Nimejaribu kuvavadua nimeona kumbe Yanga na Simba ni watoto yatima. Hawana baba Wala mama.
Klabu hizi mbili zimebeba historia ya taifa la Tanzania.Pia nimegundua kuwa kama Marehemu Mzee Karume Rais wa Zanzbar asingejenga Jangwani na Msimbazi Timu hizi zisingekuwana ardhi Wala Ofsi.
Hawa wawekezaji akina Azim DeGula Gulamali, Mo Dewji, Manj Manji nk tuwakumbuke kwa lipi?
Timu hazina viwanja, vitegauchumi nk. Tupaze sauti tunataka maendeleo sio Daby ya Kariakoo.
Klabu hizi mbili zimebeba historia ya taifa la Tanzania.Pia nimegundua kuwa kama Marehemu Mzee Karume Rais wa Zanzbar asingejenga Jangwani na Msimbazi Timu hizi zisingekuwana ardhi Wala Ofsi.
Hawa wawekezaji akina Azim DeGula Gulamali, Mo Dewji, Manj Manji nk tuwakumbuke kwa lipi?
Timu hazina viwanja, vitegauchumi nk. Tupaze sauti tunataka maendeleo sio Daby ya Kariakoo.