Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Ni kweli iphone ni nzuri na imara pia ila kinachokera ni kuwa ina limitations kibao, yaani kuna kale ka muunganiko baina ya devices mfano simu na kompyuta, ukiwa na samsung au tecno huhitaji software ingine kihamisha data, ni plug&play unahamisha. Ila ukiwa na iphone huwezu had itunes ihusike. Pia downloads zake hovyo tu.
 
Tecno ni bora kuliko iphone (in mtoa mada’s voice )
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji3][emoji3][emoji3]🤣🤣🤣🤣
 
Reactions: SFP
Kilaza ni yule anayetumia kwa kutaka sifa tu. Mtoa post katoa hoja nzito wewe ipinge kwa hoja yako. Taja specs za iphone unayotumia kama ni zaidi ya ulizotaja.
Mbwembwe nyiiiingi. Hamna kitu

Spects ndogo ila hakuna simu ya android inayoipita functionality
 
Nambie kitu kimoja tu sim yoyote ya android inachoipita iphone, kimoja2 katika functionality
Hivi bro ushaonaga na kujua current benchmarks Flagship gani inaongoza? The day Huawei P20 Pro imetoka the next week iliicrush vizuri tu iPhone X kwenye benchmark testings.
Na P20 Pro ndo imekuwa simu yenye camera kali zaidi, kiubunifu, tech iliyotumika, na hadi ubora wa picha za usiku.
One Plus 6 can go toe-to-toe with the X and come out clean, talking about handling heavy game sessions and everything a power user can throw at it.

All in all, tukisema tubishane bila facts huu uzi utaishia tu kuwa wa "fanboys", Android fanboys Vs. iOS fanboys. Na binafsi naona ni poa kama tukielimishana juu ya tofauti za hizi aina mbili za mifumo ya simu na tech.
 
Asante... maana ww unazijua kamera....
 
Ulishindwa kutumia.... huo ndio ukweli.... tunaishi kwa mazoea....
 
kuanzia s7 wana model za duo.... pia nmetumia sony xperia z3+ na yenyewe ni duo....
 
Narudia tena kama ww ni kilaza basi kaa mbali na iphone... Watu wengi sana iphone zinawashinda kutumia....
 
inategemea na matumizi na unachokifanya...
 
The Only Loser at Apple’s Latest Event Is Your Wallet

http://time.com

Tumezoea biashara zinaendeshwa kwa mwenye biashara kutoa bidhaa inayoangalia maslahi ya mteja. Ila naona Apple design flani sasa imeanza "wachoka" wateja masikini.

Sasa hata headphone port Ndo hakutakuwepo tena. Na bado kuna mtu atakuja tetea hilo as if kutumia earphones haina ufanisi kwa mteja.

Na hizi bei, emb tusubiri zikishatoka, tuone mmoja wa Apple fanboys huku ndani atuletee japo mrejesho wa kutumia iPhone XS Max.

Kuna mtu alisema double line ni Android tu, polepole Apple naye anaanza adopt that trend (kaanza na eSIM as complementary SIM to a physical SIM in the device).

Limitations zipo, ila hili la kufuta kabisa headphone support all together...asee mjiandae kuspend another $150 utakaponunua the next iPhones au Bluetooth earphones za kucharge kila mara.

Apple is slowly cutting its enthusiastic fans from its next Gen iPhones.
 
Chief, out of all sio wewe wa kucompare 2017 iphone na 2018 Samsung and then ukasema Apple when it comes to perfomance wana lag behind sasa.

This here is my point, Samsung s9+ exynos, ina Octa core processor while hio Iphone X ina Hexa core, hapo unaona Samsung amehitaji 2 more processors kumpiga bao apple for few seconds au milliseconds. Samsung in 6GB of rams!!!! while iphone ina 3GB of rams and then you still give credit to Samsung or android for few seconds difference? come on Chief, who is more efficient and well optimized here? Tizama hizo specs wewe mwenyewe.... just imagine APPLE anafunga octa core yake na 6GB of rams sijui mtakuja kusemaje....

Besides, again, 6GB of ram for what tasks? sasa simu zimekuwa more powerful kulipo PC wakati kwenye simu hupati Full Adobe photoshop versions? Hapa pana game tu inachezwa, Smartphones zimeshafikia ukingoni, the only way now kuwavutia watu, just put big specs!
 
iPhone 6s, iPhone SE, na iPhone X ni models ambazo zimekua discontinued.
Kilichonishangaza ni discontinuation ya hii iPhone X ambayo ni ya mwaka jana tu. What's the reason behind wadau?
 
iPhone 6s, iPhone SE, na iPhone X ni models ambazo zimekua discontinued.
Kilichonishangaza ni discontinuation ya hii iPhone X ambayo ni ya mwaka jana tu. What's the reason behind wadau?
discontinued kivipi si imetoka s yake au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…