george washington
Member
- Nov 17, 2019
- 10
- 10
kipindi changu mimi nikiwa rais wa marekani sijawahi kutengeneza haya mavitu nashangaa vitukuu vyangu akina trump wanapambana hasa
Fabulous...Wiki moja iliyopita Waziri wa Ulinzi wa Urusi Sergey Shoigu alisema hivi " We don't need Aircraft Carriers, we only need weapons to sink them ???"
Mkuu kwan ukifanya ukosoaji constructive tu utapungukiwa na nini?kama hujaona la kukufunza hapo kwann ww usitoe funzo kwa hoja mbadala?!au unafikiri hapa ni MMU?Mmatumbi ambaye hujui hata kutengeneza bunduki unamuongelea Mrusi, Wabongo kujifanya wajuaji wa mambo ya nchi zingine tubatisha
Tumfiche japo kagame basi au museven kama sio kenyata na nkurunziza au malawi.Sisi hatuwezi kuficha kwasababu wao ndio wanatuuzia
Hiki ndio kitu watu hawaelewi! Hata katika bajeti za mataifa mbalimbali, USA anaonekana kuwa na bajeti kubwa kwa sababu hizihizi.Ak-47 ya Warusi inauzwa $ 150 wakati M16 ya wamarekani inauzwa $ 700.je! tukija kwenye ubora wa kazi ipi Bora Kama sio Ak-47.
Gharama ni mbwembwe tu kulingana na utengenezaji wako. Sio kwa sababu marekani anatengeneza kwa gharama ukajua kutakuwa na ubora mkubwa.patriot ya marekani ni Bei kubwa Sana kwa mfumo 1 Ila ukija kwenye uwanja wa Vita ni chujio
Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
Kutengeneza carrier ya kisasa mfano kama Gerald R.Ford (Nimitz Class),Ni $13 Billions.Ni pesa nyingi kwa budget ya Jeshi la Urusi kwa mwaka.Hio moja itakula almost 25% ya budget ya ulinzi ya Urusi.Sasa hapo ni kuchagua,watengeneze hiyo moja for that money au wanunue Units kama 20 za S500 surface to air missiles kutoka Almaz Antey..
Russia maskini sana sanaaaa in comparison with US.. Maskini, umeelewa?
Huu mjadala kama ungekua umekuja na jibu hili toka awali ulikua hauna haja ya kuendelea mkuu ulikua wapi sku zote hizo aseeeMasikini, ila ndiyo taifa linaloinyima usingizi hiyo US yako,,
Achana na story za kwenye kahawa nduguKwenye kamati iliyoundwa na Bunge la Congress kuiangalia budget ya trump kwenye ulinzi, jamaa walikuja na jibu moja tu.
Kwenye vita kati ya US-China au US-Russia zote USA atapigwa vibaya, hakuna eneo anapoweza furukuta!!..
The US has been getting 'its ass handed to it' in simulated war games against Russia and China, analysts say
In war games simulating a high-end fight against Russia or China, the U.S. often loses, two experienced military war-gamers have revealedtaskandpurpose.comChina's Military Modernization Increasingly Challenges U.S. Defense Capabilities in Asia
Although China continues to lag behind the United States in terms of aggregate military hardware and operational skills, it has improved its capabilities relative to those of the U.S. in many critical areas. Moreover, China does not need to catch up fully in order to challenge U.S. ability to...www.rand.org
Tupe mrejesho hii carrier group ilifanya chochote?View attachment 1268371
Hii ni aircraft carrier ya wamarekani , muda huu iko maeneo ya strait of hormuzi. Nadhani imeenda kuwajambisha Islamic Revolutionary guards
wakat waule msuguano wa us na Iran, Iran waliweza kuzisogelea hiz ceria na kuchukua picha ya kila kinachoendelea na namna wanavoweza kuzishambulia bila wao us kuona nahali yakua wanarada na mitambo yahali yajuu,,,Vita kati ya Marekani na Urusi au Marekani na Uchina ni vita kati ya nchi zenye nguvu kijeshi lakini haimaanishi na wala sio Guarantee kwamba ni vita kubwa.
Vita kubwa ni matokeo ya vita kutokana na aina ya vita inayopiganwa, silaha zinazotumika, idadi ya majeshi na mataifa inayojumuisha.
Ni rahisi sana kuzungumza kuizamisha Carrier kuliko kutenda na hilo limekwisha kufanyika kitaalamu na si 'kisisasa' ili kupata majibu ya uwezo wa hizi Carrier kimapambano.
Katika Conventional Warfare yoyote ile kati ya hizo 'nchi kubwa' itahusisha vitengo vya kijeshi zaidi ya kimoja. Hapa nazungumzia, kutakuwa na uhusika wa Air-Force n.k. kuweza kuiendesha hii vita.
Wakati wowote ambao Carrier inakuwepo katika majukumu yake, lazima kunakuwa na vitengo vingine vya kuiendesha Operesheni ya kijeshi ama vita.
Airforce inakuwa na jukumu la kuziwinda Missile Launch Facilities pamoja na Missile Batteries zilizopo katika Range ili kuzidhibiti kwa mtindo wa Electronic Warfare ama kuzishambulia kwa makombora pale inapobidi.
Navy inaiendesha Carrier Group inayohusisha pia Submarines za kisasa zitakazokuwa na kazi maalumu ya kukabiliana na hatari zote za majini hususani zile zitakazokuwa zikiiwinda Carrier.
Wakati adui anaiwinda ama anauwinda msafara wa Carrier Group atalazimika kuzipenya hizi Layers zote za kiulinzi na hili si jambo la kuleta ushabiki na maneno ya kisisasa. Ni jambo lenye madhara makubwa kwa jeshi lolote la adui litakalojaribu kufanya hivyo.
Ni kiasi gani cha Firepower atakacho Risk adui ili kutekeleza Mission kama hii ya kuizamisha tu Carrier huku pia akijaribu kuikabili Retaliation yake hata kama ni nchi yenye nguvu kijeshi kama China ama Urusi?
Uendeshaji na masuala ya kiulinzi ya Carrier Battle Groups ni suala la 'Uwezo' tu na hilo linafanyika kwa wenye uwezo huo. Mengine ni maneno tu ya kisiasa.
Watu wengi sana wamekuwa wanajiuliza hilo swali na kuona kwamba kitendo cha kuto kiwa na hizo aircraft carrier ni kosa kubwa mno kwa Urusi.
Billi Clinton, Rais wa Zamani wa USA aliwahi kusema kwamba Endapo kutatokea Vita kubwa cha kwanza USA watakacho jiuliza ni je ziko wapi aircraft carrier?
Ziko salama huko ziliko?
Maana yake ni kwamba aircraft carrier za USA si salama kabisa kwa Major War na nni hatari tupu na ukisoma hata Wachambuzi wa kivita wanasema kwa vita kubwa kabisa inabisi USA afiche aircraft carrier zake.
Kwa nini?
1. aircraft carrier moja inaweza kuwa na askari na wafanyakazi wapatoa 15,000/ hii ni hatari mno kwa shambulio moja tu inakuwa ni hasara ya karine kwa Usa.
2. Kwa sasa nchi kama China na Russia tiyari wana Makombola ya kuweza kuzamisha Meli hizi za USA hii ndo huwa kila mala inaibua mijadala hata kwenye Bunge la Marekani.
3. Hasara kubwa itakayo patikana endapo Meli hii itazama. Kumbuka ni Meli ghari sana sasa inazamishwa na Ndege kama 30 au 7p hivi plus wanajeshe kama 15,000.
Uki google kuna Mijadala sana kwenye Bunge na hata Congress ya Marekani kuhusu aircraft carrier kama bado zinahitajika au la.
Urusi kuona hivyo ndo maana yeye nawekeza kwenye Meli za kawaida na Nyambizi pamoja na Makombola mengine.
Aircraft carrier ni kwa Vita na nchi ndogondogo hizi ambazo hazina techinolojia ya kutosha kuweza kuzamisha hizo meli.
Ila huwezi peleka aircraft carrier kwenye Full war na Nchi kama China au Urusi.
Kwenye Fullu War hizo aircraft carrier zita fichwa kabisa make kwanza ndo zitakuwa Target namba 1 make mpigo mmoja impact ni kubwa sana.
HIVYO Urusi haoni haja ya kuwa na aircraft carrier kwa sababu hajiandai kupigana na nchi ndogo bali kubwa na nchi kubwa hizo aircraft carrier hawezi zipeleka mbele kamwe.
Urusi ana jiandaa na Silaha za masafa marefu anaipiga New York akiwa Moscow.
Kujenga silo + kutengeneza kichwa cha nuklia na kombora lake unajua ina cost bei gani nduguRussia hana pesa ya kuendesha aircraft carrier.
Sasa kazi yake ni nini kama sio uwanja wa ndege?.au inabeba vichwa vya nuclearEyi uwanja wa ndege!!! Mkuu I naelewa unachokizungumzia kweli?
Carrier inapoenda kwenye mission kunakuwa na carrier group. Katika hii group kuna ckrvettes(sub hunter), destroyer(ulinzi wa anga, SAM systems), subs na supply ships. So carrier inabaki na kazi ya kubeba ndege kuzisogeza karibu na war theatre. So huenda jamaa anasema ukweli, its just a mobile airport.Eyi uwanja wa ndege!!! Mkuu I naelewa unachokizungumzia kweli?
Sijui mkuu, tujuze tuongeze maarifa.Kujenga silo + kutengeneza kichwa cha nuklia na kombora lake unajua ina cost bei gani ndugu
Kuna mambo upo sahihi, lakini kuna mambo haupo sahihi, Aircraft ndio tumani la mwisho kwa USA, na wala si sehemu hatari, Wamerekani watauliza kuwa zikowapi sio kwa kuogopa kama zitakuwa zimezama, bali wataogopa kupoteza tumaini lao la mwisho. Nikupe kisa cha zamani kidogo, Aubuhi ya tarehe 7 mwezi wa 12 mwaka1941 wakati Japani inashambulia Pear horbor, yalitokea makosa mawili yaliyo igharimu Japani kupoteza uwezekano wa kushinda vita kabisa.Watu wengi sana wamekuwa wanajiuliza hilo swali na kuona kwamba kitendo cha kuto kiwa na hizo aircraft carrier ni kosa kubwa mno kwa Urusi.
Billi Clinton, Rais wa Zamani wa USA aliwahi kusema kwamba Endapo kutatokea Vita kubwa cha kwanza USA watakacho jiuliza ni je ziko wapi aircraft carrier?
Ziko salama huko ziliko?
Maana yake ni kwamba aircraft carrier za USA si salama kabisa kwa Major War na nni hatari tupu na ukisoma hata Wachambuzi wa kivita wanasema kwa vita kubwa kabisa inabisi USA afiche aircraft carrier zake.
Kwa nini?
1. aircraft carrier moja inaweza kuwa na askari na wafanyakazi wapatoa 15,000/ hii ni hatari mno kwa shambulio moja tu inakuwa ni hasara ya karine kwa Usa.
2. Kwa sasa nchi kama China na Russia tiyari wana Makombola ya kuweza kuzamisha Meli hizi za USA hii ndo huwa kila mala inaibua mijadala hata kwenye Bunge la Marekani.
3. Hasara kubwa itakayo patikana endapo Meli hii itazama. Kumbuka ni Meli ghari sana sasa inazamishwa na Ndege kama 30 au 7p hivi plus wanajeshe kama 15,000.
Uki google kuna Mijadala sana kwenye Bunge na hata Congress ya Marekani kuhusu aircraft carrier kama bado zinahitajika au la.
Urusi kuona hivyo ndo maana yeye nawekeza kwenye Meli za kawaida na Nyambizi pamoja na Makombola mengine.
Aircraft carrier ni kwa Vita na nchi ndogondogo hizi ambazo hazina techinolojia ya kutosha kuweza kuzamisha hizo meli.
Ila huwezi peleka aircraft carrier kwenye Full war na Nchi kama China au Urusi.
Kwenye Fullu War hizo aircraft carrier zita fichwa kabisa make kwanza ndo zitakuwa Target namba 1 make mpigo mmoja impact ni kubwa sana.
HIVYO Urusi haoni haja ya kuwa na aircraft carrier kwa sababu hajiandai kupigana na nchi ndogo bali kubwa na nchi kubwa hizo aircraft carrier hawezi zipeleka mbele kamwe.
Urusi ana jiandaa na Silaha za masafa marefu anaipiga New York akiwa Moscow.