Tamati
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,085
- 1,956
Zamani ukiwa una mtongoza demu ilikuwa ni vigumu sana kutokanana na aibu na uoga waliokuwa nao.
Ilikuwa shida sana kwa kidume kurusha mistari maana hata facial expresision ya demu ilikuwa ni kikwazo kikubwa sana,
Demu alikuwa hawezi kukuangalia usoni kwa aibu aliyonayo, huku akijitafuna vidole na kugubikwa na ukimya wa hali ya juu.
Wengine walikuwa ukiwapiga mistari anasema anaenda kukusema kwa mama yake maana unamlete upuuzi, wengine wanasema anaogopa hicho kitendo(kugegedwa)
Ndio maana zamani kuoa bikra ilikuwa jambo la kawaida
Lakini siku hizi mtu anakukodolea macho kama muhamiaji haramu anakaguliwa kitambulisho, hahahhahaaaaa
Aaaaaggghhhhrrrr, badilikeni bana waoaji tupate bikra sio kila kutwa kutafuna maganda tu.
Ilikuwa shida sana kwa kidume kurusha mistari maana hata facial expresision ya demu ilikuwa ni kikwazo kikubwa sana,
Demu alikuwa hawezi kukuangalia usoni kwa aibu aliyonayo, huku akijitafuna vidole na kugubikwa na ukimya wa hali ya juu.
Wengine walikuwa ukiwapiga mistari anasema anaenda kukusema kwa mama yake maana unamlete upuuzi, wengine wanasema anaogopa hicho kitendo(kugegedwa)
Ndio maana zamani kuoa bikra ilikuwa jambo la kawaida
Lakini siku hizi mtu anakukodolea macho kama muhamiaji haramu anakaguliwa kitambulisho, hahahhahaaaaa
Aaaaaggghhhhrrrr, badilikeni bana waoaji tupate bikra sio kila kutwa kutafuna maganda tu.