mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,777
- 6,454
Alipewa kazi na queen Isabella 1 of Spain...A mercenary.Columbus was a mass muderer fraudster
Alipewa kazi na queen Isabella 1 of Spain...A mercenary.Columbus was a mass muderer fraudster
Ndugu yangu hii ni Melanin colour ni rangi iliyo kuwa bora kabisa na ndio watu walio kuwa civilised kabla ya mtu mweupe kwani huyu mtu mweupe anatokana na mtu mweusi ......jua jambo moja tu kila unapo kuwa na RANGI NYEUSI sn ndio unakuwa na health skin hii ni fact sio Jokes na unapo kuwa mweupe sn ndio ngozi inapokuwa haina afya kwa maana huna kabisa SKIN PIGMENT.Wakuu marry chrismass.
Nimekaa nimewaza na kufikiri naona kama kuna kitu hakiko sawa kuhusu sisi waafrica.
kitu cha kwanza ni kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine, mfano ulaya ni weupe,asia ni weupe,australia ni weupe,america kaskazini na kusini ni weupe (isipokuwa black americans tu ambao nao pia wanatokana na mababu zetu waliopelekwa utumwani kule).
so najiuliza kwanini only africans are the black people ? Kwa majujibu wa takwimu za population, dunia mpaka sasa ina watu bilion 7.8, na africa pekee ina watu bilion 1.3 tukijumlisha na yale masalia ya america na carribean labda tunakuwa 1.4 au 1.5 billion ndo watu pekee weusi duniani, maana ake kati ya watu bilion 7.8 weusi ni 1.5 bilion pekee,wengine wote wanaobaki ni weupe, kwanini yani weupe mbona wengi sana, je imekuwaje weusi wakawa wachache alafu wametengewa bara lao, maana mabara yote 6 yenye watu matano ni weupe isipokuwa bara moja tu la africa ndo weusi tii why mbona sipati majibu sahihi ? Sijichukii kwa sababu mimi mweusi ila najiuliza tu kwanini waafrica pekee ndo weusi ? Alafu pia wakawa wachache kuliko weupe ? Kuna laana gani ilipita hapa ebu nambieni wadau.
Kitu cha pili, kwanini sisi watu weusi tunaonekana tuko nyuma kwa karibu kila kitu, kuanzia ustaarabu watuletea watu weupe, teknolojia nyingi zimetoka kwao (asilimia karibu 90 ya kila tunachotumia waafrica kilianza kwanza kugunduliwa na mweupe), kwanini mweusi akawa nyuma sana ? Kuna laana gani hapa ? Kwanini sifa ya mwafrica ni ya umaskini na ujinga tu why this ? Walitutawala kwa karne karibu 4, wakatutumikisha kwenye ardhi yetu wenyewe na kutufanya watumwa na sisi tukakubaliana na hali, why only africans we became very stupid ? Mbona sisi hatukuanza kuwatawala ila wao weupe wakaanza ? Tuna rasimali kibao ila tumeshindwa kuzitumia zituboreshee maisha badala yake bado tumkabidhi mtu mweupe, kwanini sisi watu weusi tuna nini ebu nipeni majibu !
Cha mwisho, kwanini ngozi nyeusi inabaguliwa (racisim) na kuonekana duni, nadhani tunashuhudia wenzetu walioko ng'ambo jinsi wanavyobaguliwa na kuitwa nyani, ina maana sisi weusi duniani tulikuja bahati mbaya au ni vipi yani !...niki mnukuu mwarabu moja mweupe pale libya ambaye aliwateka waafrica wakiwa wanatorokea ulaya kupitia mediterania aliwaambia hivi "mnaenda wapi nyie watu weusi kutoka kuzimu watumwa mliolaaniwa ninyi"....unaweza kuona ni jinsi gani sisi watu weusi tunavyochukuliwa na watu weupe, sasa kwanini sisi waafrica tukaumbwa weusi (rangi ya kudharaulika,duni) alafu tukawa wachache na bado haitoshi tukapewa bara la peke yetu weusi (bara la africa) wakati weupe wao wakaumbwa wengi alafu wakasambazwa kwenye mabara matano tofauti na pia wakapewa upeo wa uelewa kuliko sisi ? Au ni kweli mungu alitulaani nini sisi weusi ? Au sisi weusi ni uzao wa shetani kama wanavoamini baadhi ya weupe ?
Nb : sijaudharau uafrica wangu ila najiuliza tu kwanini mweusi anadharauliwa na kudunishwa wakati mweupe yupo mbele yetu kwa karibu kila kitu ?
Watu wa kwanza kufika America ni Vikings na Waafrica, Nilivyojuwa hilo ndio niliamini hii historia imepinduliwa juu chiniChristopher Columbus alipofika West Indies na Amerika aliwapata watu weusi wakiwa mateka wa vita kwenye Indian village, alipouliza ni vipi akajibiwa kuwa Hawa walikamatwa katika Kijiji kingine Cha watu weusi. Pia aliweza kupata mishale ya dhahabu Kwa jina GANA sawa na alizoziona kule ulaya na west Afrika Kwa jina Hilo Hilo. Ili kuhakikisha usahihi wa mishale hiyo, alirudi nazo ulaya na kufanya chemical analysis confirming their similarities.
Haiti na Dominican republic, Honduras na Mexico zilikuwa na watu weusi according to Colombus own Journals.
Mahindi na pamba zilikuzwa Afrika kabla mzungu kuja nazo which are native to America's.
Lugha zinakaribiana ie Darras in South America na Jarras in West Africa pia ndizi Yana majina sawa nk. Tafuta Dr.Ivan Sertima na Cheikh anta Diop Kwa maelezo zaidi.
naomba uanze kwa kusoma historia ya mwanadamu wa sasa homo sapiens utaelewa sis tumetokawapi mpaka kufika hapa. Hakuna mwanadamu hapo ulimwengu ambaye asili yake sio afrika.
Mutation na evolution haitokei kwa vizazi vinne au vitano kwa viumbe kama binadamu wazungu walitoka afrika miaka 12000 iliyopita , so mazingira yalipekea kutokea mutation ya gene inayocontrol melanin ikawa inapungua nguvu na chance ya kusurvive kwa watu waliokuwa weupe ikawa kubwa kwasababu sehemu walizokuwa wazungu hakuna jua so weupe waliweza kutengeneza vitamin D nyingi zaidi ya watu weusi waliokuwa huku ulaya . Ndio maana mpaka leo watoto wote ulaya wanapewa dawa ya vitamin D na waafrika wa ulaya wanashauriwa watumie vitamin D sana maana ngozi yao inapunguza uwezo wa kufonza nguvu za kujua kutengeneza vitamin d
kusema iamini sayansi na uokoe namaanisha kuwa sayansi ndio itakuokoa usipate magonjwa uondokane na ujinga na kukuepusha na utapeli mwingi wa huu ulimwengu
Napenda kuwaalika Kiranga Scars kuongezea information pale ambapo hapajatosha.
Mtoa mada kaja na facts kwa kutoa mifano iliyo hai wewe umekuja na nadharia tupu sasa huoni kwamba mtoa mada yupo sahihi?Mimi wa kwanza!
Ngoja nijaliwa kwa uelewa wangu.
Mbongo {African}siyo mweusi tu bali yeyote anaweza kuwa muafika.
Kuhusu rangi nyeusi isikupe shida ni Nature yenyewe ikumbukwe hili bara linapata jua kamili hivyo kuwa weusi nikwasababu ya ngozi iweze kuhimili miale mibaya ya jua {mawazo yangu}
Halafu bara letu ni zuri kuliko huko unakokusifia sisi hatuna mavimbunga sijui yakutisha, masunami,matetemeko,mavolcano hata kama yapo lakini siyo kama wao.
Pia kuhusu kutawaliwa na weupe ni sawa hii inaitwa kutesa kwa zamu hata sisi tulishawahi kuwatawala ila sema ilifichwa na hao hao kuogopa aibu,
Kuna mtu alikuwa anaitwa Malkia wa Sheba,kuna hawa jamaa Mafarau wa misri,inasemekana walikuwa weusi kabisa na hii ijulikana kupitia ugunduzi wa ile miili kufukuliwa kwenye makabuli huko Cairo na kukuta jamaa ni weusi tii.
Ngoja waje wataalam wakupe mkuu.
Ila asili yake ukifuatilia ni Africa. Aidha baba ama mama yake ana asili ya Uafrica.Huyu ni mhindi
View attachment 2056484
Wakaenda wapi? Kwahiyo baada ya ujio wa mzungu katika maeneo hayo weusi wakatokomea ama unamaanisha nini?Wahindi wengi ni weusi, Australia kabla mzungu ilikuwa watu weusi, Papua new guinea weusi, Hawaii kabla mzungu weusi, Amerika ilikuwa weusi kabla colombus kufika, Spain & Portugal(Iberia) ilikuwa watu weusi wakati moors walitawala Uhispania, South Amerika vile vile haswa Equador, Honduras, Colombia na Caribbean.
Kuna sehemu yenye jua kali kuzidi bara Asia specifically Uarabuni? Lakini mbona ni weupe na jua haliwaathiri.Rangi ya mwafrika inatokana na mazingira ukandaa tunaoishi ni wajua kali so melalinin inablock uv ili isiharibu seli za ngozi ili tusipate kansa,
kuwa nyuma kimaendeleo hii naiweka katika sehemu mbili kwanza vurumai la ukoloni/utumwa(dini za kigeni) la pili ni sisi waafrika kutotaka kuendelea na misingi yetu ya maisha kuvurugwa mfano hatu mfumo wa kupata viongozi sahihi viongozi wetu ni kama sio washamba wa wazungu/non-african basi wanawatumikia wazungu/non-african.
nimalize kwa kusema , iamini sayansi uokoke
Hata vibonzo vya shetani utakuta vinachorwa katika sura ya kutisha tena nyeusiiii.mimi sijaamini kwamba ni mbaya ila weupe (wazungu) ndo wanaiona ni mbaya ndo maana wanatubagua na kutuita nyani, na wakaenda mbali zaidi na kusema sisi na uzao wa shetani.
Utofauti wao unatokana na nini? Ukiniambia maumbo utakuwa upo wrong maana kama mantiki yako ni kwamba Waafrika waliwatawala hao wazungu basi maeneo hayo pangekuwa na machotara wengi ila sehemu ambayo ni wazungu watupu zaidi ya 95% basi ni Spain.Andalusia 700AD - 1400 AD Granada and Cordoba in Spain. Ndio maana wahispania na Portuguese wako tofauti sana kimaumbile ukilinganisha na wenzao kutoka Britain na Scandinavia.
Kuwa unique pekee sio sifa njema kama uko nyuma kwa kila kitu. Unaweza kuwa unique halafu u unique ukawa wenye sifa mbaya.Hoja yako ya kwanza kuhusu Weusi Ni hoja ya kijinga kabisa kabisa...
Yani mbugani Swala ajiulize kwanini kwanini sisi tunaliwa sana na Simba?
Yani badala ya kujivunia kuwa uko Unique unaanza kusema Weusi ni laana? Ndugu unakosea sana, tena sana.
Umepewa bara kubwa hili lina kila kitu, nasema kila kitu, post yako ilitakiwa ianze kwenye aya uliyoanza kuzungumzia uduni waaendeleo ya Afrika hapo ungekuwa unaongea vitu vya msingi...
Naanda uzi ntakutagKuna sehemu yenye jua kali kuzidi bara Asia specifically Uarabuni? Lakini mbona ni weupe na jua haliwaathiri.
Wazungu ni lizard peopleha ha ha haa siyo binadamu kamili ila ni watu gani kumbe
Lini waafrika walikuwa wamoja hadi useme wamewagawa ?Jiulize kwanza,
1.binadamu yupi ana hasira za kijinga kuliko wengine?
2. Binadamu yupi ana wivu wa kijinga kuliko wengine?
3. Binadamu yupi ni mwizi, mbinafsi na muongo kuliko wengine?
4. Binadamu yupi ni mjuaji na mpenda masifa kuliko wengine?
5. Binadamu yupi hajiamini badala yake anaamini binadamu wengine.
NB. Kwa kifupi ili tupate ukweli na kujiamini zaidi mataifa ya Africa lazima yaungane ili wajue nguvu zetu. Walitugawa ili iwe rahisi kututawala na kupunguza uwezo wetu.
Ona hapa ramani ya rangi za ngozi miaka kadhaa iliyopita.Wahindi wengi ni weusi, Australia kabla mzungu ilikuwa watu weusi, Papua new guinea weusi, Hawaii kabla mzungu weusi, Amerika ilikuwa weusi kabla colombus kufika, Spain & Portugal(Iberia) ilikuwa watu weusi wakati moors walitawala Uhispania, South Amerika vile vile haswa Equador, Honduras, Colombia na Caribbean.
Wana sikukuu yake kabisa, sijui wale wahindi wekundu wanajisikiaje ikifika hiyo sikuColumbus was a mass muderer fraudster
Nadharia ya mageuzi(Evolution) inaweza kuwa mada rahisi au ngumu kuielewa. Leo nitajaribu kuifanya iwe nyepese, nitatoa mifano mirahisi sana. Kabla sijakujibu swali lako kuhusu rangi ya mwafrika, nitaanza kuelezea maana ya nadharia ya mageuzi(Evolution/evolution theory), uteuzi wa asilia(natural selection) baadae ntakuja asili ya mwanadamu na mwafrika na kujibu maswali yako ya ustaarabu(civilization) japo itakuwa subjective zaidi.we jamaa inaonekana unajua vizuri mambo ya human evolution na natural selection, ebu tuchambulie basi haya mabadiliko ya rangi yalitokeaje kulingana na muda wao pia, bila kusahau why rangi nyeusi iko nyuma kwa kila kitu kuanzia civilization, technologies na kuishi kitumwa wakati tumeukalia utajiri