Kwanini soda ya Krest Ginger Ale ipo mikoa ya Kaskazini tu?

Kwanini soda ya Krest Ginger Ale ipo mikoa ya Kaskazini tu?

Habari wana JF,

Hii soda ni tamu sana na ina burudisha.

Nashangaa kwa Tanzania inapatikana mikoa ya Kaskazini kama vile Moshi na Arusha.

Embu wataalamu mtujuze.
Hata mwanza ipo, Mbeya sina uhakika Ila ilikuwepo enzi hizo nakandamiza mabapa ya Konyagi, nilikuwa naitumia sana
 
unanikbusha mbali sana! kuna mwanamke niliimaliza nae chuo arusha! nlikuwa nampenda nikamwambiaga akanipotezea! alikuwa anapenda sana hiyo soda! miaka miwil ikapta nikaenda arusha kikaz nikanunua cret zima nikaja nalo Dar!
nikamtafta huyo demu nikamwabia nimekuja na kreti la ginger ale! akasema yupo tayari aje alale kwangu nimpe creti hilo

kilichondelea hapo msomaji endelea tu kumaliziaaaaa............😀😀😀
Mkuu huu uzi nimekuachia, inabidi uubadilishe usomeke "mambo makuu krest ginger ale iliyonifanyia"
 
Labda hawajatanua wigo kibiashara tu maana kuna bidhaa nyingi pia huwa zinapatikana maeneo fulani fulani tu...
 
unanikbusha mbali sana! kuna mwanamke niliimaliza nae chuo arusha! nlikuwa nampenda nikamwambiaga akanipotezea! alikuwa anapenda sana hiyo soda! miaka miwil ikapta nikaenda arusha kikaz nikanunua cret zima nikaja nalo Dar!
nikamtafta huyo demu nikamwabia nimekuja na kreti la ginger ale! akasema yupo tayari aje alale kwangu nimpe creti hilo

kilichondelea hapo msomaji endelea tu kumaliziaaaaa............😀😀😀
nilikuwepo siku hiyo "" kilichoendelea Binti alichukuwa creti na kukuacha solemba...alikudanganya kuwa yuko period
 
Labda hawajatanua wigo kibiashara tu maana kuna bidhaa nyingi pia huwa zinapatikana maeneo fulani fulani tu...
Ni kweli walipaswa wailete kwenye jiji letu la Makonda
 
Kwanini maji ya ndanda yako kanda ya kusini,kwanini bidhaa za jambo(soda,maji)vinapatikana kanda ya ziwa,kwanini....
 
Back
Top Bottom