Kwanini serikali imenyamaza kimya?Huku Simba wana changisha??

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,140
116,065
Serikali kupitia taasisi zake walisimamia zoezi la Simba kupata mwekezaji ambae inasemekana alitoa bilioni 20 kununua asilimia 49 ya hisa za Simba...

Sasa Simba inaporudi kuchangisha wanachama wakati kila kitu cha Simba kinamilikiwa kwa asilimia 49 na huyo mwekezaji...je wanachama wanamchangia mwekezaji??

Hisa zake zikiongezeka thamani anaefaidika ni nani??He kesho akiuza hizo hisa kww mtu mwingine kwa bei mara 2 au 3 ?Simba inafaidika vipi?

Hii michango inaongeza vipi thamani ya hisa za Simba?Msimamiz ambae ni serikali Yuko wapi?..kama Mwekezaji anatoa bilioni 2 Tu na Wana Simba wanachanga kufikisha hizo bilioni 28 za Uwanja..
He bado mwekezaji atakuwa na asilimia 49?.


Kuna umuhimu kwa wasimamizi kutoa ufafanuzi..
 
Jipe muda. Kwa maana final say haijatolewa wanachama wanatoa kwa maana wao pia wanahusika na pia mwekezaji kaaza kwa kuchangia 2b hana umiliki wa timu yote hivyo.lazima.hatua za upande wa kwetu mashabiki au wanachama zionekane ndio watakapo dhaminisha naamini hivyo au nipo wrong.?
 
Jipe muda. Kwa maana final say haijatolewa wanachama wanatoa kwa maana wao pia wanahusika na pia mwekezaji kaaza kwa kuchangia 2b hana umiliki wa timu yote hivyo.lazima.hatua za upande wa kwetu mashabiki au wanachama zionekane ndio watakapo dhaminisha naamini hivyo au nipo wrong.?


Unaamini??Huku anaechangisha ndo huyo huyo? Unaamini hata Ukweli wa michango utawekwa wazi??
 
Nasubiri kuona jinsi gani simba wata raise fund hadi kufika 30bilion.

Maana wanachama tuu kulipia kadi ni mtiti, kununu jezi ni mtiti, kutupia app ya simba ni mtiti
 
Nasubiri kuona jinsi gani simba wata raise fund hadi kufika 30bilion.

Maana wanachama tuu kulipia kadi ni mtiti, kununu jezi ni mtiti, kutupia app ya simba ni mtiti
Mbona zimeshafika TZS. 45 bil.

mwanaspoti_tz~p~CXk_RoRKRyw~1.jpg
 
Ila Mohammed hapendwi kiukweli na hasa wale wasiotakia mema simba,, na sipati picha kama yeye ndo angeibuka na wazo hili sijui ingekuwawaje,,, wazo wametoa wengine lkn yeye kama muwekezaji kaanza na mfano kwa wengine kwa kuahidi 2billion lkn anavyopingwa utadhani labda yeye ndo kaja na wazo hilo la kuchangishana,,,
 
Serikali kupitia taasisi zake walisimamia zoezi la Simba kupata mwekezaji ambae inasemekana alitoa bilioni 20 kununua asilimia 49 ya hisa za Simba...

Sasa Simba inaporudi kuchangisha wanachama wakati kila kitu cha Simba kinamilikiwa kwa asilimia 49 na huyo mwekezaji...je wanachama wanamchangia mwekezaji??

Hisa zake zikiongezeka thamani anaefaidika ni nani??He kesho akiuza hizo hisa kww mtu mwingine kwa bei mara 2 au 3 ?Simba inafaidika vipi?

Hii michango inaongeza vipi thamani ya hisa za Simba?Msimamiz ambae ni serikali Yuko wapi?..kama Mwekezaji anatoa bilioni 2 Tu na Wana Simba wanachanga kufikisha hizo bilioni 28 za Uwanja..
He bado mwekezaji atakuwa na asilimia 49?.


Kuna umuhimu kwa wasimamizi kutoa ufafanuzi..

Unaulizia hisa 49 wakati kuna 51 huulizi?
 
Serikali kupitia taasisi zake walisimamia zoezi la Simba kupata mwekezaji ambae inasemekana alitoa bilioni 20 kununua asilimia 49 ya hisa za Simba...

Sasa Simba inaporudi kuchangisha wanachama wakati kila kitu cha Simba kinamilikiwa kwa asilimia 49 na huyo mwekezaji...je wanachama wanamchangia mwekezaji??

Hisa zake zikiongezeka thamani anaefaidika ni nani??He kesho akiuza hizo hisa kww mtu mwingine kwa bei mara 2 au 3 ?Simba inafaidika vipi?

Hii michango inaongeza vipi thamani ya hisa za Simba?Msimamiz ambae ni serikali Yuko wapi?..kama Mwekezaji anatoa bilioni 2 Tu na Wana Simba wanachanga kufikisha hizo bilioni 28 za Uwanja..
He bado mwekezaji atakuwa na asilimia 49?.


Kuna umuhimu kwa wasimamizi kutoa ufafanuzi..
Mkuu hakuna uwekezaji wowote ni ujinga tu wa kudanganywa kila siku.......
 
Kwa hiyo unataka serikali iingilie kati tuchange kulingana na asilimia kisa hatutapata mgao kwa usawa ushajiuliza ni pesa ngapi huyo mwekezaji katoa kwa Simba na tukiiweka kwenye % ipo ngapi?

Kama una uchungu na wewe nunua hisa 30% zipo free utafaidika maana tutakujengea uwanja for free
 
Back
Top Bottom