charldzosias
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,448
- 3,334
Hakuna STRATEGY nzr waliyotumia... Polisi wetu wametuangusha.. kipindi yupo ktk kibanda ndio angekamatwa kama KUKU.. palee ndio alikuw kashajiweka sehem sahihi kumkamata akiwa HAI.Ninachoelewa mimi, hata mtu awe mlenga shabaha vipi, kulenga mtu anayetembea ni kazi kubwa na hasa unapolenga na kujibanza kwa kuibia.