Kwanini soda ya Krest Ginger Ale ipo mikoa ya Kaskazini tu?

Kwanini soda ya Krest Ginger Ale ipo mikoa ya Kaskazini tu?

Kwanini maji ya ndanda yako kanda ya kusini,kwanini bidhaa za jambo(soda,maji)vinapatikana kanda ya ziwa,kwanini....
Hii ni soda jamii ya cocacola, ni Krest, Dar es Salaam ipo Krest na zipo Krest jamii nyingi, jamii nyingine zote za Krest zipo ila hiyo ginger ale ndiyo haipo Dar es Salaam
 
Hizo ni za watu wa mikoani tu. Wanaume wa dar Mkishapimwa tezi dume tutazileta.
Tunashukuru kwa kujua kwamba nyinyi wavulana wa mikoani mlikwishapimwa tezi dume kwa njia ya asili, ya kuingiziwa mkono/vidole makalioni
 
Ha ha ha.. iko kwa majaribio kwanza ikipendwa itafika tu kote.. Si unajua hata BALIMI ilikuwa kanda fulani na tangazo lake lilikuwa Radio free Africa tuu, sasa hivi ni kitu inagongwa nchi nzima?
 
Hii ni soda jamii ya cocacola, ni Krest, Dar es Salaam ipo Krest na zipo Krest jamii nyingi, jamii nyingine zote za Krest zipo ila hiyo ginger ale ndiyo haipo Dar es Salaam
Mkuu kuna bidhaa nyingi tu ambazo zinapatikana kwenye kanda fulani lakini kwenye kanda nyengine hazipo,na kama zikiwepo basi ni kwa uchache sana,kuna mzungu nlikutana naye anatafuta stoney tangawizi,aliwahi inywa kwenye museum ya coca cola huko marekani,lakini kwao haipo madukani.
 
Ha ha ha.. iko kwa majaribio kwanza ikipendwa itafika tu kote.. Si unajua hata BALIMI ilikuwa kanda fulani na tangazo lake lilikuwa Radio free Africa tuu, sasa hivi ni kitu inagongwa nchi nzima?
Balimi ni bia ya taifa
 
Picha tafadhali
ginger ale 2.jpg
 
Back
Top Bottom