Wakati Sumaye akiwa Waziri mkuu watu wengi waliuliwa kwa kupigwa risasi kinyama kama tembo wauliwavyo na wawindaji haramu.
Matukio ya kutisha ni kuuliwa kwa ndugu zetu waliokuwa wakitokea msikitini pale mwembe chai waliuliwa kwa kushambuliwa kwa risasi za moto. Unyama huu ulifanyika wakati bwana Sumaye alikuwa kiongozi mkuu wa serikali hivyo anastahili kushitakiwa kwa mauaji yale.
Hiyo haikutosha wapemba waliuliwa kwa kushambuliwa kwa risasi za moto hadi wengine walishakimbilia Somalia na shimoni kule Mombasa. Huu ulikuwa ni utawala wa huyu bwana mkubwa.
Kwanini huyu jamaa atembee huru huku mikono yake imetapakaa damu? kwanini asishitakiwe kwa hayo mauaji wakati yeye ndo alikuwa kiongozi mkuu wa serikali?
Matukio ya kutisha ni kuuliwa kwa ndugu zetu waliokuwa wakitokea msikitini pale mwembe chai waliuliwa kwa kushambuliwa kwa risasi za moto. Unyama huu ulifanyika wakati bwana Sumaye alikuwa kiongozi mkuu wa serikali hivyo anastahili kushitakiwa kwa mauaji yale.
Hiyo haikutosha wapemba waliuliwa kwa kushambuliwa kwa risasi za moto hadi wengine walishakimbilia Somalia na shimoni kule Mombasa. Huu ulikuwa ni utawala wa huyu bwana mkubwa.
Kwanini huyu jamaa atembee huru huku mikono yake imetapakaa damu? kwanini asishitakiwe kwa hayo mauaji wakati yeye ndo alikuwa kiongozi mkuu wa serikali?