NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Mungu ibariki timu yetu ya Rivers utd.
Simba day ni simba vs Tp mazembeWadau za Jioni.
Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.
Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.
Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.
Iko hivi.
Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.
Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.
Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.
Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.
Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.
Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.
Tunisia - Esperance De Tunis.
Morroco - Wydad/Raja Casablanca.
Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti. 😂 😂
Haha hongera sana mkuu ..Leo hii niko Nairobi, nilikutana na Mke wa Kanjibahi akiwa anaelekea kuomba mechi huko Misri.
Kesho tarehe 7 naenda zangu Angola kupeleka mzigo si unajua khabari za pesa aisee.
Nitarudi Bongo tarehe 11 ili nikakinukishe pale Taifa tutapokutana na wavuvi wa dagaa kutoka kule Nigeria.
mkuu with all respect nadiriki kuamini una uwelewa mdogo sana. kwani zanako walitumia hela yao kiasi gani walipokuja kucheza na yanga kwenye lile tamasha la wiki ya mwananchi?Wamerudi kuwaomba TP Mazembe tena. This time around wamewekewa sharia ya kugharamiwa kila kitu kuanzia safari, kambi, hotel na kila kitu. Yaan TP Mazembe hawakutaka kabisa kutumia hata sh 10/= yao.
Wamerudi kuwaomba TP Mazembe tena. This time around wamewekewa sharia ya kugharamiwa kila kitu kuanzia safari, kambi, hotel na kila kitu. Yaan TP Mazembe hawakutaka kabisa kutumia hata sh 10/= yao.
Soma hiyoWadau za Jioni.
Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.
Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.
Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.
Iko hivi.
Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.
Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.
Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.
Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.
Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.
Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.
Tunisia - Esperance De Tunis.
Morroco - Wydad/Raja Casablanca.
Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti.
Na mbaya zaidi wanaleta kikosi bWamerudi kuwaomba TP Mazembe tena. This time around wamewekewa sharia ya kugharamiwa kila kitu kuanzia safari, kambi, hotel na kila kitu. Yaan TP Mazembe hawakutaka kabisa kutumia hata sh 10/= yao.
Si tulikubaliana hatuombi mechi na "wacheza sebene"Umeamua kubold kabisa.Simba kugharimia ni kitu cha kawaida sana,btw Wakubwa wanacheza na Wakubwa wenzao.Yani ni hivi Team zilizo kwa Top 15 kwa CAF ranking ndiyo zinakubaliana kucheza Friendly mechi,Nendeni nyinyi Utopolo mkawaombe TP Mazembe kama watakubali.
Kumbe majibu unayoWadau za Jioni.
Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.
Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.
Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.
Iko hivi.
Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.
Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.
Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.
Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.
Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.
Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.
Tunisia - Esperance De Tunis.
Morroco - Wydad/Raja Casablanca.
Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti. 😂 😂
Si tulikubaliana hatuombi mechi na "wacheza sebene"
Hata tukileta kikosi f nyie mnawashwa nini.Na mbaya zaidi wanaleta kikosi b
Sasa wewe shabiki wa yanga mbona unakua kama unapakwaga wewe?? Klabu kumi bora Africa hazitocheza raundi ya kwanza CAF champions league haya ntajie hao kumiYaaani nasikia mlipokuwa mkiwatumia barua za mualiko wao wanajibu kwa sentensi moja tu iliyo andikwa "Usiforce Tufanane".
sawa wa mazembe ni waarabu,namuona pale tresol mputu raia wa misri.. 😀😀Yes Wacheza sebene wa As Vita
Ahly ahly mmewaachia wapi?Hata tukileta kikosi f nyie mnawashwa nini.
Pilipili usiyoila yakuwashia nini.?
Ongezea au malizia BSimba day ni simba vs Tp mazembe
Hata ingekuwa z bado tangazo litasomeka simba vs mazembeOngezea au malizia B