Kwanini soda ya Krest Ginger Ale ipo mikoa ya Kaskazini tu?

Kwanini soda ya Krest Ginger Ale ipo mikoa ya Kaskazini tu?

Ha ha ha.. iko kwa majaribio kwanza ikipendwa itafika tu kote.. Si unajua hata BALIMI ilikuwa kanda fulani na tangazo lake lilikuwa Radio free Africa tuu, sasa hivi ni kitu inagongwa nchi nzima?
Soda iko kwa majaribio kvp, acha kuwapa matumaini, soda ina miaka mingi sana kaskazini, umri sawa na wa mtu mzima.
 
Namaanisha labda unaishi msituni hizo bidhaa hazipatikani, maana kwa muda wote huo kukwepa hizo vitu sio kawaida
Hapana, Naishi town kabisa kwenye vilabu na baa za kutosha, Naishi mtaa wa watukutu, mtaa uliomshinda waziri mkuu mstaafu Bw Mizengo P K Pinda. (Starehe zipo sana kama pale Club 55, Club Galaxy, Shouters, The Kiss, The Stone, N.K) Ila kinywaji changu ni maji na juisi tu. Sipendi burudani au kujirusha viwanja.
BURUDANI ZANGU NI NOVEL, SOCCER, R&B, POP,SOUL,COUNTRY,NACH & DRAMA
 
Hapana, Naishi town kabisa kwenye vilabu na baa za kutosha, Naishi mtaa wa watukutu, mtaa uliomshinda waziri mkuu mstaafu Bw Mizengo P K Pinda. (Starehe zipo sana kama pale Club 55, Club Galaxy, Shouters, The Kiss, The Stone, N.K) Ila kinywaji changu ni maji na juisi tu. Sipendi burudani au kujirusha viwanja.
BURUDANI ZANGU NI NOVEL, SOCCER, R&B, POP,SOUL,COUNTRY,NACH & DRAMA
Hongera sana mkuu
 
weeeeee weeeeeeeee weeeeeeeee nikatembee kifua mbere wakati sina hata mia hukoooo!!!

thipatakiiiiiii
hahaaa...nenda mkuu"" mmepelekewa ..tawi LA bank..mnajengewa" uwanja wa kisasa wa ndege ..na trafic light juu mmewekewa...so unataka nini tena ..mkuu
 
Back
Top Bottom