Kwanini Timu Mbalimbali hazivutiwi kuja Dar kushiriki Simba Day?

Wadau za Jioni.

Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.

Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.

Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.

Iko hivi.

Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.

Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.

Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.

Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.

Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.

Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.

Tunisia - Esperance De Tunis.

Morroco - Wydad/Raja Casablanca.

Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti. 😂 😂
Simba day ni simba vs Tp mazembe
 
Leo hii niko Nairobi, nilikutana na Mke wa Kanjibahi akiwa anaelekea kuomba mechi huko Misri.

Kesho tarehe 7 naenda zangu Angola kupeleka mzigo si unajua khabari za pesa aisee.

Nitarudi Bongo tarehe 11 ili nikakinukishe pale Taifa tutapokutana na wavuvi wa dagaa kutoka kule Nigeria.
Haha hongera sana mkuu ..
 
Wamerudi kuwaomba TP Mazembe tena. This time around wamewekewa sharia ya kugharamiwa kila kitu kuanzia safari, kambi, hotel na kila kitu. Yaan TP Mazembe hawakutaka kabisa kutumia hata sh 10/= yao.
mkuu with all respect nadiriki kuamini una uwelewa mdogo sana. kwani zanako walitumia hela yao kiasi gani walipokuja kucheza na yanga kwenye lile tamasha la wiki ya mwananchi?
 
Wamerudi kuwaomba TP Mazembe tena. This time around wamewekewa sharia ya kugharamiwa kila kitu kuanzia safari, kambi, hotel na kila kitu. Yaan TP Mazembe hawakutaka kabisa kutumia hata sh 10/= yao.

Umeamua kubold kabisa.Simba kugharimia ni kitu cha kawaida sana,btw Wakubwa wanacheza na Wakubwa wenzao.Yani ni hivi Team zilizo kwa Top 15 kwa CAF ranking ndiyo zinakubaliana kucheza Friendly mechi,Nendeni nyinyi Utopolo mkawaombe TP Mazembe kama watakubali.
 
Wadau za Jioni.

Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.

Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.

Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.

Iko hivi.

Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.

Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.

Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.

Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.

Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.

Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.

Tunisia - Esperance De Tunis.

Morroco - Wydad/Raja Casablanca.

Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti.
Soma hiyo
IMG-20210906-WA0052.jpg
 
Wamerudi kuwaomba TP Mazembe tena. This time around wamewekewa sharia ya kugharamiwa kila kitu kuanzia safari, kambi, hotel na kila kitu. Yaan TP Mazembe hawakutaka kabisa kutumia hata sh 10/= yao.
Na mbaya zaidi wanaleta kikosi b
 
Umeamua kubold kabisa.Simba kugharimia ni kitu cha kawaida sana,btw Wakubwa wanacheza na Wakubwa wenzao.Yani ni hivi Team zilizo kwa Top 15 kwa CAF ranking ndiyo zinakubaliana kucheza Friendly mechi,Nendeni nyinyi Utopolo mkawaombe TP Mazembe kama watakubali.
Si tulikubaliana hatuombi mechi na "wacheza sebene"
 
Wadau za Jioni.

Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC.

Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius Nyerere International Airport.

Nikajaribu kudumbukiza ndoano kwenye ofisi ya Kanjibai yenye makalablasha ya Klabu.

Iko hivi.

Wametuma maombi Al Alhy waarabu wakachomoa. Wakasema wachezaji wao wako kwenye likizo fupi.

Wakatuma maombi Mamelodi Sundown wakaambiwa kuwa sisi tume focus na PSL.

Wakatuma maombi Orlando Pirates F.C wakaambiwa kuwa sisi tuko na ligi inaendelea.

Wakarudi Congo kuwaalika TP Mazembe wakaambiwa mbona mnapenda kutualika sisi tu.

Wakarudi juu kaskazini, Zamalek wakaambiwa kuwa sisi ndio kwanza tumeanza mazoezi wiki hii kwa hiyo hatutoweza kuja Dar.

Muda huu wamepanick wako na mawasiliano na nchi mbili kwa wakati mmoja yaani Tunisia na Morrocco.

Tunisia - Esperance De Tunis.

Morroco - Wydad/Raja Casablanca.

Nasikia wakigonga mwamba na hapo huenda wakatuletea Wa-Afrika wenzetu eti. 😂 😂
Kumbe majibu unayo
 
Yaaani nasikia mlipokuwa mkiwatumia barua za mualiko wao wanajibu kwa sentensi moja tu iliyo andikwa "Usiforce Tufanane".

Sasa wewe shabiki wa yanga mbona unakua kama unapakwaga wewe?? Klabu kumi bora Africa hazitocheza raundi ya kwanza CAF champions league haya ntajie hao kumi

Ukikosa klabu inayoitwa simba najitoa jf
 
Sasa wewe shabiki wa yanga mbona unakua kama unapakwaga wewe?? Klabu kumi bora Africa hazitocheza raundi ya kwanza CAF champions league haya ntajie hao kumi

Ukikosa klabu inayoitwa simba najitoa jf

1.PNG
2.PNG
 
Back
Top Bottom