hahaha we uniquote halafu unaomba nisikusemeshe usipaniki wewe acha kuquote tu sitakujibu
Ndio maana wenye mamlaka wameamua kutumia vizuri kabisa nafasi hii ya kuingia makubaliano ya uendeshaji wa bandari na magwiji wa tasnia show me your friend i can predict your future ,wewe kwa lugha zako na maoni yako ndio wale wale wapingaji saa nyingine unapinga kwa hofu tuu what if ,what if acha wenye clear mind wasio na hofu na wenye kujiamini wafanye mambo na tuondoe uwoga uwoga wa kuona tunaibiwa that how business is done. Wasipopatikana walipa kodi wakubwa basi tujue tutalipa sisi wadogo huhitaji kuwa nani au kuwa madigrii 7 kujua hilo.