Kwanini Tanzania hakuna milionea chini ya miaka 30?

Kwanini Tanzania hakuna milionea chini ya miaka 30?

Tunaaminishwa kuwa nchi yetu inautajiri mkubwa. Hata mimi naamini hivyo ila cha kushangaza licha ya yote sijawahi kuonana au kusoma kijana chini ya miaka 30 ambaye ni Millionea. Wengi ni watu wazima.

Tatizo ni nini?

1. Watoto kukaa muda mrefu makwao wanaanza utafutaji ukubwani?

2. Rika hilo haliaminiki na taasisi za kifedhau au hawakopesheki mitaji mikubwa?

3. Wabongo umri huo hawana exposure na utajiri na mbinu za kutoboa.

Unadhani kwa nini vijana wengi chini ya umri wa miaka 30 sio mamilionea?

Mimi nina miaka 28 na nina milioni moja benki ya CRDB! Ina maana siyo milionea? Milionea huwa anaazia na shilingi ngapi?
 
Vijana wadogo wenye hela nyingi kwa sasa wapo wengi sana. Pale Tunduma kuna wa aina hiyo wengi. Kariakoo nako kuna mabalaa. Wengi wenye hela za ukweli hawapendi kujionyesha tofauti na kina Chief Godlove. Lakini pia ikumbukwe sera za nchi yetu kwa miaka mingi zimekuwa zikitazama utajiri kama dhambi. Yaani wananchi wengi hudhani umaskini ndo uzalendo. Akija mgeni na kukuta Fred Vunjabei ndo anachukuliwa kama kijana mdogo mwenye mafanikio atashangaa. Mshindi wa Zikomo Awards kwa brand bora afrika ni milionea mdogo wa miaka 23 kutoka Zambia.
 
Kwa Tanzania, milionea ni mtu mwenye mali au utajiri wa angalau milioni moja ya sarafu ya Kitanzania (TZS). Hii inaweza kuwa pamoja na mali, biashara, na vitega uchumi vingine.
 
Tunaaminishwa kuwa nchi yetu inautajiri mkubwa. Hata mimi naamini hivyo ila cha kushangaza licha ya yote sijawahi kuonana au kusoma kijana chini ya miaka 30 ambaye ni Millionea. Wengi ni watu wazima.

Tatizo ni nini?

1. Watoto kukaa muda mrefu makwao wanaanza utafutaji ukubwani?

2. Rika hilo haliaminiki na taasisi za kifedhau au hawakopesheki mitaji mikubwa?

3. Wabongo umri huo hawana exposure na utajiri na mbinu za kutoboa.

Unadhani kwa nini vijana wengi chini ya umri wa miaka 30 sio mamilionea?
weweee jamaa!!!,,,nenda ifakara,gairo,shinyanga {kuna madogo wana piga mamilioni kwa kilimo na bishara ya nafaka},nenda minadani kama pale pugu,kuna madogo wanapiga ela ya mifugo,nenda geita,tarime na mirerani,kuna machalii wanapiga chapaa za madini!!!
 
tatizo mnnaendekeza starehe
Upumbavu huu, starehe gani hiyo mkuu?,unemployment rate hapa nchini ipo almost 40%,graduates more than 67%,sasa hizo starehe ni zipi?,endelea kuishi kwenye ivory towel yako na ukipulizwa na AC, ila elewa kuna watanzania wenzako mpaka mchana huu hawajui their next meal wataipata vipi
 
Under 30 Kuwa multiple millionaire is hardest thing Kwa nchi Kama Tanzania

@Nidhamu ya PESA
Family back up
talent
self-awareness
@Spirituality strengthen

Sasa hayo mambo yote MTU hauna hata moja huwezi kuwa kuwa multimillionaire kwasababu game inakuwa haipo upande wako.


Vijana wengi tupo employed we earn 1M per month mikopo kibao tulichofanikiwa ni nyumba gari ,kuoa tu we no longer think about becoming rich/richer
 
Tunaaminishwa kuwa nchi yetu inautajiri mkubwa. Hata mimi naamini hivyo ila cha kushangaza licha ya yote sijawahi kuonana au kusoma kijana chini ya miaka 30 ambaye ni Millionea. Wengi ni watu wazima.

Tatizo ni nini?

1. Watoto kukaa muda mrefu makwao wanaanza utafutaji ukubwani?

2. Rika hilo haliaminiki na taasisi za kifedhau au hawakopesheki mitaji mikubwa?

3. Wabongo umri huo hawana exposure na utajiri na mbinu za kutoboa.

Unadhani kwa nini vijana wengi chini ya umri wa miaka 30 sio mamilionea?
Wapo mbona yupo dogo mmoja nimeskuli nae primary ana namba chafu sana huko Liwale
 
Sasa hapo inategemea kama ni Mamilionea in terms of Tsh Currency wapo wengi sana maana utakua unamaanisha vijana wanaomiliki Mali za kuanzia Tsh Milioni 1 na kuendelea,, Lakini kama ni Mamilionea in terms of world standard ya USD currency hapo kuwapata hata 100 ni kasheshe sanaaa maana utakua unamaanisha wenye Mali za $1Million na zaidi(ambazo ni Tsh 2.5Billioni na zaidi)
 
Wapo kibao tena wapo kweny cycle yangu kama marafiki, yaani madogo wenye hiz million 500, 300 kawaida.

Labda useme kwa $1mil na kuendelea
Millionea hapimwi kwa fedha za nyumbani. Ukisema hivyo zimbabwe kulikuwa na mamilionea wengi sana ambao ni masikini wa kutupwa.
Maana ilifika kipindi mkate unauzwa zaidi ya milioni mbili za kizimbabwe.
 
Sasa hapo inategemea kama ni Mamilionea in terms of Tsh Currency wapo wengi sana maana utakua unamaanisha vijana wanaomiliki Mali za kuanzia Tsh Milioni 1 na kuendelea,, Lakini kama ni Mamilionea in terms of world standard ya USD currency hapo kuwapata hata 100 ni kasheshe sanaaa maana utakua unamaanisha wenye Mali za $1Million na zaidi(ambazo ni Tsh 2.5Billioni na zaidi)
Baada ya mgogoro mkubwa umilionea upimwe kwa currency ipi maana ukisema kila mtu ajipimie utakuwa na mamilioea wengi sana ambao ni masikini wa kutupwa baadhi ya nchi.

Tupime kwa USD, Pound au Euro
 
Under 30 Kuwa multiple millionaire is hardest thing Kwa nchi Kama Tanzania

@Nidhamu ya PESA
Family back up
talent
self-awareness
@Spirituality strengthen

Sasa hayo mambo yote MTU hauna hata moja huwezi kuwa kuwa multimillionaire kwasababu game inakuwa haipo upande wako.


Vijana wengi tupo employed we earn 1M per month mikopo kibao tulichofanikiwa ni nyumba gari ,kuoa tu we no longer think about becoming rich/richer
Una point
 
Back
Top Bottom