Kwanini siku hizi wadada hamna aibu?

Kwanini siku hizi wadada hamna aibu?

Hata mimi nashangaa kweli kweli kuna rafiki angu wa kike yaani kila siku ananiomba dushe sijui ni kunizoea!!, nimemwambia sasa hivi nitaanza kutembea na fimbo kwa sababu sitaki maneno yake sasa hivi nitaanza kumchapa fimbo akianza tena maneno yake hayo!
ha ha haaaa,umechoshwa yaan na kumtibu
 
Enzi zile ukiita psiii demu akigeuka mtaa mzima anajulikana ni Malaya, siku hizi kawaida sana.
 
Sababu mie nimesingiziwa sijui kwa wenzangu ka ni kweli!!! Ila kuna umri ambao nahisi aibu inapungua
Ni kweli kuna umri ukifika aibu inatoweka mtu anakula za uso kavukavu macho makavu
 
Sasa hv hatutongozani, sasa hv mnaelewana tu.
 
Hakuna mwanamke asiye na aibu ila zinatofautiana na pia zinategemea na umri huwezi sema mtu ana miaka zaidi ya 25 halafu unamtongoza akuonee aibu ni lazima atakuangalia machoni ili aone unachozungumza unamaanisha au usanii mtupu.

Ukitaka wenye aibu kweli kweli labda wale under 20 tena asiwe na smartphone kwa sababu huko mitandaoni anakutana na kila aina ya mitongozo.
 
Back
Top Bottom