omarion5
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 5,206
- 17,677
Mbona unafika mbali mkuu hata hujaambiwa uende? mimi nimeuliza kumchapa fimbo una mchapa chapa vipi au kuchapiwa ni siri ya ndani?Mimi ni binadamu,nina mama,dada,shangazi,mama mdogo,girlfriend na marafiki wa kike kama hao,je unamaanisha nitembee na watu wote hao???......je siyo ustaarabu mimi kustick na mtu mmoja tu(girlfriend)???......unamaanisha kila rafiki yangu wa kike nitembee nae???