Kwanini Samsung asitengeneze OS yake?


Wakati unaendelea kusema bullshit kuhusu android tambuwa ya kwamba its the most polular is kuliko hata windows.

Android Beats Windows to Become World's Most Popular Operating System
 
Wakati unaendelea kusema bullshit kuhusu android tambuwa ya kwamba its the most polular is kuliko hata windows.

Android Beats Windows to Become World's Most Popular Operating System
hio ni net marketshare aka idadi ya watu wanaotumia internet, na sio idadi ya user wa operating system,

mfano naweza fungua laptop yangu nikacheza game then nikafunga, system hio hainihesabu mimi kama mtumiaji wa windows sababu sijaingia kwenye website zao ili wanihesabu,

sasa imagine zile computer za bank, Atm, server mbalimbali, mashirika mbalimbali yanayotumia intranet etc
 

Ni battle tu hyo bro microsoft wanaongoza kwenye desktop wars Ila as time goes minituarization continues embedded systems Zita take over
 
Wakati unaendelea kusema bullshit kuhusu android tambuwa ya kwamba its the most polular is kuliko hata windows.

Android Beats Windows to Become World's Most Popular Operating System
Popularity goes to those cheap products associated with Android, the likes of Tecno, Xiaomi, Samsung etc. They don't have a choice, they're caught up in only one choice.
Kama wangekuwa na 'deep pockets' wasingenunua hiyo Android. Wangekimbilia kwenye iOS au Windows. Angalia hata humu jf, wangapi wanatamani kuwa na iphone ila hawana uwezo.
 
Mi mbona nina deep pockets (kwa minajili ya uwezo wa kununua na ku maintain simu) sitaki kuwa na simu za Apple na nishawahi kupewa Apple ya bure niijaribu nikaikataa baada ya kukaa nayo wiki mbili?

Kila mwaka nanunulia watu wa nyumbani angalau wawili simu, nawauliza wanataka simu gani niwanunulie, yoyote, money is no object, hawajawahi kuitaja Apple hata mwaka mmoja.

Hiyo theory yako ya deep pocket inabidi ui revise.

Sijaelewa kwa nini mtu anayeelewa simu na electronics anunue simu ambayo haina removable battery wala micro SD card slot.
 

Siwezi kupingana na hili binadamu majority wapo fickle minded wamesha au Apple marketing imewafanya waamini kuwa iPhone ni a status symbol watu wanaona wakiwa nayo wataoneka wealthy hii ni dhahiri dunia nzima.
So sipingani na kauli yako.

Lakini kwenye swala la deep pockets sema ukweli hata kwangu siwezi poteza hela kwenye an IPhone niache kununua a Galaxy S8 nitajiona chizi.

Android fans hawapendei Android for price
tu lakini wanapendea specs na features.. Kitu ambacho iPhone inacho leo na kinaitwa "innovation" Android kilikuwepo miaka 4 iliopita.
 
Hahaha apple kwa marketing wamewateka watu wengi sana.Wako watu kibao wana deep pockets na hawakubali iPhones bro.Mi mwenyewe mara mia nitumie bidhaa za Nexus au Google pixel ila Cyo apple
 
Hahaha apple kwa marketing wamewateka watu wengi sana.Wako watu kibao wana deep pockets na hawakubali iPhones bro.Mi mwenyewe mara mia nitumie bidhaa za Nexus au Google pixel ila Cyo apple
Kwa watu waliosoma mambo ya computer na electronics wanaoelewa habari za open systems na closed systems kuwa na simu ya Apple ambayo huwezi hata kufungua ubadilishe battery, halafu useme hiyo ndiyo simu yenye innovation ni kituko.

Watu wanatafuta simu unazoweza kubadili processor kama computer, Apple wanakataza kubadili battery tu.

This is an insult to the intelligence of consumers.
 
Unajitumia wewe kama SI Unit ya kupima uwezo wa watanzania?
Ingekua wote wana deep pockets kama wewe kungekuwa na Tecno na zile simu cheap za kkoo?
Majority ya watanzania hawawezi kuafford basic stuffs ukiacha mbali hizo high end phones.
Na hata hao apple wanauza sana simu zao dunia ya kwanza na ya pili. Dunia ya tatu ni wachache wenye uwezo wa kumiliki hizo simu.
 
Fungua funga ubadili battery.
Fungua funga ubadili memory card.
Fungua funga sijui ubadili processor.
Sasa hiyo simu itatamanika kweli? Huo mfuniko utafananaje?
Apple wanakupa enough storage kwa kuwa wanajua huwezi kuzimaliza. Istoshe, wanajua simu sio kwa ajili ya matumizi mazito. Ile ni kwa kufanya kazi nyepesi ukiwa hauna pc kwa wakati huo.
Kwahiyo mkuu ukitoka nyumbani unabeba battery zako 4, memory card zako 10 mfukoni? Ukifika sehemu unaanza kufungua simu yako unabadili battery, mara uweke memory card uangalie documentary zako.
Badae unafungua unatoa memory card ya documentary unaweka ya movie?
Kazi unayo mkuu..
 
Mkuu. Hiyo battery life assessment ya A3 ni reliable? Ushawahi tumia ukaipata hiyo figure?
Soc ina affect nini kwenye matumizi ya simu?
 
Sijajitumia mimi kama SI Unit ya uwezo wa watanzania. Hiyo haitakuwa faira kwa watu wenye per capita income ninayotumia mara mbili katika weekend moja.

Nimejitumia mimi kupinga habari ya kwamba watu wanachagua Android kwa sababu hawana uwezo wa kununua iPhone.

Mimi nina uwezo wa kununua iPhone na sijanunua hata baada ya kupewa bure niijaribu kwa mwezi mzima.
 

Wewe si mtumiaji wa simu vilivyo ndiyo maana unaridhika na hiyo simu ya Apple.

Watumiaji wa simu tunajua maana ya micro SD card na removable battery.

Wewe unatumia simu kama fashin, mapambo na "status symbol". Ndiyo maana kundi lenu mnaweza kuona mtu mwenye hela hatakiwi kuwa na simu isiyo Apple.
 
Wakati Galaxy S5 zinatoka mdogo wangu alikuwa miongozi mwa watu wa mwanzo kuinunua hiyo simu. Baada ya miezi minne simu ikawa inazimazima. Akairudisha pale Samsung akabadilishiwa mother body nayo baada ya miezi 6 kadhaa ikawa slow ajabu.
Simu za Android zinabeba specs za juu ajabu mfano RAM hadi 4GB, battery hadi 4000mAH. Ila apple anabeba specs za kawaida sana ila ukiiweka kwenye geekbench unakuta iphone anamtupa mbali galaxy kwenye single na multi score test.
Android zinabeba specs nyingi na kubwa ila bado end user haifurahii simu yake baada ya muda.
 
Kwahiyo mkuu unaniambia ukifanya random sampling ya watumiaji 10 wa android ambao wakipewa iphone wataikataa kutokana na sababu ulizotoa hapo juu?
 
Mkuu. Hiyo battery life assessment ya A3 ni reliable? Ushawahi tumia ukaipata hiyo figure?
Soc ina affect nini kwenye matumizi ya simu?

mkuu soc ni kila kitu ndani kuna processor, gpu, modem, wifi, bluetooth, camera intelligence, ram, storage type etc hivyo vitu vyote humo ndani kama vinakula sana umeme ujue simu nayo haitakaa na chaji,

kikubwa zaidi cha kufanya hivyo vitu visile chaji ni manufacturing process iliotumika, zipo process nyingi hizi ni baadhi kutoka mpya kwenda zamani

-10nm hii ndio latest mfano soc ndani ya galaxy s6 imetumia hii
-14nm process latest ya mwaka jana na midrange soc za mwaka huu zinatumia hii mfano hio snaodragon 625
-16nm haina tofauti sana na 14nm
-22nm
-28nm
-32nm etc

jinsi inavyokuwa ndogo ndio jinsi inavyokula umeme kidogo na kuwa na nguvu zaidi.

pia kwenye cpu kuna ambazo hazina nguvu lakini zinakula umeme mdogo na kuna zenye nguvu na zinakula umeme mwingi mfano cortex a7 na cortex a53 hazina nguvu sana ila hazili umeme na cortex a72, a73, kyro na cortex a57 zina nguvu na zinakula charge.

kwenye hio a3 nimekupa tu mfano compare na iphone ila a5 na a7 zitakaa zaidi na charge,

pia hio test ina masharti uyajue
-mwanga wameweka 50% ukitumia mwanga zaidi haitakaa muda huo
-wanatumia wifi kubrowse na sio 3g/4g, ukitumia mobile data muda utapungua
-simu inakuwa mpya simu ya android yenye apps nyingi inakuwa na background process nyingi hivyo hula chaji zaidi.

sababu una iphone compare hizo test mbili utaelewa ni vipi itaongezeka ukaaji chaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…