Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Wabongo wengi roho mbaya sana wanapenda kuona baadhi ya watu hasa wale walio fanikiwa mfano maafisa serikalini, wafanyabishara wakihenyeshwa.
Tuliambiwa tutaishi kama mashetani. Now we are back.
 
The 180° shift of every single policy change(good or bad) after his death only leads me to one conclusion ,he was "Epsteined" and not in a suicide sense

But on another note some part in me tells me he died suddenly + a close circle of people knew and the shock of it confused them on what to tell the public
 
Hana jibu,hata yeye hakujua kama Magufuli anaumwa, ilikuwa SIRI KUU,watu wachache SANA ndiyo waliokuwa wanajua kama mzee anaumwa.
Kumuuliza Hilo swali huyo Vasco da Gama wa kike ni kumuonea.

Usimtetee huyo. Yeye na PM walitukosea sana sisi wapigakura wa nchi hii. Nini kiliwafanya wakaanza kutuletea salaam kutoka kwa Rais ambaye walikuwa hawana mawasiliano naye? Kimsingi, walikuwa wanatuletea salaam hewa kutoka kwa Rais.

Hawakuwa honest kwa Watanzania na sidhani kama hiyo tabia ni consistent na viapo vyao!

Bottom line: Huo upuuzi haukubaliki.
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Mkuu waandishi hao wanawatoto na familia bado wanategemewa kabisa.
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Nahisi kama na wewe ndiye wale wanaoamini zile conspiracy theories..! Ameaga dunia kwa ugonjwa wa moyo, mwacheni apumzike kwa amani sasa.
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Tumsamehe bure yeye mwenyewe alifichwa hadi akapangiwa na ziara za mikoani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Kujua juu ya mwendazake kutapunguza makali ya tozo? Tuache mizaha wakati mwingine.
 
Haha! Nakumbuka alisema waliokuwa wanaongelea mambo hayo walikuwa na husda! 😂
2815030_2799136_1622926778129.png
Baada ya kauli hii MATAGA wakaanza kutembea kifua mbele kuwa chuma kiko imara kumbe ni uongo kama zile rekodi za kupika za makusanyo ya kodi TRA enzi za Jiwe
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.
Haya maswali yako ungeyaelekeza kwenye ofisi ya chama chako pale Lumumba ungepata majibu. Hapa utaambulia matusi tu
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Kabla ya 17/03/2021, Haikuwa serikali yake bali ya Magufuli. Kwahiyo aliyeandaa utaratibu wote wa kuficha taarifa zake za ugonjwa alikuwa mwenda zake mwenyewe. Na hii haikuwa mara ya kwanza kwa Magu kuficha taarifa za afya yake.

Ni kama mara mbili au tatu kusikika kwa tetesi kuwa ni mgonjwa na yeye kutoonekana kwa muda lakini baadae alikuwa anaibukia kanisani au Chato.Bahati mbaya safari hii ikaishia kwa yeye kwenda kwa muumba wake.

Hivyo sioni kuwa ni swali la msingi kuulizwa SASHA, kwani huo ndo ulikuwa utaratibu wa serikali ya JPM.
Apo mwendazake kwenda kwa muumba utakuwa umekosea ..huyu marehemu sidhani kama ameeleka huko ..atakuwa tu maeneo mengine anasubiri kwenda kuzimu. Huyu kwa muumba hana chake..
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wakati Magufuli akiugua bado serikali ilikuwa ni 'serikali ya Rais Magufuli' kwa mantiki ya Magufuli regime na wala sio Samia regime...

Kwa mantiki hiyo, sidhani kama ni sahihi kuliframe swali hilo kuweka neno "kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli"...

Kama kuficha hali ya Rais basi ni kosa liende kwa aliyepaswa kutueleza hali ya afya ya Rais kiprotokali, sasa sijui ni Makamu (Samia) au PM (Majaliwa) au Spika (Ndugai) au Ikulu (Katibu wa Ikulu/Rais, Msemaji wa Ikulu)
 
Back
Top Bottom