Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,469
Possible, lakini wamarekani walirusha makombora yao kwenda syria kutoka kwenye warships zao, I hope ni hizo carriersHakuna kitu Kama icho ndugu. Aircraft carrier ni uwanja wa ndege wa majini Wala Aina kazi nyingine tofauti na iyo
Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app