Kwanini taa za barabarani ni za njano badala ya mwanga mweupe?

Jul 12, 2018
74
97
Nasikitika sana kuona kila nchi ninazo tembelea Africa na hata Ulaya na Marekani taa za barabani ni mwanga mweupe wenye kumulika hata sindano unaiona usiku.

Sijui Tanesco wana matatizo gani kufunga taa manjano barabarani amabazo hazina kabisa mwanga na wala hazileti faida yoyote.

Hebu tuone majirani zetu Kenya au Kigali taa mwanga mweupe unapendeza na unaona barabara kama unaendesha gari vizuri.

Pia barabara zote njiani nakumbuka hapa Dar zamani kuna black and white kila tofali kwenye matofali ya barabarani kama miaka 60 na 70 sasa sijui kwa nini wameondosha.

Leo wanasifia nchi nyingine kwa mfumo wa barabara zao labda kwa ajili ya urembo huo ambao ulikuwepo miaka 70 leo kwa nini wameondoa barabara hazina ladha ya barabara kama zile za mataifa ya wenzetu.
 
Nasikitika sana kuona kila nchi ninazo tembelea Africa na hata Ulaya na Marekani taa za barabani ni mwanga mweupe wenye kumulika hata sindano unaiona usiku.

Sijui Tanesco wana matatizo gani kufunga taa manjano barabarani amabazo hazina kabisa mwanga na wala hazileti faida yoyote.

Hebu tuone majirani zetu Kenya au Kigali taa mwanga mweupe unapendeza na unaona barabara kama unaendesha gari vizuri.

Pia barabara zote njiani nakumbuka hapa Dar zamani kuna black and white kila tofali kwenye matofali ya barabarani kama miaka 60 na 70 sasa sijui kwa nini wameondosha.

Leo wanasifia nchi nyingine kwa mfumo wa barabara zao labda kwa ajili ya urembo huo ambao ulikuwepo miaka 70 leo kwa nini wameondoa barabara hazina ladha ya barabara kama zile za mataifa ya wenzetu.
Unakumbuka miaka ya 60 na 70? Shkamoo baba...
 
wewe sio dereva, au hata Baiskeli hujaiendesha kwenye barabara hizo
km una kapicha tupia hapo
hairuhusiwi kuwa na mwanga mkali katika barabara yoyote eti mpaka unaiona sindano
Nasikitika sana kuona kila nchi ninazo tembelea Africa na hata Ulaya na Marekani taa za barabani ni mwanga mweupe wenye kumulika hata sindano unaiona usiku.
katika magari yote kuna Full beam na low
huruhusiwi kupiga full ili kuiona sindano ule mwanga ni mkali na km utamulika kwenye macho ya dereva mwingine utapoteza mwelekeo ndio maana Mjini huruhusiwi kupiga full
 
Kwa akili hii basi gari zisingekuwa zinatembea mchana kwenye mwanga mkali. Mleta mada hajazungumzia full beam/light. Kazungumza zile taa za barabarani zinazokuwa juu kuwa na mwanga mkali hii si shida. Unalamba sana ukwaju mpaka akili yako inakwajuka.


wewe sio dereva, au hata Baiskeli hujaiendesha kwenye barabara hizo
km una kapicha tupia hapo
hairuhusiwi kuwa na mwanga mkali katika barabara yoyote eti mpaka unaiona sindano

katika magari yote kuna Full beam na low
huruhusiwi kupiga full ili kuiona sindano ule mwanga ni mkali na km utamulika kwenye macho ya dereva mwingine utapoteza mwelekeo ndio maana Mjini huruhusiwi kupiga full
 
Nasikitika sana kuona kila nchi ninazo tembelea Africa na hata Ulaya na Marekani taa za barabani ni mwanga mweupe wenye kumulika hata sindano unaiona usiku.

Sijui Tanesco wana matatizo gani kufunga taa manjano barabarani amabazo hazina kabisa mwanga na wala hazileti faida yoyote.

Hebu tuone majirani zetu Kenya au Kigali taa mwanga mweupe unapendeza na unaona barabara kama unaendesha gari vizuri.

Pia barabara zote njiani nakumbuka hapa Dar zamani kuna black and white kila tofali kwenye matofali ya barabarani kama miaka 60 na 70 sasa sijui kwa nini wameondosha.

Leo wanasifia nchi nyingine kwa mfumo wa barabara zao labda kwa ajili ya urembo huo ambao ulikuwepo miaka 70 leo kwa nini wameondoa barabara hazina ladha ya barabara kama zile za mataifa ya wenzetu.
Hizo ni high pressure sodium lamp. Zinatoa mwanga mkubwa kwa umeme mdogo kulinganisha na taa nyingine(zamani).
Sasa hivi zilivyokuja LED ndio hizi za orange zinaanza kuondolewa. LED zina mwanga mkubwa zaidi na zinatumia umeme mdogo zaidi
 
Kwa akili hii basi gari zisingekuwa zinatembea mchana kwenye mwanga mkali. Mleta mada hajazungumzia full beam/light. Kazungumza zile taa za barabarani zinazokuwa juu kuwa na mwanga mkali hii si shida. Unalamba sana ukwaju mpaka akili yako inakwajuka.
acha UCHIZI bila maarifa huna lolote na siwezi bishana na wewe unayelinganisha mwanga wa mchana na taa za bulb
kwanini Traffic wanakataa taa za mwanga mkali za nyongeza ambazo hazina viwango vilivyokubaliwa katika magari?
na wewe unaamini tuwe tunatafuta sindano barabarani
kuna taa zina mwanga wa njano ndizo zinatumika iwe juu au kwenye magari
soma na post za wenzako sio kila ukiona taa nyumbani ndio uilete barabarani
 
Nasikitika sana kuona kila nchi ninazo tembelea Africa na hata Ulaya na Marekani taa za barabani ni mwanga mweupe wenye kumulika hata sindano unaiona usiku.

Sijui Tanesco wana matatizo gani kufunga taa manjano barabarani amabazo hazina kabisa mwanga na wala hazileti faida yoyote.

Hebu tuone majirani zetu Kenya au Kigali taa mwanga mweupe unapendeza na unaona barabara kama unaendesha gari vizuri.

Pia barabara zote njiani nakumbuka hapa Dar zamani kuna black and white kila tofali kwenye matofali ya barabarani kama miaka 60 na 70 sasa sijui kwa nini wameondosha.

Leo wanasifia nchi nyingine kwa mfumo wa barabara zao labda kwa ajili ya urembo huo ambao ulikuwepo miaka 70 leo kwa nini wameondoa barabara hazina ladha ya barabara kama zile za mataifa ya wenzetu.
Zile ni 'mercury halide lamps'
Ndio mana mwanga wake ni njano
Visibility ni nzuri kwa taa hizo hata kwenye ukungu kuliko hizo unazopenda.
Hata brake na tail lights za magari pia zina rangi hizo kwa sababu hiyo.
Labda magari ya bongo mtaweka za zambarao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa akili hii basi gari zisingekuwa zinatembea mchana kwenye mwanga mkali. Mleta mada hajazungumzia full beam/light. Kazungumza zile taa za barabarani zinazokuwa juu kuwa na mwanga mkali hii si shida. Unalamba sana ukwaju mpaka akili yako inakwajuka.
matusi ya nini na kejeli sasa?
 
Common sense isnt common no more nowdays. Traffic wanazuia zile sababu zinamulika usoni.hizi tunazozungumzia sisi ni za kwenye barabara juu.

acha UCHIZI bila maarifa huna lolote na siwezi bishana na wewe unayelinganisha mwanga wa mchana na taa za bulb
kwanini Traffic wanakataa taa za mwanga mkali za nyongeza ambazo hazina viwango vilivyokubaliwa katika magari?
na wewe unaamini tuwe tunatafuta sindano barabarani
kuna taa zina mwanga wa njano ndizo zinatumika iwe juu au kwenye magari
soma na post za wenzako sio kila ukiona taa nyumbani ndio uilete barabarani
 
Hizo ni high pressure sodium lamp. Zinatoa mwanga mkubwa kwa umeme mdogo kulinganisha na taa nyingine(zamani).
Sasa hivi zilivyokuja LED ndio hizi za orange zinaanza kuondolewa. LED zina mwanga mkubwa zaidi na zinatumia umeme mdogo zaidi
Hapa Mkuu unaeleweka, na nimeona hata taa za solar ambazo hazitumii kabisa umeme zinawekwa mabarabarani lkn zikipishana km mita 10 au zaidi zikisaidia uoni wa barabara hata wapita kwa miguu wakiona kwa umbali mrefu usalama wao
 
Common sense isnt common no more nowdays. Traffic wanazuia zile sababu zinamulika usoni.hizi tunazozungumzia sisi ni za kwenye barabara juu.
nakwambia acha uchizi
wapi kuna taa zinamulika mpaka sindano, limi umeendesha hata Baiskeli usiku ukauona huo mwanga
au ni kudakia kuchangia usichokijua
weka picha za taa zinazomulika mwanga mkubwa wa kuiona sindano
usikute nabishana na Chizi
 
Unanyonya sana ukwaju wa bakhressa ndo maana hata akili imekwajuka.😂😂😂😂 Usipende kunyonya sana vitu vina athari yake kama hii.

nakwambia acha uchizi
wapi kuna taa zinamulika mpaka sindano, limi umeendesha hata Baiskeli usiku ukauona huo mwanga
au ni kudakia kuchangia usichokijua
weka picha za taa zinazomulika mwanga mkubwa wa kuiona sindano
usikute nabishana na Chizi
 
Nasikitika sana kuona kila nchi ninazo tembelea Africa na hata Ulaya na Marekani taa za barabani ni mwanga mweupe wenye kumulika hata sindano unaiona usiku.

Sijui Tanesco wana matatizo gani kufunga taa manjano barabarani amabazo hazina kabisa mwanga na wala hazileti faida yoyote.

Hebu tuone majirani zetu Kenya au Kigali taa mwanga mweupe unapendeza na unaona barabara kama unaendesha gari vizuri.

Pia barabara zote njiani nakumbuka hapa Dar zamani kuna black and white kila tofali kwenye matofali ya barabarani kama miaka 60 na 70 sasa sijui kwa nini wameondosha.

Leo wanasifia nchi nyingine kwa mfumo wa barabara zao labda kwa ajili ya urembo huo ambao ulikuwepo miaka 70 leo kwa nini wameondoa barabara hazina ladha ya barabara kama zile za mataifa ya wenzetu.
Hayo ndio madhara ya waafrika kujitawala.
 
wewe sio dereva, au hata Baiskeli hujaiendesha kwenye barabara hizo
km una kapicha tupia hapo
hairuhusiwi kuwa na mwanga mkali katika barabara yoyote eti mpaka unaiona sindano

katika magari yote kuna Full beam na low
huruhusiwi kupiga full ili kuiona sindano ule mwanga ni mkali na km utamulika kwenye macho ya dereva mwingine utapoteza mwelekeo ndio maana Mjini huruhusiwi kupiga full
Hata ugali maharage umekushinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wengi walioandika majibu hawakuwepo nafikiri KAJIMA ALIPO JENGA NEW SALEANDER BRIDGE MIAKA YA 80 , Taa za barabarani zilikiwa zinawaka sana mwanga mkali hata ukiendesha gari ukazima taa bado unaona mbele ndio mantiki yngu , kuweka taa za manjano sijonanq mantiki hio , wanaosafiri nje wapo wanaona wenzetu taa z barabari kwenye miji Mikuu inarimuka muanga gani Kama sio WHITE LIGHT?
 
Back
Top Bottom