Kwanini Tanzania haiwezekani kutokea machafuko wala mapinduzi ya kijeshi

Kwanini Tanzania haiwezekani kutokea machafuko wala mapinduzi ya kijeshi

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
308
Reaction score
424
Afrika imekuwa ikishuhudia misururu ya mapinduzi ya kijeshi tangu enzi za Vita Baridi hadi karne ya 21. Nchi nyingi zilikumbwa na hali hii kutokana na migawanyiko ya kisiasa, kikabila na kiuchumi.

Ghana ilipitia mapinduzi yake ya kwanza mwaka 1966, Nigeria ikashuhudia mapinduzi mara kwa mara kuanzia miaka ya 1960 hadi mwishoni mwa karne ya 20, na Uganda ikapinduliwa mwaka 1971 chini ya Idi Amin.

Katika miaka ya hivi karibuni, hali hiyo imejirudia katika mataifa ya Sahel kama Mali mwaka 2020, Guinea 2021 na Niger 2023. Sababu kuu katika visa hivi imekuwa ni uchumi dhaifu, ukosefu wa mshikamano wa kitaifa, ukosefu wa usawa katika rasilimali na mara nyingine kuingilia kati kwa mataifa ya nje.

Tanzania ni nchi ya pekee barani Afrika ambayo haijawahi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi, jambo linaloibua swali la msingi: kwanini hali hii haiwezekani?

Kwanza, Tanzania imejengeka juu ya msingi wa mshikamano wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere. Kupitia sera ya Ujamaa na lugha ya Kiswahili, Watanzania waliunganishwa kwa utambulisho wa pamoja. Tofauti na nchi nyingi za Afrika zilizoathirika na mapinduzi kwa sababu ya migawanyiko ya kikabila na kidini, Tanzania haina kabila linalotawala au kudharaulika zaidi ya jingine. Lugha ya Kiswahili imekuwa daraja la mshikamano na taifa limekua na utambulisho mmoja, hali inayopunguza uwezekano wa machafuko ya kisiasa yanayotokana na ukabila.

Sababu ya pili ni nafasi ya jeshi na uhusiano wake na siasa. Katika nchi nyingi za Afrika, mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi linajiona kama taasisi iliyotengwa na siasa, na hivyo kuona lina haki ya kuingilia. Tanzania ni tofauti. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeunganishwa moja kwa moja na chama tawala CCM na serikali.

Ni jambo la kawaida kuona maafisa wa JWTZ wakiteuliwa kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya au hata mabalozi. Hii inamaanisha jeshi halina nafasi ya kuona linabaki pembeni au kutengwa, bali linajiona sehemu ya moja kwa moja ya mfumo wa kiserikali. Hali hii hupunguza uwezekano wa maafisa wa kijeshi kuunda mapinduzi kwa sababu wanajua wanashiriki katika utawala.

Kwa upande wa uchumi, imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza 'income inequality' miongoni mwa watu wake hali ambayo inafanya Tanzania kusiwe na machafuko au vurugu kama ilivyo Kenya. Kenya ni mfano wa nchi yenye tofauti kubwa ya kipato na migogoro ya ardhi. Ni takribani asilimia 20 tu ya ardhi nchini Kenya inafaa kwa kilimo, na sehemu hiyo inamilikiwa na wachache matajiri. Wengi wa wananchi hukosa nafasi ya uzalishaji, jambo linalosababisha maandamano na vurugu mara kwa mara. Vilevile, nchi kama Afrika Kusini ina tofauti kubwa za kipato kati ya wazungu wachache (minority) na wananchi wengi raia wa Afrika Kusini, jambo ambalo limekuwa chanzo cha migomo na ghasia.

Tanzania inatofautiana kwa sababu ardhi ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria, na hata maskini wanaweza kumiliki kipande cha shamba cha kulima. Zaidi ya asilimia kubwa ya Watanzania wanalima, na huzalisha chakula kwa wingi ikilinganishwa na majirani.

Hali hii inafanya Tanzania isiwe tegemezi kwa uagizaji wa chakula kutoka nje, na vijana wengi wanapata fursa ya kushiriki katika kilimo, biashara na ufugaji. Hivyo, vijana wa Tanzania hawana hasira/ghahabu kubwa za kiuchumi zinazowasukuma wenzao katika nchi kama Kenya au Afrika Kusini kuingia mitaani kwa maandamano.

Kwa mfano, Kenya inalazimika kuagiza chakula kutoka nje kutokana na kilimo chao kuuza sana mazao ya biashara kuliko mazao ya chakula, hali inayosababisha wananchi kukosa chakula cha kutosha. Hali hii huleta migongano ya kijamii na maandamano makubwa ya kupinga gharama za maisha. Tanzania kinyume chake huzalisha mazao ya chakula kwa wingi, jambo linalohakikisha usalama wa chakula na kupunguza hatari ya vurugu.

Hata hivyo, Niger na Mali zilishuhudia mapinduzi kutokana na ukosefu wa fursa za kiuchumi na migawanyiko ya kikabila. Afrika Kusini mara kwa mara hushuhudia vurugu kutokana na ukosefu mkubwa wa usawa wa kipato. Kenya imekumbwa na maandamano ya gharama za maisha na sera za kodi.

Tanzania haina mchanganyiko huu wa migogoro, ardhi inamilikiwa na umma, chakula kinapatikana kwa wingi, vijana wana fursa za uzalishaji, na mshikamano wa kijamii umejengwa kwa Kiswahili na utamaduni wa mshikamano.

Kwa kuzingatia historia hii, Tanzania imeweza kujiepusha na misururu ya mapinduzi na machafuko ambayo yamekumba mataifa mengine ya Afrika.

Uongozi ulioimarisha mshikamano, jeshi lililounganishwa na serikali, sheria za ardhi zinazoweka usawa, na uchumi unaozalisha chakula na fursa vimejenga mazingira yasiyofaa kwa mapinduzi au maandamano makubwa.

Tanzania ni mfano wa kipekee barani Afrika kwamba mshikamano wa kijamii na usawa wa fursa unaweza kuzuia migawanyiko na kulinda uthabiti wa taifa.
 
Umenikumbusha Katumba Bar Kinondoni mkwajuni 1980s Tamimu vs naniliu 🐼
 
Mzinga uko Tabora, mabomu ya mizinga yako Ngerengere, funguo za maghala ya mabomu ziko Mtwara, sasa kawashawishi wote wakubali, mmoja lazima akuuze, na walinzi wa maeneo hayo ni zigzag, wanakuchoma tu

Katika moja ya kanuni muhimu ya kijeshi, ni marufuku kuzoeana na mtu asiye wa ngazi yako ili kuepusha kujenga kundi, na pia kila kundi lina MI na TISS. Mawasiliano na tabia viko monitored closely
 
Afrika imekuwa ikishuhudia misururu ya mapinduzi ya kijeshi tangu enzi za Vita Baridi hadi karne ya 21. Nchi nyingi zilikumbwa na hali hii kutokana na migawanyiko ya kisiasa, kikabila na kiuchumi.

Ghana ilipitia mapinduzi yake ya kwanza mwaka 1966, Nigeria ikashuhudia mapinduzi mara kwa mara kuanzia miaka ya 1960 hadi mwishoni mwa karne ya 20, na Uganda ikapinduliwa mwaka 1971 chini ya Idi Amin.

Katika miaka ya hivi karibuni, hali hiyo imejirudia katika mataifa ya Sahel kama Mali mwaka 2020, Guinea 2021 na Niger 2023. Sababu kuu katika visa hivi imekuwa ni uchumi dhaifu, ukosefu wa mshikamano wa kitaifa, ukosefu wa usawa katika rasilimali na mara nyingine kuingilia kati kwa mataifa ya nje.

Tanzania ni nchi ya pekee barani Afrika ambayo haijawahi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi, jambo linaloibua swali la msingi: kwanini hali hii haiwezekani?

Kwanza, Tanzania imejengeka juu ya msingi wa mshikamano wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere. Kupitia sera ya Ujamaa na lugha ya Kiswahili, Watanzania waliunganishwa kwa utambulisho wa pamoja. Tofauti na nchi nyingi za Afrika zilizoathirika na mapinduzi kwa sababu ya migawanyiko ya kikabila na kidini, Tanzania haina kabila linalotawala au kudharaulika zaidi ya jingine. Lugha ya Kiswahili imekuwa daraja la mshikamano na taifa limekua na utambulisho mmoja, hali inayopunguza uwezekano wa machafuko ya kisiasa yanayotokana na ukabila.

Sababu ya pili ni nafasi ya jeshi na uhusiano wake na siasa. Katika nchi nyingi za Afrika, mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi linajiona kama taasisi iliyotengwa na siasa, na hivyo kuona lina haki ya kuingilia. Tanzania ni tofauti. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeunganishwa moja kwa moja na chama tawala CCM na serikali.

Ni jambo la kawaida kuona maafisa wa JWTZ wakiteuliwa kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya au hata mabalozi. Hii inamaanisha jeshi halina nafasi ya kuona linabaki pembeni au kutengwa, bali linajiona sehemu ya moja kwa moja ya mfumo wa kiserikali. Hali hii hupunguza uwezekano wa maafisa wa kijeshi kuunda mapinduzi kwa sababu wanajua wanashiriki katika utawala.

Kwa upande wa uchumi, imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza 'income inequality' miongoni mwa watu wake hali ambayo inafanya Tanzania kusiwe na machafuko au vurugu kama ilivyo Kenya. Kenya ni mfano wa nchi yenye tofauti kubwa ya kipato na migogoro ya ardhi. Ni takribani asilimia 20 tu ya ardhi nchini Kenya inafaa kwa kilimo, na sehemu hiyo inamilikiwa na wachache matajiri. Wengi wa wananchi hukosa nafasi ya uzalishaji, jambo linalosababisha maandamano na vurugu mara kwa mara. Vilevile, nchi kama Afrika Kusini ina tofauti kubwa za kipato kati ya wazungu wachache (minority) na wananchi wengi raia wa Afrika Kusini, jambo ambalo limekuwa chanzo cha migomo na ghasia.

Tanzania inatofautiana kwa sababu ardhi ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria, na hata maskini wanaweza kumiliki kipande cha shamba cha kulima. Zaidi ya asilimia kubwa ya Watanzania wanalima, na huzalisha chakula kwa wingi ikilinganishwa na majirani.

Hali hii inafanya Tanzania isiwe tegemezi kwa uagizaji wa chakula kutoka nje, na vijana wengi wanapata fursa ya kushiriki katika kilimo, biashara na ufugaji. Hivyo, vijana wa Tanzania hawana hasira/ghahabu kubwa za kiuchumi zinazowasukuma wenzao katika nchi kama Kenya au Afrika Kusini kuingia mitaani kwa maandamano.

Kwa mfano, Kenya inalazimika kuagiza chakula kutoka nje kutokana na kilimo chao kuuza sana mazao ya biashara kuliko mazao ya chakula, hali inayosababisha wananchi kukosa chakula cha kutosha. Hali hii huleta migongano ya kijamii na maandamano makubwa ya kupinga gharama za maisha. Tanzania kinyume chake huzalisha mazao ya chakula kwa wingi, jambo linalohakikisha usalama wa chakula na kupunguza hatari ya vurugu.

Hata hivyo, Niger na Mali zilishuhudia mapinduzi kutokana na ukosefu wa fursa za kiuchumi na migawanyiko ya kikabila. Afrika Kusini mara kwa mara hushuhudia vurugu kutokana na ukosefu mkubwa wa usawa wa kipato. Kenya imekumbwa na maandamano ya gharama za maisha na sera za kodi.

Tanzania haina mchanganyiko huu wa migogoro, ardhi inamilikiwa na umma, chakula kinapatikana kwa wingi, vijana wana fursa za uzalishaji, na mshikamano wa kijamii umejengwa kwa Kiswahili na utamaduni wa mshikamano.

Kwa kuzingatia historia hii, Tanzania imeweza kujiepusha na misururu ya mapinduzi na machafuko ambayo yamekumba mataifa mengine ya Afrika.

Uongozi ulioimarisha mshikamano, jeshi lililounganishwa na serikali, sheria za ardhi zinazoweka usawa, na uchumi unaozalisha chakula na fursa vimejenga mazingira yasiyofaa kwa mapinduzi au maandamano makubwa.

Tanzania ni mfano wa kipekee barani Afrika kwamba mshikamano wa kijamii na usawa wa fursa unaweza kuzuia migawanyiko na kulinda uthabiti wa taifa.
Kapimwe akili. Mapinduzi yanakuja mapema kabla mwaka kuisha
 
Sbb ni watu ambao walitakiwa kufanya hayo mapinduzi na wao kuwa sehemu ya ufisadi unategemea nn?
Afrika imekuwa ikishuhudia misururu ya mapinduzi ya kijeshi tangu enzi za Vita Baridi hadi karne ya 21. Nchi nyingi zilikumbwa na hali hii kutokana na migawanyiko ya kisiasa, kikabila na kiuchumi.

Ghana ilipitia mapinduzi yake ya kwanza mwaka 1966, Nigeria ikashuhudia mapinduzi mara kwa mara kuanzia miaka ya 1960 hadi mwishoni mwa karne ya 20, na Uganda ikapinduliwa mwaka 1971 chini ya Idi Amin.

Katika miaka ya hivi karibuni, hali hiyo imejirudia katika mataifa ya Sahel kama Mali mwaka 2020, Guinea 2021 na Niger 2023. Sababu kuu katika visa hivi imekuwa ni uchumi dhaifu, ukosefu wa mshikamano wa kitaifa, ukosefu wa usawa katika rasilimali na mara nyingine kuingilia kati kwa mataifa ya nje.

Tanzania ni nchi ya pekee barani Afrika ambayo haijawahi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi, jambo linaloibua swali la msingi: kwanini hali hii haiwezekani?

Kwanza, Tanzania imejengeka juu ya msingi wa mshikamano wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere. Kupitia sera ya Ujamaa na lugha ya Kiswahili, Watanzania waliunganishwa kwa utambulisho wa pamoja. Tofauti na nchi nyingi za Afrika zilizoathirika na mapinduzi kwa sababu ya migawanyiko ya kikabila na kidini, Tanzania haina kabila linalotawala au kudharaulika zaidi ya jingine. Lugha ya Kiswahili imekuwa daraja la mshikamano na taifa limekua na utambulisho mmoja, hali inayopunguza uwezekano wa machafuko ya kisiasa yanayotokana na ukabila.

Sababu ya pili ni nafasi ya jeshi na uhusiano wake na siasa. Katika nchi nyingi za Afrika, mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi linajiona kama taasisi iliyotengwa na siasa, na hivyo kuona lina haki ya kuingilia. Tanzania ni tofauti. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeunganishwa moja kwa moja na chama tawala CCM na serikali.

Ni jambo la kawaida kuona maafisa wa JWTZ wakiteuliwa kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya au hata mabalozi. Hii inamaanisha jeshi halina nafasi ya kuona linabaki pembeni au kutengwa, bali linajiona sehemu ya moja kwa moja ya mfumo wa kiserikali. Hali hii hupunguza uwezekano wa maafisa wa kijeshi kuunda mapinduzi kwa sababu wanajua wanashiriki katika utawala.

Kwa upande wa uchumi, imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza 'income inequality' miongoni mwa watu wake hali ambayo inafanya Tanzania kusiwe na machafuko au vurugu kama ilivyo Kenya. Kenya ni mfano wa nchi yenye tofauti kubwa ya kipato na migogoro ya ardhi. Ni takribani asilimia 20 tu ya ardhi nchini Kenya inafaa kwa kilimo, na sehemu hiyo inamilikiwa na wachache matajiri. Wengi wa wananchi hukosa nafasi ya uzalishaji, jambo linalosababisha maandamano na vurugu mara kwa mara. Vilevile, nchi kama Afrika Kusini ina tofauti kubwa za kipato kati ya wazungu wachache (minority) na wananchi wengi raia wa Afrika Kusini, jambo ambalo limekuwa chanzo cha migomo na ghasia.

Tanzania inatofautiana kwa sababu ardhi ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria, na hata maskini wanaweza kumiliki kipande cha shamba cha kulima. Zaidi ya asilimia kubwa ya Watanzania wanalima, na huzalisha chakula kwa wingi ikilinganishwa na majirani.

Hali hii inafanya Tanzania isiwe tegemezi kwa uagizaji wa chakula kutoka nje, na vijana wengi wanapata fursa ya kushiriki katika kilimo, biashara na ufugaji. Hivyo, vijana wa Tanzania hawana hasira/ghahabu kubwa za kiuchumi zinazowasukuma wenzao katika nchi kama Kenya au Afrika Kusini kuingia mitaani kwa maandamano.

Kwa mfano, Kenya inalazimika kuagiza chakula kutoka nje kutokana na kilimo chao kuuza sana mazao ya biashara kuliko mazao ya chakula, hali inayosababisha wananchi kukosa chakula cha kutosha. Hali hii huleta migongano ya kijamii na maandamano makubwa ya kupinga gharama za maisha. Tanzania kinyume chake huzalisha mazao ya chakula kwa wingi, jambo linalohakikisha usalama wa chakula na kupunguza hatari ya vurugu.

Hata hivyo, Niger na Mali zilishuhudia mapinduzi kutokana na ukosefu wa fursa za kiuchumi na migawanyiko ya kikabila. Afrika Kusini mara kwa mara hushuhudia vurugu kutokana na ukosefu mkubwa wa usawa wa kipato. Kenya imekumbwa na maandamano ya gharama za maisha na sera za kodi.

Tanzania haina mchanganyiko huu wa migogoro, ardhi inamilikiwa na umma, chakula kinapatikana kwa wingi, vijana wana fursa za uzalishaji, na mshikamano wa kijamii umejengwa kwa Kiswahili na utamaduni wa mshikamano.

Kwa kuzingatia historia hii, Tanzania imeweza kujiepusha na misururu ya mapinduzi na machafuko ambayo yamekumba mataifa mengine ya Afrika.

Uongozi ulioimarisha mshikamano, jeshi lililounganishwa na serikali, sheria za ardhi zinazoweka usawa, na uchumi unaozalisha chakula na fursa vimejenga mazingira yasiyofaa kwa mapinduzi au maandamano makubwa.

Tanzania ni mfano wa kipekee barani Afrika kwamba mshikamano wa kijamii na usawa wa fursa unaweza kuzuia migawanyiko na kulinda uthabiti wa taifa.
 
Afrika imekuwa ikishuhudia misururu ya mapinduzi ya kijeshi tangu enzi za Vita Baridi hadi karne ya 21. Nchi nyingi zilikumbwa na hali hii kutokana na migawanyiko ya kisiasa, kikabila na kiuchumi.

Ghana ilipitia mapinduzi yake ya kwanza mwaka 1966, Nigeria ikashuhudia mapinduzi mara kwa mara kuanzia miaka ya 1960 hadi mwishoni mwa karne ya 20, na Uganda ikapinduliwa mwaka 1971 chini ya Idi Amin.

Katika miaka ya hivi karibuni, hali hiyo imejirudia katika mataifa ya Sahel kama Mali mwaka 2020, Guinea 2021 na Niger 2023. Sababu kuu katika visa hivi imekuwa ni uchumi dhaifu, ukosefu wa mshikamano wa kitaifa, ukosefu wa usawa katika rasilimali na mara nyingine kuingilia kati kwa mataifa ya nje.

Tanzania ni nchi ya pekee barani Afrika ambayo haijawahi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi, jambo linaloibua swali la msingi: kwanini hali hii haiwezekani?

Kwanza, Tanzania imejengeka juu ya msingi wa mshikamano wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere. Kupitia sera ya Ujamaa na lugha ya Kiswahili, Watanzania waliunganishwa kwa utambulisho wa pamoja. Tofauti na nchi nyingi za Afrika zilizoathirika na mapinduzi kwa sababu ya migawanyiko ya kikabila na kidini, Tanzania haina kabila linalotawala au kudharaulika zaidi ya jingine. Lugha ya Kiswahili imekuwa daraja la mshikamano na taifa limekua na utambulisho mmoja, hali inayopunguza uwezekano wa machafuko ya kisiasa yanayotokana na ukabila.

Sababu ya pili ni nafasi ya jeshi na uhusiano wake na siasa. Katika nchi nyingi za Afrika, mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi linajiona kama taasisi iliyotengwa na siasa, na hivyo kuona lina haki ya kuingilia. Tanzania ni tofauti. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeunganishwa moja kwa moja na chama tawala CCM na serikali.

Ni jambo la kawaida kuona maafisa wa JWTZ wakiteuliwa kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya au hata mabalozi. Hii inamaanisha jeshi halina nafasi ya kuona linabaki pembeni au kutengwa, bali linajiona sehemu ya moja kwa moja ya mfumo wa kiserikali. Hali hii hupunguza uwezekano wa maafisa wa kijeshi kuunda mapinduzi kwa sababu wanajua wanashiriki katika utawala.

Kwa upande wa uchumi, imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza 'income inequality' miongoni mwa watu wake hali ambayo inafanya Tanzania kusiwe na machafuko au vurugu kama ilivyo Kenya. Kenya ni mfano wa nchi yenye tofauti kubwa ya kipato na migogoro ya ardhi. Ni takribani asilimia 20 tu ya ardhi nchini Kenya inafaa kwa kilimo, na sehemu hiyo inamilikiwa na wachache matajiri. Wengi wa wananchi hukosa nafasi ya uzalishaji, jambo linalosababisha maandamano na vurugu mara kwa mara. Vilevile, nchi kama Afrika Kusini ina tofauti kubwa za kipato kati ya wazungu wachache (minority) na wananchi wengi raia wa Afrika Kusini, jambo ambalo limekuwa chanzo cha migomo na ghasia.

Tanzania inatofautiana kwa sababu ardhi ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria, na hata maskini wanaweza kumiliki kipande cha shamba cha kulima. Zaidi ya asilimia kubwa ya Watanzania wanalima, na huzalisha chakula kwa wingi ikilinganishwa na majirani.

Hali hii inafanya Tanzania isiwe tegemezi kwa uagizaji wa chakula kutoka nje, na vijana wengi wanapata fursa ya kushiriki katika kilimo, biashara na ufugaji. Hivyo, vijana wa Tanzania hawana hasira/ghahabu kubwa za kiuchumi zinazowasukuma wenzao katika nchi kama Kenya au Afrika Kusini kuingia mitaani kwa maandamano.

Kwa mfano, Kenya inalazimika kuagiza chakula kutoka nje kutokana na kilimo chao kuuza sana mazao ya biashara kuliko mazao ya chakula, hali inayosababisha wananchi kukosa chakula cha kutosha. Hali hii huleta migongano ya kijamii na maandamano makubwa ya kupinga gharama za maisha. Tanzania kinyume chake huzalisha mazao ya chakula kwa wingi, jambo linalohakikisha usalama wa chakula na kupunguza hatari ya vurugu.

Hata hivyo, Niger na Mali zilishuhudia mapinduzi kutokana na ukosefu wa fursa za kiuchumi na migawanyiko ya kikabila. Afrika Kusini mara kwa mara hushuhudia vurugu kutokana na ukosefu mkubwa wa usawa wa kipato. Kenya imekumbwa na maandamano ya gharama za maisha na sera za kodi.

Tanzania haina mchanganyiko huu wa migogoro, ardhi inamilikiwa na umma, chakula kinapatikana kwa wingi, vijana wana fursa za uzalishaji, na mshikamano wa kijamii umejengwa kwa Kiswahili na utamaduni wa mshikamano.

Kwa kuzingatia historia hii, Tanzania imeweza kujiepusha na misururu ya mapinduzi na machafuko ambayo yamekumba mataifa mengine ya Afrika.

Uongozi ulioimarisha mshikamano, jeshi lililounganishwa na serikali, sheria za ardhi zinazoweka usawa, na uchumi unaozalisha chakula na fursa vimejenga mazingira yasiyofaa kwa mapinduzi au maandamano makubwa.

Tanzania ni mfano wa kipekee barani Afrika kwamba mshikamano wa kijamii na usawa wa fursa unaweza kuzuia migawanyiko na kulinda uthabiti wa taifa.
Wacha kukariri.
 
Afrika imekuwa ikishuhudia misururu ya mapinduzi ya kijeshi tangu enzi za Vita Baridi hadi karne ya 21. Nchi nyingi zilikumbwa na hali hii kutokana na migawanyiko ya kisiasa, kikabila na kiuchumi.

Ghana ilipitia mapinduzi yake ya kwanza mwaka 1966, Nigeria ikashuhudia mapinduzi mara kwa mara kuanzia miaka ya 1960 hadi mwishoni mwa karne ya 20, na Uganda ikapinduliwa mwaka 1971 chini ya Idi Amin.

Katika miaka ya hivi karibuni, hali hiyo imejirudia katika mataifa ya Sahel kama Mali mwaka 2020, Guinea 2021 na Niger 2023. Sababu kuu katika visa hivi imekuwa ni uchumi dhaifu, ukosefu wa mshikamano wa kitaifa, ukosefu wa usawa katika rasilimali na mara nyingine kuingilia kati kwa mataifa ya nje.

Tanzania ni nchi ya pekee barani Afrika ambayo haijawahi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi, jambo linaloibua swali la msingi: kwanini hali hii haiwezekani?

Kwanza, Tanzania imejengeka juu ya msingi wa mshikamano wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere. Kupitia sera ya Ujamaa na lugha ya Kiswahili, Watanzania waliunganishwa kwa utambulisho wa pamoja. Tofauti na nchi nyingi za Afrika zilizoathirika na mapinduzi kwa sababu ya migawanyiko ya kikabila na kidini, Tanzania haina kabila linalotawala au kudharaulika zaidi ya jingine. Lugha ya Kiswahili imekuwa daraja la mshikamano na taifa limekua na utambulisho mmoja, hali inayopunguza uwezekano wa machafuko ya kisiasa yanayotokana na ukabila.

Sababu ya pili ni nafasi ya jeshi na uhusiano wake na siasa. Katika nchi nyingi za Afrika, mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi linajiona kama taasisi iliyotengwa na siasa, na hivyo kuona lina haki ya kuingilia. Tanzania ni tofauti. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeunganishwa moja kwa moja na chama tawala CCM na serikali.

Ni jambo la kawaida kuona maafisa wa JWTZ wakiteuliwa kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya au hata mabalozi. Hii inamaanisha jeshi halina nafasi ya kuona linabaki pembeni au kutengwa, bali linajiona sehemu ya moja kwa moja ya mfumo wa kiserikali. Hali hii hupunguza uwezekano wa maafisa wa kijeshi kuunda mapinduzi kwa sababu wanajua wanashiriki katika utawala.

Kwa upande wa uchumi, imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza 'income inequality' miongoni mwa watu wake hali ambayo inafanya Tanzania kusiwe na machafuko au vurugu kama ilivyo Kenya. Kenya ni mfano wa nchi yenye tofauti kubwa ya kipato na migogoro ya ardhi. Ni takribani asilimia 20 tu ya ardhi nchini Kenya inafaa kwa kilimo, na sehemu hiyo inamilikiwa na wachache matajiri. Wengi wa wananchi hukosa nafasi ya uzalishaji, jambo linalosababisha maandamano na vurugu mara kwa mara. Vilevile, nchi kama Afrika Kusini ina tofauti kubwa za kipato kati ya wazungu wachache (minority) na wananchi wengi raia wa Afrika Kusini, jambo ambalo limekuwa chanzo cha migomo na ghasia.

Tanzania inatofautiana kwa sababu ardhi ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria, na hata maskini wanaweza kumiliki kipande cha shamba cha kulima. Zaidi ya asilimia kubwa ya Watanzania wanalima, na huzalisha chakula kwa wingi ikilinganishwa na majirani.

Hali hii inafanya Tanzania isiwe tegemezi kwa uagizaji wa chakula kutoka nje, na vijana wengi wanapata fursa ya kushiriki katika kilimo, biashara na ufugaji. Hivyo, vijana wa Tanzania hawana hasira/ghahabu kubwa za kiuchumi zinazowasukuma wenzao katika nchi kama Kenya au Afrika Kusini kuingia mitaani kwa maandamano.

Kwa mfano, Kenya inalazimika kuagiza chakula kutoka nje kutokana na kilimo chao kuuza sana mazao ya biashara kuliko mazao ya chakula, hali inayosababisha wananchi kukosa chakula cha kutosha. Hali hii huleta migongano ya kijamii na maandamano makubwa ya kupinga gharama za maisha. Tanzania kinyume chake huzalisha mazao ya chakula kwa wingi, jambo linalohakikisha usalama wa chakula na kupunguza hatari ya vurugu.

Hata hivyo, Niger na Mali zilishuhudia mapinduzi kutokana na ukosefu wa fursa za kiuchumi na migawanyiko ya kikabila. Afrika Kusini mara kwa mara hushuhudia vurugu kutokana na ukosefu mkubwa wa usawa wa kipato. Kenya imekumbwa na maandamano ya gharama za maisha na sera za kodi.

Tanzania haina mchanganyiko huu wa migogoro, ardhi inamilikiwa na umma, chakula kinapatikana kwa wingi, vijana wana fursa za uzalishaji, na mshikamano wa kijamii umejengwa kwa Kiswahili na utamaduni wa mshikamano.

Kwa kuzingatia historia hii, Tanzania imeweza kujiepusha na misururu ya mapinduzi na machafuko ambayo yamekumba mataifa mengine ya Afrika.

Uongozi ulioimarisha mshikamano, jeshi lililounganishwa na serikali, sheria za ardhi zinazoweka usawa, na uchumi unaozalisha chakula na fursa vimejenga mazingira yasiyofaa kwa mapinduzi au maandamano makubwa.

Tanzania ni mfano wa kipekee barani Afrika kwamba mshikamano wa kijamii na usawa wa fursa unaweza kuzuia migawanyiko na kulinda uthabiti wa taifa.

..hujui historia.

..Nyerere alipinduliwa 1964 akarejeshwa na Waingereza.

..Sultan Jamshid alipinduliwa Zanzibar mwaka 1964.

..hii habari kwamba hakujawahi kutokea mapinduzi au uasi unaitoa wapi.
 
Afrika imekuwa ikishuhudia misururu ya mapinduzi ya kijeshi tangu enzi za Vita Baridi hadi karne ya 21. Nchi nyingi zilikumbwa na hali hii kutokana na migawanyiko ya kisiasa, kikabila na kiuchumi.

Ghana ilipitia mapinduzi yake ya kwanza mwaka 1966, Nigeria ikashuhudia mapinduzi mara kwa mara kuanzia miaka ya 1960 hadi mwishoni mwa karne ya 20, na Uganda ikapinduliwa mwaka 1971 chini ya Idi Amin.

Katika miaka ya hivi karibuni, hali hiyo imejirudia katika mataifa ya Sahel kama Mali mwaka 2020, Guinea 2021 na Niger 2023. Sababu kuu katika visa hivi imekuwa ni uchumi dhaifu, ukosefu wa mshikamano wa kitaifa, ukosefu wa usawa katika rasilimali na mara nyingine kuingilia kati kwa mataifa ya nje.

Tanzania ni nchi ya pekee barani Afrika ambayo haijawahi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi, jambo linaloibua swali la msingi: kwanini hali hii haiwezekani?

Kwanza, Tanzania imejengeka juu ya msingi wa mshikamano wa kitaifa ulioasisiwa na Mwalimu Julius Nyerere. Kupitia sera ya Ujamaa na lugha ya Kiswahili, Watanzania waliunganishwa kwa utambulisho wa pamoja. Tofauti na nchi nyingi za Afrika zilizoathirika na mapinduzi kwa sababu ya migawanyiko ya kikabila na kidini, Tanzania haina kabila linalotawala au kudharaulika zaidi ya jingine. Lugha ya Kiswahili imekuwa daraja la mshikamano na taifa limekua na utambulisho mmoja, hali inayopunguza uwezekano wa machafuko ya kisiasa yanayotokana na ukabila.

Sababu ya pili ni nafasi ya jeshi na uhusiano wake na siasa. Katika nchi nyingi za Afrika, mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi linajiona kama taasisi iliyotengwa na siasa, na hivyo kuona lina haki ya kuingilia. Tanzania ni tofauti. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeunganishwa moja kwa moja na chama tawala CCM na serikali.

Ni jambo la kawaida kuona maafisa wa JWTZ wakiteuliwa kuwa wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya au hata mabalozi. Hii inamaanisha jeshi halina nafasi ya kuona linabaki pembeni au kutengwa, bali linajiona sehemu ya moja kwa moja ya mfumo wa kiserikali. Hali hii hupunguza uwezekano wa maafisa wa kijeshi kuunda mapinduzi kwa sababu wanajua wanashiriki katika utawala.

Kwa upande wa uchumi, imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupunguza 'income inequality' miongoni mwa watu wake hali ambayo inafanya Tanzania kusiwe na machafuko au vurugu kama ilivyo Kenya. Kenya ni mfano wa nchi yenye tofauti kubwa ya kipato na migogoro ya ardhi. Ni takribani asilimia 20 tu ya ardhi nchini Kenya inafaa kwa kilimo, na sehemu hiyo inamilikiwa na wachache matajiri. Wengi wa wananchi hukosa nafasi ya uzalishaji, jambo linalosababisha maandamano na vurugu mara kwa mara. Vilevile, nchi kama Afrika Kusini ina tofauti kubwa za kipato kati ya wazungu wachache (minority) na wananchi wengi raia wa Afrika Kusini, jambo ambalo limekuwa chanzo cha migomo na ghasia.

Tanzania inatofautiana kwa sababu ardhi ni mali ya umma kwa mujibu wa sheria, na hata maskini wanaweza kumiliki kipande cha shamba cha kulima. Zaidi ya asilimia kubwa ya Watanzania wanalima, na huzalisha chakula kwa wingi ikilinganishwa na majirani.

Hali hii inafanya Tanzania isiwe tegemezi kwa uagizaji wa chakula kutoka nje, na vijana wengi wanapata fursa ya kushiriki katika kilimo, biashara na ufugaji. Hivyo, vijana wa Tanzania hawana hasira/ghahabu kubwa za kiuchumi zinazowasukuma wenzao katika nchi kama Kenya au Afrika Kusini kuingia mitaani kwa maandamano.

Kwa mfano, Kenya inalazimika kuagiza chakula kutoka nje kutokana na kilimo chao kuuza sana mazao ya biashara kuliko mazao ya chakula, hali inayosababisha wananchi kukosa chakula cha kutosha. Hali hii huleta migongano ya kijamii na maandamano makubwa ya kupinga gharama za maisha. Tanzania kinyume chake huzalisha mazao ya chakula kwa wingi, jambo linalohakikisha usalama wa chakula na kupunguza hatari ya vurugu.

Hata hivyo, Niger na Mali zilishuhudia mapinduzi kutokana na ukosefu wa fursa za kiuchumi na migawanyiko ya kikabila. Afrika Kusini mara kwa mara hushuhudia vurugu kutokana na ukosefu mkubwa wa usawa wa kipato. Kenya imekumbwa na maandamano ya gharama za maisha na sera za kodi.

Tanzania haina mchanganyiko huu wa migogoro, ardhi inamilikiwa na umma, chakula kinapatikana kwa wingi, vijana wana fursa za uzalishaji, na mshikamano wa kijamii umejengwa kwa Kiswahili na utamaduni wa mshikamano.

Kwa kuzingatia historia hii, Tanzania imeweza kujiepusha na misururu ya mapinduzi na machafuko ambayo yamekumba mataifa mengine ya Afrika.

Uongozi ulioimarisha mshikamano, jeshi lililounganishwa na serikali, sheria za ardhi zinazoweka usawa, na uchumi unaozalisha chakula na fursa vimejenga mazingira yasiyofaa kwa mapinduzi au maandamano makubwa.

Tanzania ni mfano wa kipekee barani Afrika kwamba mshikamano wa kijamii na usawa wa fursa unaweza kuzuia migawanyiko na kulinda uthabiti wa taifa.
Na vipi sasa kuhusu Wizi na Ujuha wa Kimama, jeshi pia limefungamanishwa kwenye Ushenzy huo???

Lakini nikustue tu mapinduzi ya kijeshi siku zote hufanywa na wanajeshi vijana; hayo ya kuteuana, kununuliana magari ya kifahari na kila aina ya uchafu unaofanywa na Bi.Kizimkazi huwafaidisha viongozi wa jeshi wazee; wanajeshi vijana siyo wanufaika, wapo mbali na huo uchafu na wanaona, usifikiri hawaoni.

SIYO KILA SIKU NI IJUMAA
 
Mzinga uko Tabora, mabomu ya mizinga yako Ngerengere, funguo za maghala ya mabomu ziko Mtwara,

Katika moja ya kanuni muhimu ya kijeshi, ni marufuku kuzoeana na mtu asiye wa ngazi yako ili kuepusha kujenga kundi, na pia kila kundi lina MI na TISS. Mawasiliano na tabia viko monitored closely
Rachel Dangwa naye yuko monitored?
 
Nyerere alikoswakoswa kupinduliwa mara mbili

Mkoa wa Mara kuna jamaa alifanya declaration ya taifa la chui na kujitoa Tanganyika...

Hata hivyo, zote ulizotaja hapo ni sababu na zipo nchi nyingi ila Nyerere alitengeneza ujamaa ulioua ushindani na individualism na wakati huo huo alitengeneza uzalendo unaogemea katika kuwatii viongozi chama na viongozi kuliko kulinda maslahi ya taifa hususani vizazi vinavyokuja.. Hapa watanzania wakatiwa kilema cha maisha, si tu kisiasa, kijamii na hata kiuchumi haswa katika kutii mamlaka pasipo kuwafanya wawe accountable

Upo sawa Ila kusema haitokuja kutokea, SIAMINI maana vizazi vya sasa vimekuzwa katika misingi ya demokrasia lakini pia ugumu wa maisha unawaforce watu wengi kuwa mabepari. Ukiongezea na ukuaji wa digital platforms na social media unaochochea mawazo na hisia. Amini usiamini, Tanzania ipo karibu sana na hizo social and political unrest.

Kwa hiyo viongozi wasipuuze
 
Kuna mazezeta mengi tukonayo vikosini
Si mliwadunga machanjo ya corona matokeo yake yamewadhuru vichwa wamebaki wamezubaa kama mazuzu.

Brigedia kabisa unafunua kombati unainama unadungwa chanjo la makalio ambalo halijulikani hata chemical compounds zake!

Bong'oa bong'ooo..... brigediaa!!! Aibu!! Halafu ndio ushindane na majizi sugu yanayokwapua migodi yetu! Thubutu.
 
Mzinga uko Tabora, mabomu ya mizinga yako Ngerengere, funguo za maghala ya mabomu ziko Mtwara,

Katika moja ya kanuni muhimu ya kijeshi, ni marufuku kuzoeana na mtu asiye wa ngazi yako ili kuepusha kujenga kundi, na pia kila kundi lina MI na TISS. Mawasiliano na tabia viko monitored closely
Halafu wewe umesoma certificate ya Law, mambo ya jeshi umeyajulia wapi?
 
Tanzania: Amani au Ukimya wa Woga?

Kuna hadithi tunayoambiwa kila siku: kwamba Tanzania ni kisiwa cha amani barani Afrika, nchi ambayo haiwezi kushuhudia mapinduzi ya kijeshi. Hadithi hii hupakwa rangi nzuri – mshikamano wa Kiswahili, ardhi ya umma, chakula kingi, na jeshi lililo karibu na serikali. Lakini ukiichambua kwa makini, ni simulizi ya matumaini, si ukweli wa kisiasa.

Ukweli wa ukabila “uliofichwa”

Ni rahisi kusema “hakuna ukabila Tanzania.” Lakini mbona migogoro ya Wamasai na serikali kuhusu ardhi za malisho haishi? Mbona mivutano ya Wangoni na Wanyakyusa bado ipo chini kwa chini? Hata juzi tu, maandamano ya Wamasai Loliondo yalionyesha wazi kuwa masuala ya ardhi yanaweza kugeuka kisiasa. Ni kweli Kiswahili kimefanya kazi kubwa, lakini mshikamano huu mara nyingi umetegemea ukandamizaji wa serikali – siyo maridhiano ya kweli. Ukabila haujatoweka, umenyamazishwa. Na kitu kilichonyamazishwa si salama; ni bomu linalosubiri mlipukoko.

Jeshi lililo karibu mno na siasa

Wengine wanasema JWTZ haliwezi kupindua kwa sababu limeunganishwa na serikali. Hii si kinga – ni hatari. Jeshi likiwa karibu na siasa, linaona kila ufa, linafahamu udhaifu wote. Mara afisa mmoja akihisi kusalitiwa au kunyimwa nafasi, mapinduzi si jambo la ndoto. Historia ya Afrika inatufundisha: Guinea, Burkina Faso, Mali – vyote vilipinduliwa na majeshi yaliyokuwa ndani ya mfumo wa siasa, si yale yaliyokuwa pembeni.

Uchumi: bomu la vijana

Hadithi ya “usawa wa kipato” Tanzania ni kivuli cha ujamaa kilichopitwa na wakati. Miji yetu imejaa vijana waliokata tamaa – boda boda, machinga, na vibarua. Ajira za heshima hazipo. Wakati huo huo, miradi ya uwekezaji inameza ardhi za wananchi: Loliondo, Mbarali, Rufiji. Ni kweli, ardhi ni “ya umma,” lakini nani anafaidika? Si maskini, bali wenye nguvu karibu na chama. Huu si usawa, huu ni ukosefu wa haki unaovaa kanzu ya usawa.

Chakula kingi, lakini bei juu

“Tanzania huzalisha chakula kingi,” wanadai. Lakini mikoa kama Singida na Manyara kila mwaka hulia njaa. Bei ya unga jijini Dar es Salaam imepanda maradufu katika miaka ya karibuni. Wananchi wanaandamana Dodoma na Arusha wakilalamikia gharama za maisha. Swali si kama tunazalisha, bali kama wananchi wanaweza kumudu. Hapo ndipo tunafeli. Chakula kuwa kingi shambani hakumaanishi usalama wa jamii mijini.

Amani au hofu?

Mara nyingi tunasikia: “Tanzania haina maandamano kwa sababu watu wameridhika.” Hapana. Ukweli mchungu ni kwamba maandamano yamekandamizwa. Kumbuka mwaka 2017, Tundu Lissu – kiongozi wa upinzani – alipigwa risasi mchana kweupe. Hadi leo tukio hilo linabaki doa katika simulizi ya “usalama.” Baadaye, siasa za upinzani zilifungwa rasmi; mikutano ya Chadema na vyama vingine vikazuiwa kwa miaka kadhaa. Watu hawakunyamaza kwa sababu waliridhika, walinyamaza kwa sababu waliogopa.

Ukimya si amani. Ukimya ni hofu. Na hofu huwa na kikomo.

Urithi unaochakaa

Sababu ya kweli Tanzania kutoshuhudia mapinduzi hadi sasa ni kivuli cha Nyerere. Watu walimwona kama baba wa taifa, na chama kilirithi uhalali wake. Lakini kizazi cha leo hakina hisia hizo. Vijana hawamjui Nyerere kama mzazi wa taifa – wanamjua kama picha kwenye ukuta. Kile kizazi kipya kinataka ajira, maisha bora, na haki. Urithi huo ukishakoma, ukimya wa hofu unaweza kugeuka kilio cha hasira.

Hitimisho

Tanzania haijapinduliwa si kwa sababu mapinduzi hayawezekani, bali kwa sababu historia na ukandamizaji vimeweka hasira chini ya zulia. Ukabila upo, ukosefu wa ajira ni mkubwa, jeshi lina nafasi hatari mno, chakula hakisambazwi sawasawa, na mshikamano wetu ni zaidi ya simulizi kuliko uhalisia.

Swali si “kwa nini Tanzania haiwezi kupinduliwa?” Swali la kweli ni: je, tukikosa kusikia sauti za wananchi leo, tutakuwa tayari kwa mlipuko wa kesho?

Nilimuagiza Assistant wangu aaniandikie andiko la kukupinga baada ya kumpa hoja zangu.
 
Umesahau udini, udini hauruhusiwi Tanzania ila wananchi wake wana dini zao wanazoziabudu. Dini haijaunganishwa na serikali na mtu anayeshadidia udini kwenye serikali hupuuzwa na kuonekana ni mpuuzi
 
Back
Top Bottom