Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Kweli chief huyo jamaa aliyetoa hiyo video ni apple fan boy lakini wazungu wako tofauti kwenye ukweli wanakubali hiyo channel ya apple lakini kaikubali samsung ila watu humu wanakupinga ukweli utabaki ukweli tu
 
iPhone 6s, iPhone SE, na iPhone X ni models ambazo zimekua discontinued.
Kilichonishangaza ni discontinuation ya hii iPhone X ambayo ni ya mwaka jana tu. What's the reason behind wadau?

Sababu ni hiyo mkuu.mauzo kutoridhisha.
Kama unakumbuka ya s5 ya samsung nayo ilipigwa stop.

Nilisoma sehemu watu hawaoni sababu ya ku upgrade kutoka 8s/plus mpaka x,sababu wanapata mengi hapo na bei ya x sio rafiki sana.

Nilichosikia xs itakuzwa kioo ila hakitatoka samsung ili bei ipoe kidogo,but bado ni tetesi tu.
 

Aisee tayari imetoka bana kumbe,sikuelewa ulichoandika.

Naona ram wana 4gb,dual sim naye iphone imebidi akubali matokeo.halafu screen si haba kaingia nayo.

Kweli huwezi biashana na mabadiliko.
 
Aisee tayari imetoka bana kumbe,sikuelewa ulichoandika.

Naona ram wana 4gb,dual sim naye iphone imebidi akubali matokeo.halafu screen si haba kaingia nayo.

Kweli huwezi biashana na mabadiliko.
Mwisho wa siku wateja wao watakuja ringa kutumia teknolojia ambayo Android tushaitumia miaka mi4 kabla yao. Na wao sasa wameamua kuja na maPhablet.
 
Mwisho wa siku wateja wao watakuja ringa kutumia teknolojia ambayo Android tushaitumia miaka mi4 kabla yao. Na wao sasa wameamua kuja na maPhablet.

Hahaa wakati si milele,visimu vya kuchungulia tuliisha achana navyo miaka 10 iliyopita.raha ya simu uisikie mkononi.

Naona waeamua wa quite iphone x ili izipishe hizi,maana foreni ingezidi kuwa kubwa.
 
Hahaa wakati si milele,visimu vya kuchungulia tuliisha achana navyo miaka 10 iliyopita.raha ya simu uisikie mkononi.

Naona waeamua wa quite iphone x ili izipishe hizi,maana foreni ingezidi kuwa kubwa.
Sio tu foleni kubwa, iPhone X haikufanya vizuri kama walivyotegemea.
 
Aisee tayari imetoka bana kumbe,sikuelewa ulichoandika.

Naona ram wana 4gb,dual sim naye iphone imebidi akubali matokeo.halafu screen si haba kaingia nayo.

Kweli huwezi biashana na mabadiliko.
Binafsi natamani kuwa na iphone kwa maana ya ubora na status, lakini ni jambo lisilopingika kuwa kwa mtu mtukutu wa devices sio simu inayompa uhuru, mfano kama kijana anataka kuandika program au application kisha ai test katika simu yake katika iphones haiwezekani,lakini kwa androids(ikiwepo samsung) kuna uhuru mwingi.With android phones kwa mtu mbunifu unaweza ifanya simu yako kuwa kama superphone ya ryan leslie wakuu.
Ila nikipata pesa ntatafuta iphone ila simu ya android kama samsung au xiaomi lazima niwe nayo pia
 

Unajua maana ya benchmark kwanza???
 
Unajua maana ya benchmark kwanza???
Kwa kiasi (na sitakataa ukinielezea zaidi kwa ujuavyo wewe!).

Kwa uelewa wangu kupitia jinsi benchmark tests zinavyofanya kazi, benchmark tests ni majaribio yanayojaribu kupima ufanisi wa kifaa flani (in this regard, a smartphone) kwa kuangalia ni muda gani kifaa kinatumia ku'handle mzigo wa kazi mbalimbali na namna components kama CPU, GPU, RAM management, etc. zinavyobehave (performance-wise) jinsi task zinavyokuwa nzito na demanding zaidi.
Ambapo at the end ndio tunaona kama kweli the touted CPU clock speed na performance zina uhalisia kwenye kurun different tasks, na mengineyo kwa components zingine.

Nafahamu hivyo tu.
 
You talk like a nerdy who live in a van down the river. Apple chop your money at high end amount the thing is IPhone user have been brainwashed to no brain with apple, look at this. 2018 and your big elephant hasnt chopped your money fairly
 
Sio hujajutia hela yako. Unaongea kwa ku compare your old /consumer Android devices with iPhone 8 plus (their recent development). The fair placement is a side by side comparison with up to age premium flagship (not tecno, or any low end devices).
IPhone 8 or non of 7 plus or even x' would NEVER beat its rivals note 8/ s9 plus in almost all the favorite customer's choices, i. e(expendable storage, file management, data sharing, shortcuts, multitasking, media fetch, custom apks, and technology in software development, camera and etc) . The fact is, apple has made you think you have it all and you bent into such fed limited experiences of what your money was chopped.

If on any day you will try devices like the king note 8 /s9 plus you will learn how apple jails you guys at cost of your hard earn money. Any heavy phone consumer, or real phone users wont be using i phone for a fact iPhone is designed for tech dummies and nerd who don't even think outside box. Samsung for instance their struggles are to give a user the more and open friendly platform for his money.
 

Mimi ninayo mkuu na ndio naitumia ina raha yake katika yale machache waliyokuwekea,ila ukweli huwi huru kufanya mengi.
 
Mkuu bei pia tubishane? Si rahisi tu kila manufacture akizindua simu anataja na bei atakayoiuza hio simu?
Kila siku nafatilia fragship, we ndo fatilia, hakuna cm zinazotoka wakauza juu ya iphones, labda kwa special edition, ukiuza juu ya iphone, its simple, hupati wateja
Samsung mwenyewe kashindwa
 
Kila siku nafatilia fragship, we ndo fatilia, hakuna cm zinazotoka wakauza juu ya iphones, labda kwa special edition, ukiuza juu ya iphone, its simple, hupati wateja
Samsung mwenyewe kashindwa
Wapi nimesema wanauza bei juu ya iphone? Naomba uniquote.
 
Taja wewe bei zako basi. Oppo Find X ilivyozinduliwa ilitajwa bei yake ni $1000.

Mauzo yake yapoje au ni kutafta sifa tu, ubora wake ulinganishe na wa samsung uone wap atakaa, camera yake ilivyo ya kijinga, iphone x ya mwaka jana base model yake ilikuwa 1000usd wakat apple ya mwaka huu iphone xMax ni 1049usd, bei ata mimi naweza kurupuka nataka show ya mziki wng iwe juu ya Diamond ili nipate sifa ila haimaanishi mi ni bora kuliko diamond, oppo anasimu nyingi za bei ndogo na ni kampuni kama tecno tu au Xiaomi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…