Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,102
Kwa mara ya kwanza nasikia basi limepinduka na kuuwa abiria wote kisha utingo ndiye anashitakiwa. Dereva akiwa upande wa mwendesha mashaitaka! Na utingo anaulizwa kama ana leseni ya udereva!!