Kwanini shule za advance (serikali) zinakua na udini?

haszu

JF-Expert Member
Oct 10, 2017
837
1,550
O level haikua hivi, Maisha tulioish O-Level na rafiki yangu yalibadilika kabisa advance , kila mtu alijifanya mchungaji, sheikh, muumin wa kweli.

Nilidhani ni shule yangu tu ila nikajaona maeneo mengi. Sijui ni vile vipindi vya dini vya lazima au nini.

Cha ajabu zaidi kufika chuo sikuwaona tena wale waumini na viongozi wa dini kindaki ndaki, kwanini
 
Kuna wajinga flani hivi kipindi nipo form 5, walikua wakikuona umeshika biblia unaenda kipindi cha dini wanakumind afu usiku wanashambulia wakristo kwa fimbo. Sasa nilichokifanya nikanunua sime yangu vizuri nikaweka chini ya godoro ili nisubiri MTU wa kunichapa stiki huku nimelala nimkate shingo. Duh kipindi Niko sekondar akili yangu ilikua ni nyingine.
 
Hii mishe kweli inazidi kustawi kwa kasi sana japo kama sio mwanafunzi ni ngum kuitambua lakin kwa tulio maliza shule hasa advance miaka ya hivi karibun shule za serikali tunaifaham sana,mfano Watu ilifikia kpindi wanachaguana kwa misngi ya din kwenye kipind wanahimizana kuchagua wa din yao na kama kunatukio likatokea la kidin na hamna kiongozi wa juu kwa wanafunzi mtapata shida sana na mkichelewa rokooo jua hakuna mtetezi, lakin pia watu wanachapwa sana viboko.(Hii ngoja ninyamanye kwa maana watasema nashumbulia din furan na ni ngum kuamin kama hujaona kwa macho)
Lakin seriakali hili swala isipolisimamia matokeo yake yataonekana tu ni swala la mda tu.
 
Kuna jamaa tulikua tunakaa nae room moja chuo alisoma Ifunda Tech alikua anatupa story jinsi kulivyokuwa na matabaka na ubaguzi wa kidini baina ya wanafunzi shuleni kwao
 
Puuuuuuuuu mumeiaza hata fikra zenu zina selfish.viashiria vinaonyesha mnachuki. msipoacha hata mm bingun hamgusi
 
mnauanza nyinyi WENYEWE hapahapa...jifunzeni upendo...mmetawaliwa na ubinafsi..chuki na roho mbaya Na ndio chanzo cha udini
 
jichunguzeni MNA chuki. dini hazitaki mnachofikir

wengi hamna base nzur ya utu. Nyoyoni si watu...watu wenye misimamo iliyoumizwa na history mbaya dhidi ya iman nyingine..jifunzen utu humanity

Mansa sina dini mm..naamini ubinadamu
 
Mkuu usinikumbushe mwaka 2012 nikiwa mwalimu Karatu Sec wanafunzi wa Kiislamu waligoma kufanya practical ya biology kisa wanasema kwao ni dhambi kumfanyia panya dissection.
 
O level haikua hivi, Maisha tulioish O-Level na rafikiangu yalibadilika kabisa advance , kila mtu ajifanya mchungaji, sheikh, muumin wa kweli.
Nilidhani ni shule yangu tu ila nikajaona maeneo mengi. Sijui ni vile vipindi vya dini vya lazima au nini.

Cha ajabu zaidi kufika chuo sikuwaona tena wale waumini na viongoz wa dini kindaki ndaki, , kwanini
Advance ndiuo nini
 
mie nilikuwa disminder kwahiyo niliona wakienda kwenye maisha halisi wataacha na ni kweli chuo hakukuwa na ujinga huo hata huku mtaani , wao wakihangaika na dini si tunaatengeneza pesa
 
Mkuu usinikumbushe mwaka 2012 nikiwa mwalimu Karatu Sec wanafunzi wa Kiislamu waligoma kufanya practical ya biology kisa wanasema kwao ni dhambi kumfanyia panya dissection.
Hao jamaa ni tatizo, kuna siku head master alichukia sana akapiga mkwara kwamba hatachukua wavaa sendo
 
Nyi Wanaume Jiaminini Musibane Maneno! Si semeni tu Kama Munawazungumza Waislamu while Mtu Kuwa Muislamu kwenu Ni kosa!!!!!
 
Kuna wajinga flani hivi kipindi nipo form 5, walikua wakikuona umeshika biblia unaenda kipindi cha dini wanakumind afu usiku wanashambulia wakristo kwa fimbo. Sasa nilichokifanya nikanunua sime yangu vizuri nikaweka chini ya godoro ili nisubiri MTU wa kunichapa stiki huku nimelala nimkate shingo. Duh kipindi Niko sekondar akili yangu ilikua ni nyingine.
Duu!!!
 
O level haikua hivi, Maisha tulioish O-Level na rafiki yangu yalibadilika kabisa advance , kila mtu alijifanya mchungaji, sheikh, muumin wa kweli.

Nilidhani ni shule yangu tu ila nikajaona maeneo mengi. Sijui ni vile vipindi vya dini vya lazima au nini.

Cha ajabu zaidi kufika chuo sikuwaona tena wale waumini na viongozi wa dini kindaki ndaki, kwanini

Chuo wakisha pata boom wanaanza wanaanza kupiga nyagi.
 
Kuna jamaa tulikua tunakaa nae room moja chuo alisoma Ifunda Tech alikua anatupa story jinsi kulivyokuwa na matabaka na ubaguzi wa kidini baina ya wanafunzi shuleni kwao
Nimesoma ifunda yaan watu wanakua na matabaka ya udini wakati makwao wala hawauzurii nyumba za dini
 
Hizo mambo zinatokea sana shule za serikali nahisi walimu watakuwa wanaendekeza upuuzi huu..maana kwenye shule za private sio sana udini wa hivi..
Jipu kubwa ni walimu
 
Back
Top Bottom