Kwanini tanzania hatuna apps store yetu?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,887
Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama malipo kwa mazingira yetu.
Kwanini hatuna apps store yetu?
 
Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama malipo kwa mazingira yetu.
Kwanini hatuna apps store yetu?
Sasa app store yenu mkuu kwani mnamiliki mfumo endeshi wenu upi? Au mimi ndiye sijui?

Na mimi nahitaji elimu pia.
 
Apps store si ni app tu yenye apps ndani yake?
Labda basi niseme ni mfumo endeshi hatuna pamoja na device ambayo tunaweza tukatengeneza apps kwa ajili ya kuzitumia humo. La sivyo labda mtu awe anazikusanya na kuziweka kwenye website yake na kisha iwepo app ambayo itakuwa inaziaccess huko kwenye website na kuwa downloaded kupitia hiyo app.

Bado pia nahitaji elimu.


Sent from my cupboard using mug
 
Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama malipo kwa mazingira yetu.
Kwanini hatuna apps store yetu?
Mkuu ili uwe na application store yako, cha kwanza unatakiwa uwe na running environment yako yani operating system yako eg. Android au iOS , na pia uwe na device zako , ambazo utarun operation system yako , ili uweze kuweka application zako .

Wazo zuri anza kufanyia kazi hayo
 
Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama malipo kwa mazingira yetu.
Kwanini hatuna apps store yetu?
Ma IT wenyewe ndo hawa wamesomea IFM? Chuo cha usimamizi wa Fedha.
 
Labda basi niseme ni mfumo endeshi hatuna pamoja na device ambayo tunaweza tukatengeneza apps kwa ajili ya kuzitumia humo. La sivyo labda mtu awe anazikusanya na kuziweka kwenye website yake na kisha iwepo app ambayo itakuwa inaziaccess huko kwenye website na kuwa downloaded kupitia hiyo app.

Bado pia nahitaji elimu.


Sent from my cupboard using mug
Hiyo ndiyo naizungumzia. Maana kwenye simu unaweza pakua app kutoka other sources zaidi ya app store iliyopo kwenye simu.
Inatengenezwa app ambapo mtu akiingia anaaccess app za kitanzania.
 
Mkuu ili uwe na application store yako, cha kwanza unatakiwa uwe na running environment yako yani operating system yako eg. Android au iOS , na pia uwe na device zako , ambazo utarun operation system yako , ili uweze kuweka application zako .

Wazo zuri anza kufanyia kazi hayo
Sasa app store yenu mkuu kwani mnamiliki mfumo endeshi wenu upi? Au mimi ndiye sijui?

Na mimi nahitaji elimu pia.
Kuwa na app store hauitaji kuwa na mfumo wa OS yako hasa upande wa android.

Zipo app market place nyingi tu ambazo hazimiliki operating system ya android ama kumilikiwa na google.

Kwa mfano iran kuna android app store yao inaitwa Cafe Bazar ambayo ni maarufu kule ikiwa na watumiaji 40m, imelenga developers na wateja wa iran.

Mwanzilishi wa hiyo app store hana operating system bali ni android app market place kwa ajili ya watu wa iran.

Lakini kuna apps stores zingine kama palmstore, amazon appstore, QooApp n.k

Tukija kwenye swali.
Kutengeneza app store kwa ajili ya tz sio ishu kiasi hicho iwapo una server yenye uwezo mkubwa wa kuhandle request nyingi(hii ndio challenge kubwa)

Pili na utayari wa watanzania kulipokea hilo soko la app za kitanzania kwa sababu ni upotezaji wa muda na pesa iwapo hakuna watu watakapakua app kutumia hiyo store.

Lakini sio tu kuwa na watumiaji, watumiaji ambao wako tayari kutoa hela kwa ajili ya huduma zinazotolewa na apps?

Watanzania wengi hawapendi kulipia hivyo vitu wengi wapo tayari kutumia pirated apps iwapo app ni za kulipia.

Kama app ni ya bure na ikawa na matangazo watz wengi huchukia na kuamua kuweka ads blockers.

Na hapo utapaswa kuzi-cover gharama za uwendeshaji kuanzia servers, waajaliwa(software developers), promotion budget, kodi za serikalini nk.

Ukichunguza utagundua gharama zitakuwa kubwa hivyo utahitaji ku-raise funds.

Sasa kama kuna investor anaweza take risk kwenye nchi ambayo inaweza ikafunga internet kwa karibu wiki mbili basi itakuwa njema.
 
Let me disagree to disagree you
Kuwa na app store hauitaji kuwa na mfumo wa OS yako hasa upande wa android.

Zipo app market place nyingi tu ambazo hazimiliki operating system ya android ama kumilikiwa na google.

Kwa mfano iran kuna android app store yao inaitwa Cafe Bazar ambayo ni maarufu kule ikiwa na watumiaji 40m, imelenga developers na wateja wa iran.

Mwanzilishi wa hiyo app store hana operating system bali ni android app market place kwa ajili ya watu wa iran.

Lakini kuna apps stores zingine kama palmstore, amazon appstore, QooApp n.k

Tukija kwenye swali.
Kutengeneza app store kwa ajili ya tz sio ishu kiasi hicho iwapo una server yenye uwezo mkubwa wa kuhandle request nyingi(hii ndio challenge kubwa)

Pili na utayari wa watanzania kulipokea hilo soko la app za kitanzania kwa sababu ni upotezaji wa muda na pesa iwapo hakuna watu watakapakua app kutumia hiyo store.

Lakini sio tu kuwa na watumiaji, watumiaji ambao wako tayari kutoa hela kwa ajili ya huduma zinazotolewa na apps?

Watanzania wengi hawapendi kulipia hivyo vitu wengi wapo tayari kutumia pirated apps iwapo app ni za kulipia.

Kama app ni ya bure na ikawa na matangazo watz wengi huchukia na kuamua kuweka ads blockers.

Na hapo utapaswa kuzi-cover gharama za uwendeshaji kuanzia servers, waajaliwa(software developers), promotion budget, kodi za serikalini nk.

Ukichunguza utagundua gharama zitakuwa kubwa hivyo utahitaji ku-raise funds.

Sasa kama kuna investor anaweza take risk kwenye nchi ambayo inaweza ikafunga internet kwa karibu wiki mbili basi itakuwa njema.
 
Wazo zuri ila watanzania wengi hawapendi vya kwao utapata wateja 2+2-4
Siyo suala la kuenda vya kwetu, unajua watu wanalazimisha upende cha kwetu hata kama siyo kizuri. Tengeneza kitu kizuri watu watakitumia tu. Sasa mtu anatoka huko anaiga facebook, anaiga whatsapp halafu useme atanishawishi nihame huko nitumie hicho no way!
 
Back
Top Bottom