mzeempili
JF-Expert Member
- Aug 16, 2021
- 327
- 531
Tuliambiwa tutaishi kama mashetani. Now we are back.Wabongo wengi roho mbaya sana wanapenda kuona baadhi ya watu hasa wale walio fanikiwa mfano maafisa serikalini, wafanyabishara wakihenyeshwa.
Tuliambiwa tutaishi kama mashetani. Now we are back.Wabongo wengi roho mbaya sana wanapenda kuona baadhi ya watu hasa wale walio fanikiwa mfano maafisa serikalini, wafanyabishara wakihenyeshwa.
tatizo hawezi kusema hiyo ni siri ya taifa mkuu..Ndiyo, serikali ya ccm ilikuwa madarakani, yeye akiwa makamu wa Rais, na pia yeye mwenyewe alitoa baadhi ya taarifa hizo. Hivyo anawajibika asilimia mia moja.
hahaha nimeacha mkuu ..Acha kuwafokea ndugu wa marehemu
Si kwa mfumko wa bei tunaoshuhudia. She has failed the nation.Hata hivyo nahodha aliepo sasa ana weledi na ujuzi unaofanana na alietangulia. Kwahiyo tuna imani atatufikisha salama safari yetu.
Hana jibu,hata yeye hakujua kama Magufuli anaumwa, ilikuwa SIRI KUU,watu wachache SANA ndiyo waliokuwa wanajua kama mzee anaumwa.
Kumuuliza Hilo swali huyo Vasco da Gama wa kike ni kumuonea.
Mkuu waandishi hao wanawatoto na familia bado wanategemewa kabisa.Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.
Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.
Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.
Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.
Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…
Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.
Kwangu hili halikubaliki kabisa!
Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.
Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.
Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.
Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.
Pascal Mayalla take note and spread the word.
Haha! Nakumbuka alisema waliokuwa wanaongelea mambo hayo walikuwa na husda! 😂Sawa,
If it is so.,
Tusimbane Samia atleast she admitted the Man is sick prior his death..
Ilaa Katelephone alichosema dahhh.
Kabisa. Hakufariki tarehe 17Na wakatangaza zikiwa zimepita siku kumi toka alipofariki.
Nahisi kama na wewe ndiye wale wanaoamini zile conspiracy theories..! Ameaga dunia kwa ugonjwa wa moyo, mwacheni apumzike kwa amani sasa.Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.
Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.
Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.
Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.
Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…
Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.
Kwangu hili halikubaliki kabisa!
Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.
Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.
Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.
Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.
Pascal Mayalla take note and spread the word.
Tumsamehe bure yeye mwenyewe alifichwa hadi akapangiwa na ziara za mikoaniKama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.
Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.
Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.
Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.
Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…
Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.
Kwangu hili halikubaliki kabisa!
Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.
Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.
Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.
Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.
Pascal Mayalla take note and spread the word.
Kujua juu ya mwendazake kutapunguza makali ya tozo? Tuache mizaha wakati mwingine.Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.
Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.
Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.
Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.
Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…
Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.
Kwangu hili halikubaliki kabisa!
Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.
Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.
Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.
Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.
Pascal Mayalla take note and spread the word.
Haha! Nakumbuka alisema waliokuwa wanaongelea mambo hayo walikuwa na husda! 😂
Haya maswali yako ungeyaelekeza kwenye ofisi ya chama chako pale Lumumba ungepata majibu. Hapa utaambulia matusi tuMambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Apo mwendazake kwenda kwa muumba utakuwa umekosea ..huyu marehemu sidhani kama ameeleka huko ..atakuwa tu maeneo mengine anasubiri kwenda kuzimu. Huyu kwa muumba hana chake..Kabla ya 17/03/2021, Haikuwa serikali yake bali ya Magufuli. Kwahiyo aliyeandaa utaratibu wote wa kuficha taarifa zake za ugonjwa alikuwa mwenda zake mwenyewe. Na hii haikuwa mara ya kwanza kwa Magu kuficha taarifa za afya yake.
Ni kama mara mbili au tatu kusikika kwa tetesi kuwa ni mgonjwa na yeye kutoonekana kwa muda lakini baadae alikuwa anaibukia kanisani au Chato.Bahati mbaya safari hii ikaishia kwa yeye kwenda kwa muumba wake.
Hivyo sioni kuwa ni swali la msingi kuulizwa SASHA, kwani huo ndo ulikuwa utaratibu wa serikali ya JPM.
Mzee wetu aliiweza sana hii styleNchi haingozwi na makelele ya kujisifia kila kukicha.
Siishi Tz lakini nilipata taarifa za kifo chake Mzena Hospital tarehe 9 na aliyenipa taarifa pia yuko ughaibuni nchi tofauti na ninayoishi mimi, walijaribu kuficha lakini zilivuja japo at that point in time sikuziamini.Kabisa. Hakufariki tarehe 17
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.