Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,600
- 4,265
Mkuu yule jamaa alikuwa na AK mbili na alishaua watu kadhaa, unawezaje kuwaza unayowaza? Taarifa zitapatikana tuInawezekana! Japo sijafurahia askari wetu. Walivyompiga risasi na jamaa akadondoka, ilitakiwa kumnyang'anya silaha na kuokoa maisha yake ili wapate mengi kutoka kwake.