Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,464
- 2,304
Wadau nawasalimu.Najua kulikubali hili mpaka uwe na akili kubwa.
Mwekezaji Mo Ana asilimia 49 ya Hisa na Wanachama wana asilimia 51
Swali la Msingi
1.Je thamani ya Asilimia 49 za Mo zina Thamani gani?
2.Je thamani ya asilimia 51 za Wanachama zina Thamani gani?
Wanachama wa SIMBA HAWAJUI.
Je wanasheria waliwaeleza Wanachama? Jibu sidhani.
Mwekezaji anadai katoa BIL 20 je Wanachama mmeziona Fedha hizo?
Kama Kweli katoa kwanini BODI ya SIMBA inashindwa kununua Wachezaji ? PACOME na wachezaji 2 walipelekwa SIMBA kabla ya kupelekwa YANGA Je mnajua kwanini SIMBA ilishindwa kuwanunua wakati MWEKEZAJI katoa BIL.20?
Tutaendelea tena kesho
SIMBA 2 NAMUNGO 2
Mwekezaji Mo Ana asilimia 49 ya Hisa na Wanachama wana asilimia 51
Swali la Msingi
1.Je thamani ya Asilimia 49 za Mo zina Thamani gani?
2.Je thamani ya asilimia 51 za Wanachama zina Thamani gani?
Wanachama wa SIMBA HAWAJUI.
Je wanasheria waliwaeleza Wanachama? Jibu sidhani.
Mwekezaji anadai katoa BIL 20 je Wanachama mmeziona Fedha hizo?
Kama Kweli katoa kwanini BODI ya SIMBA inashindwa kununua Wachezaji ? PACOME na wachezaji 2 walipelekwa SIMBA kabla ya kupelekwa YANGA Je mnajua kwanini SIMBA ilishindwa kuwanunua wakati MWEKEZAJI katoa BIL.20?
Tutaendelea tena kesho
SIMBA 2 NAMUNGO 2