From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,797
Inasemekana jamaa alishuswa na bodaboda na akaenda kwenye kibanda cha askari pale kwenye makutano kama vile ana shida.
Akachomoa bastola na kuwauwa askari wawili, askari mmoja akapigwa risasi kwenye bega.
Akachukua silaha za wale askari akawa anatesa nazo.
Lakini kwanini iwe maeneo yale? Alikuwa mgeni mjini?
1. Nyumba ya balozi wa uingereza ipo kama mita hamsini kutoka kwenye sehemu ya tukio ambapo askari walipigwa risasi na kuna ulinzi wa askari wenye silaha.
2. Bank ya Stanbic ipo jirani na kawaida wanakuwepo askari wenye silaha za moto.
3. Ubalozi wa ufaransa upo maeneo yale yale ambapo kuna askari wenye silaha.
Lakini pia tukumbuke kuna msafara uliyokuwa unakaribia kupita ile barabara. Ulikuwa ni msafara wa nani?
Sheria ya ulinzi hairuhusu askari kuacha lindo na kwenda sehemu nyingine, isipokuwa pawe na genuine reason.
Kwanini walichagua hilo eneo?
UPDATES:
Askari polisi watatu ndiyo waliyopigwa risasi na yule gaidi kutumia pistol.
Mlinzi wa SGS pia amefariki, na takriban raia sita wamejeruhiwa.
Akachomoa bastola na kuwauwa askari wawili, askari mmoja akapigwa risasi kwenye bega.
Akachukua silaha za wale askari akawa anatesa nazo.
Lakini kwanini iwe maeneo yale? Alikuwa mgeni mjini?
1. Nyumba ya balozi wa uingereza ipo kama mita hamsini kutoka kwenye sehemu ya tukio ambapo askari walipigwa risasi na kuna ulinzi wa askari wenye silaha.
2. Bank ya Stanbic ipo jirani na kawaida wanakuwepo askari wenye silaha za moto.
3. Ubalozi wa ufaransa upo maeneo yale yale ambapo kuna askari wenye silaha.
Lakini pia tukumbuke kuna msafara uliyokuwa unakaribia kupita ile barabara. Ulikuwa ni msafara wa nani?
Sheria ya ulinzi hairuhusu askari kuacha lindo na kwenda sehemu nyingine, isipokuwa pawe na genuine reason.
Kwanini walichagua hilo eneo?
UPDATES:
Askari polisi watatu ndiyo waliyopigwa risasi na yule gaidi kutumia pistol.
Mlinzi wa SGS pia amefariki, na takriban raia sita wamejeruhiwa.