MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 15,555
- 39,229
Habari wana JF,
Hii soda ni tamu sana na ina burudisha.
Nashangaa kwa Tanzania inapatikana mikoa ya Kaskazini kama vile Moshi na Arusha.
Embu wataalamu mtujuze.
Adi Mademu wake pia ni watamuSoda zote za Kaskazini ni tamu...
Hata bia pia tamu...
Nb: Sinywi pombe...
Na wewe . ........ MkuuSoda zote za Kaskazini ni tamu...
Hata bia pia tamu...
Nb: Sinywi pombe...
Hahahah nini ikiAdi Mademu wake pia ni watamu
Ndio maana watu wanaugua visukari na ugonjwa wa moyo sana wengine bila kujijua mpaka wagonga erector.Soda zote za Kaskazini ni tamu...
Hata bia pia tamu...
Nb: Sinywi pombe...
Hongera kwa kutokunywa pombeSoda zote za Kaskazini ni tamu...
Hata bia pia tamu...
Nb: Sinywi pombe...
[emoji3] [emoji3] [emoji125]Na wewe . ........ Mkuu
Asante mkuu...Hongera kwa kutokunywa pombe
Hakuna dem mtam toka kaskazini.Adi Mademu wake pia ni watamu
Ushawaonjaga Mkuu?Hakuna dem mtam toka kaskazini.
Wacha weeehunanikbusha mbali sana! kuna mwanamke niliimaliza nae chuo arusha! nlikuwa nampenda nikamwambiaga akanipotezea! alikuwa anapenda sana hiyo soda! miaka miwil ikapta nikaenda arusha kikaz nikanunua cret zima nikaja nalo Dar!
nikamtafta huyo demu nikamwabia nimekuja na kreti la ginger ale! akasema yupo tayari aje alale kwangu nimpe creti hilo
kilichondelea hapo msomaji endelea tu kumaliziaaaaa............😀😀😀