Kwanini Socrates hakuamini katika Demokrasia

Kwanini Socrates hakuamini katika Demokrasia

Sio kila mfumo unafanya kazi kila mahali, kila jamii ina ustaarabu wake

Ukipeleka mvumo waki magharibi nchi za uwarabuni utafeli vibaya sana...
Karibia nchi zote za Magharibi zilikuwa na mfumo wa ufalme usiofuata katiba kama uarabuni na wakaachana na huo ujinga wakachakua mfumo wa jamuhuri/republic au constitutional monarchy.
 
Museveni alisema "Mtu mmoja anaweza kufikiria kwa niaba ya watu milioni 10"

Anyways, demokrasia sio mbaya, kama wakipewa watu wenye uelewa.

Demokrasia bila uelewa na uwazi wa mambo, ni kupoteza muda.

Hata kama kura za wananchi zingekuwa zinahesabiwa kwa uhalali, bila wananchi kuelewa, ni kazi bure.

Imagine mtu anakupa maboksi 10 yamefungwa na hujui nini kiko ndani, halafu anakwambia chagua boksi la kulitumia miaka 5 ijayo.
 
Mo

Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa kwasababu linapendwa na watu, very popular.

Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu ameacha nini! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain na kila.. naomba nisimalizie

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P

Unahamu ya kutekwa wewe,unakamulia limao kwenye jipu
 
Unahamu ya kutekwa wewe,unakamulia limao kwenye jipu
Uhai umeumbwa, na kifo pia kimeumbwa!, unazaliwa siku moja, na kufa pia ni siku moja!, ile siku mtu unazaliwa, unakuwa umeisha andikiwa, utakufaje na utakufa lini!, Malaika mtoa roho, Jibril, anawapitia viumbe wote trips saba mara sabini daily, ili saa yako ikifika, anaondoa roho yako bila kuongeza hata nukta moja ya sekunde!.

Hivyo kama na mimi hivyo ndivyo nilivyoandikiwa, there is nothing anybody can do kuzuia!.

P
 
Naona tunaanza kulishana maneno, mimi nimeandika neno "kila.." (tu) mbona umenilisha maneno kuwa nimeandika kilaza?!.
Kila..
inaweza kuwa
  1. kilaaa
  2. kilaee
  3. kilaii
  4. kilaou
  5. kilauu
  6. kilaba
  7. kilabe
  8. kilabi
  9. kilabo
  10. kilabu
  11. kilaca
  12. kilace
  13. kilaci
  14. kilaco
  15. kilacu,
  16. kilada
  17. kilade
  18. kiladi
  19. kilado
  20. kiladu
  21. kilafa
  22. kilafe
  23. kilafi
  24. kilafo
  25. kilafu
  26. kilaga
  27. kilage
  28. kilagi
  29. kilago
  30. kilagu
  31. kilaha
  32. kilahe
  33. kilahi
  34. kilaho
  35. kilahu
  36. kilaja
  37. kilaje
  38. kilaji
  39. kilajo
  40. kilaju,
  41. Kilaka
  42. kilake
  43. kilaki
  44. kilako
  45. kilaku
  46. kilala
  47. kilale
  48. kilali
  49. kilalo
  50. kilalu
  51. kilama
  52. kilame
  53. kilami
  54. kilamo
  55. kilamu
  56. kilana
  57. kilane
  58. kilani
  59. kilano
  60. kilanu
  61. kilapa
  62. kilape
  63. kilapi
  64. kilapo
  65. kilapu
  66. kilara
  67. kilare
  68. kilari
  69. kilaro
  70. kilaru
  71. kilasa
  72. kilase
  73. kilasi
  74. kilaso
  75. kilasu
  76. kilata
  77. kilate
  78. kilati
  79. kilato
  80. kilatu
  81. kilava
  82. kilave
  83. kilavu
  84. kilavo
  85. kilavu
  86. kilawa
  87. kilawe
  88. kilawi
  89. kilawo
  90. kilawu
  91. kilaya
  92. kilaye
  93. kilayi
  94. kilayo
  95. kilayu
  96. kilaza
  97. kilaze
  98. kilazi
  99. kilazo
  100. kilazu
Kati ya hayo maneno 100 ya kila, kwanini unilishe Neno kilaza?. Unataka nipotezwe kuonekana ni mimi nimemuita mtu kilaza?

Nitamjulisha mode, tuongeze idadi ya makasa, zaidi ya name calling, pia kulisha mtu maneno iwe ni kosa!.
P
Usijali mkuu Tumesha kuelewa 🤣🤣🤣
 
Tatizo si demokrasia, tatizo ni ujinga wa watu.
Hili la ignorance, nimelizungumza sana humu
Msome Karl Popper katika critique yake ya Plato/Socrates iliyo katika "The Open Society and Its Enemies" kaandika vizuri critique yake ya maoni ya Plato/Socrates katika "The Republic". Kitabu nimeki attach hapo chini.
Asante kwa kitabu, nitakisoma.
Kama huwezi kuwa na demokrasia kwa sababu watu wengi ni wajinga, solution si kukataa demokrasia, solution ni kuondoa ujinga.
Hiki ndicho kitu mimi nimeamua kukifanya hizi siku za maisha yangu zilizobakia duniani, kuwaelimisha Watanzania,
Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria, Haki, na Wajibu. Kuwaelimisha Watanzania Wajue Haki zao na Kutimiza Wajibu Wao

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=uSiW3_dfU58l3B-V

P
 
Africa imetawaliwa kwa mkono wa chuma na madikteta kwa miaka zaidi ya 60 bila maendeleo yoyote ya maana.
Demokrasia tuliyoletewa ndio inawezesha kupatikana kwa hao madikteta vilaza. Wanakuja kwa upole kuomba kura wakitumia ujinga wa wananchi kama advantage. Wakishaingia madarakani ndio wanafichua makucha yao.

Ni bora tungekomaa na wale wale wakina Lumumba, Mugabe, Gadafi and the likes kuliko haya masuala ya demokrasia.
 
Mo

Naunga mkono hoja, mimi ni muumini wa falsafa ya Socrates, Plato, Machiveli na Nyerere, kiongozi mzuri ni yule mwenye good brain, na sio popularity, angalia Kigoma, a good brilliant brain imeshindwa na lile lichawa empty shells, kwasababu tuu, lichawa linapendwa sana na watu, na kiukweli liko very popular!, hata ukinishindanisha mimi university graduate, ukanishindanisha na Daimondo ambaye ni standard 7 dropout, nitashindwa vibaya kwasababu Dai ni very popular!

Mfano mzuri ni Top 3 wa urais wetu 2005 we had top brain, Prof. Mwandosya, Top Diplomat Dr. Salim, na GPA ya 2.1, JK, siku ya mwisho kwenye Mkutano Mkuu wa CCM, wakasema tumchague mtu ambaye ni mwenzetu, mwenye sura nzuri. anayependwa na watu kutokana na cheko na bashasha zake!. JK akapita!, je unajua tulivuna nini miaka 10 ya JK?.

Akaingia mwamba JPM, top brain, angalia ile miaka yake mitano tuu amefanya nini na by the time anatwaliwa, angalia ameacha nini?! Compare and Contrast kati ya kuongozwa na good big brain vs kuongozwa na average .

Hapa sasa...

View: https://youtu.be/HT7mizKCseQ?si=meaghk2CZ_Utm08l
P

Nakumbuka wakati nipo form 2 azania sekondary, siku moja mwalimu alikuja na debate ya democracy vs dictatorship. Kila mmoja achague mwenyewe upande wa kuunga mkono.

Upande wa kutetea dictatorship nilienda peke angu darasa zima. Sikua nawajua hao wakina Socrates lakini nilipita humu humu ulipopaelezea. Kiukweli kwenye jamii yenye population kubwa ya wananchi masikini na wenye elimu duni, demokrasia hii ya wengi wape ni njia hatari ya kupata viongozi
 
Demokrasia tuliyoletewa ndio inawezesha kupatikana kwa hao madikteta vilaza. Wanakuja kwa upole kuomba kura wakitumia ujinga wa wananchi kama advantage. Wakishaingia madarakani ndio wanafichua makucha yao.

Ni bora tungekomaa na wale wale wakina Lumumba, Mugabe, Gadafi and the likes kuliko haya masuala ya demokrasia.
Hujawahi kuwa na demokrasia nchi kwako, usijibaraguze. Labda Malawi, Kenya, Zambia, Botswana, Ghana, Namibia, Senegal na Africa Kusini wakilalamikia demokrasia ndio watakuwa na hoja kidogo.
 
Waanzilishi wa Marekani walipounda Katiba yao walijiuliza hilo swali na swali lingine why Rome Republic failed

Serikali zote duniani kasoro ya Marekani inatoa fursa kuwa na Tyranny, kwa hiyo wakaweka kitu kinaitwa check and balance
 
Back
Top Bottom