Kwanini siku hizi wadada hamna aibu?

Tamati

JF-Expert Member
May 15, 2017
1,085
1,956
Zamani ukiwa una mtongoza demu ilikuwa ni vigumu sana kutokanana na aibu na uoga waliokuwa nao.

Ilikuwa shida sana kwa kidume kurusha mistari maana hata facial expresision ya demu ilikuwa ni kikwazo kikubwa sana,

Demu alikuwa hawezi kukuangalia usoni kwa aibu aliyonayo, huku akijitafuna vidole na kugubikwa na ukimya wa hali ya juu.

Wengine walikuwa ukiwapiga mistari anasema anaenda kukusema kwa mama yake maana unamlete upuuzi, wengine wanasema anaogopa hicho kitendo(kugegedwa)

Ndio maana zamani kuoa bikra ilikuwa jambo la kawaida

Lakini siku hizi mtu anakukodolea macho kama muhamiaji haramu anakaguliwa kitambulisho, hahahhahaaaaa

Aaaaaggghhhhrrrr, badilikeni bana waoaji tupate bikra sio kila kutwa kutafuna maganda tu.
 

Attachments

  • IMG-20170830-WA0004.jpg
    IMG-20170830-WA0004.jpg
    148 KB · Views: 192
Hata mimi nashangaa kweli kweli kuna rafiki angu wa kike yaani kila siku ananiomba dushe sijui ni kunizoea!!, nimemwambia sasa hivi nitaanza kutembea na fimbo kwa sababu sitaki maneno yake sasa hivi nitaanza kumchapa fimbo akianza tena maneno yake hayo!
 
Zamani ukiwa una mtongoza demu ilikuwa ni vigumu sana kutokanana na aibu na uoga waliokuwa nao.

Ilikuwa shida sana kwa kidume kurusha mistari maana hata facial expresision ya demu ilikuwa ni kikwazo kikubwa sana,

Demu alikuwa hawezi kukuangalia usoni kwa aibu aliyonayo, huku akijitafuna vidole na kugubikwa na ukimya wa hali ya juu.

Wengine walikuwa ukiwapiga mistari anasema anaenda kukusema kwa mama yake maana unamlete upuuzi, wengine wanasema anaogopa hicho kitendo(kugegedwa)

Ndio maana zamani kuoa bikra ilikuwa jambo la kawaida

Lakini siku hizi mtu anakukodolea macho kama muhamiaji haramu anakaguliwa kitambulisho, hahahhahaaaaa

Aaaaaggghhhhrrrr, badilikeni bana waoaji tupate bikra sio kila kutwa kutafuna maganda tu.
Nyie wahenga mnaonekana mlikuwa vizuri sana. Mimi kila siku naona thread mtu analalamiaka anakataliwa, mara mimi domo zege, mara madem hawatongozeki. Inaonekana na sisi men tumelose ability ya kutongoza.

Thread yako naishangaa sana, unataka wadada waanze kuwa na aibu? Kwanini? Reason yako aiendani kabisa. Kama ni virginity, hata hao wenye aibu zinatoka kilaini tu, reason why bikra zilikuwa nyingi enzi hizo; jamii ingekuona malaya, kulikuwa hamna kinga so STDs na pregnancy is a guarantee.

Binafsi nikiona mdada ana aibu napress next hii dunia ya sasa sio ya kuwa na mtu mwenye aibu. Kumbuka its 50/50, enzi hizo walikuwa na aibu since men walikuwa na more power in society. Siku hizi nitakushangaa sana kama utakuwa na aibu.

Aibu=not confident... Totally a turn off. Wanawake msiwe na aibu bhana, nitashindwa kukuachia kampuni uiongoze.

Mtazamo wangu tu.

-callmeGhost
 
Back
Top Bottom