Faith HJ
Senior Member
- Aug 16, 2017
- 177
- 213
Ukiwauliza KE ndio wanavyosema
wewe unaugomvi na KE sio bureeeee aibu ya nn sasa wakati mnatongoza kwenye sms
Ukiwauliza KE ndio wanavyosema
Ndio ukweli huo hapa naongelea wale tunaowasaundisha face-to-facewewe unaugomvi na KE sio bureeeee aibu ya nn sasa wakati mnatongoza kwenye sms
Mambo yamebadilika jamani, siku hizi kuna hadi smartphone.. Enzi hizo kulikua na posta tu..
Yani ni evolution ya technology inaenda sambamba na social evolution of human society.
Mbeleni huko itafikia mahali ukimtaka mwanamke huongei nae, unamfuata unashika mkono mnaondoka.
Hawa mademu wenye aibu ogopa sana! Wanaliwa kilaini kweli wengi wao kina mama hurumaUnanisingizia jamani!!! Mie niko na aibu...
EeehHawa mademu wenye aibu ogopa sana! Wanaliwa kilaini kweli wengi wao kina mama huruma
Hahaaaa haaa maana asitake kusema maneno tuu yamfanye mdada aloeha ha haaaa,nimechekajee..duu
Mwanamke mwenye Aibu ni Mtamu kuliko hata Asali ya Nyuki wadogoSawa
Mwanamke mwenye Aibu ni Mtamu kuliko hata Asali ya Nyuki wadogoSawa
we noumaaaHahaaaa haaa maana asitake kusema maneno tuu yamfanye mdada aloe
Ndivyo ilivyo!Eeeh
Yamekuwa hayo tena
Duuuh! Hilo gubegube mzee,ilitakiwa ulishika mkono tu na sio kuandaa vocal zakoKuna demi nilimuita sehemu time ya lunch ili ni mpige sound tunajuana mda tu lakini alivyo kuja akaagiza msosi akapiga chap chap akaniambia kunasehemu nawahi ila nisha jua unacho taka nitafute wekend nitakupa we siwezi kuku nyima nyenge zote ziliisha na sikumtaka tena,yani hata sijaongea neno duh
huko kumchapa fimbo kumekaaje mkuu? Je ni kitanda kinahusishwa?Hata mimi nashangaa kweli kweli kuna rafiki angu wa kike yaani kila siku ananiomba dushe sijui ni kunizoea!!, nimemwambia sasa hivi nitaanza kutembea na fimbo kwa sababu sitaki maneno yake sasa hivi nitaanza kumchapa fimbo akianza tena maneno yake hayo!
huko kumchapa fimbo kumekaaje mkuu? Je na kitanda kinahusishwa?
HaaaaaaaaaaaaaaaaaaaDuuuu hatari sana. Au unatongoza huku unampapasa na kuweka ulimi sikioni nini? Maana sio kwa hali ya kawaida
Mimi ni binadamu,nina mama,dada,shangazi,mama mdogo,girlfriend na marafiki wa kike kama hao,je unamaanisha nitembee na watu wote hao???......je siyo ustaarabu mimi kustick na mtu mmoja tu(girlfriend)???......unamaanisha kila rafiki yangu wa kike nitembee nae???huko kumchapa fimbo kumekaaje mkuu? Je ni kitanda kinahusishwa?