Kwanini Republican establishment wanamchukia sana Donald Trump?

TEKNOLOJIA

JF-Expert Member
Jan 6, 2014
4,305
2,559
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu maarufu ndani ya republican wanaompinga Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho. Alianza John McCain, Mitch McConnell,Lindsey Abraham,Mitt Romney na sasa kuna afisa mstaafu mmoja wa jeshi.Hivi ni kwanini wanampinga sana Trump? Anatishia maslahi yao?Ni tishio kwa ajenda yao ya kuendelea kuleta machafuko sehemu mbalimbali za dunia kwaajili ya maslahi yao ya kimadaraka na kuuchumi?
 
Trump sio mwanasiasa ndio maana anawatisha wenye mazoweya(the establishment).
Juzi kaulizwa swali kwanini unampenda muuwaji wa wahandishi wa habari Mr,Putin?
Trump kajibu mbona SISI (USA) tunauwa kila siku matatizo yako wapi?
Majibu Kama hayo yana watisha wanafiki.
 
Trump sio mwanasiasa ndio maana anawatisha wenye mazoweya(the establishment).
Juzi kaulizwa swali kwanini unampenda muuwaji wa wahandishi wa habari Mr,Putin?
Trump kajibu mbona SISI (USA) tunauwa kila siku matatizo yako wapi?
Majibu Kama hayo yana watisha wanafiki.
Trump naye mnafiki tu.

Anasema atawafukuza wageni Marekani wakati yeye mwenyewe anawaajiri na wake zake wawili kawatoa Eastern Europe.
 
Ndiyo hivyo ila ndiyo rais ajaye..!!
Tatizo mnamuelewa na kutafsiri aongeacho kwa kiwango msichompenda.

Trump huwa analia na wahamiaji haramu, ambao huwa inadaiwa keshawahi kuwaajiri baadhi yao.

Sijawahi hata siku moja kumsikia akiongelea kuhusu wahamiaji halali.

Matatizo ya siasa ndo hayo....perception vs reality.

Hata yale mtu ambayo hajayasema watu wanadhani kayasema kwa sababu tu kuna dhana flani juu yake.
 
Republicans wanahisi Trump kuwa mshindani wa Clinton is a lose lose situation,hawaoni uwezekano wa Trump kumshinda Clinton katika ballot box
 
Trump ni 'time bomb'
Trump Univesirty ikafeli
Trump Airline ikafeli

wanadai hata utajiri wake ni dollar milioni 200 tu nazo ni urithi

biashara zake nyingi zime flop
zinafanikiwa hazimiliki yeye ni jina lake tu ndo biashara now sababu ya TV shows zake

Na huku kwenye urais.....wameanza now kumdhibiti
hatakuwa Rais wa Marekani
 
Trump ni 'time bomb'
Trump Univesirty ikafeli
Trump Airline ikafeli

wanadai hata utajiri wake ni dollar milioni 200 tu nazo ni urithi

biashara zake nyingi zime flop
zinafanikiwa hazimiliki yeye ni jina lake tu ndo biashara now sababu ya TV shows zake

Na huku kwenye urais.....wameanza now kumdhibiti
hatakuwa Rais wa Marekani
kusema hatakuwa rais wa marekani,is jumping the gun,happenings around the globe,would force voters into his lap-never say never
 
Trump ni 'time bomb'
Trump Univesirty ikafeli
Trump Airline ikafeli

wanadai hata utajiri wake ni dollar milioni 200 tu nazo ni urithi

biashara zake nyingi zime flop
zinafanikiwa hazimiliki yeye ni jina lake tu ndo biashara now sababu ya TV shows zake

Na huku kwenye urais.....wameanza now kumdhibiti
hatakuwa Rais wa Marekani

Trump hayuko serious kabisa.

Serious presidential candidate hawezi ku-act kama Trump.

Ila kwenye utajiri wake hapo nadhani umekosea.

He is probably worth much more than that but just maybe not as much as he claims.

He claims to be worth around 10 billion.

Forbes estimates his wealth to be around 4.5 billion.

Donald Trump
 
Trump hayuko serious kabisa.

Serious presidential candidate hawezi ku-act kama Trump.

Ila kwenye utajiri wake hapo nadhani umekosea.

He is probably worth much more than that but just maybe not as much as he claims.

He claims to be worth around 10 billion.

Forbes estimate his wealth to be around 4.5 billion.

Donald Trump
it could be Americans no longer want a serious president anymore-cause them serious president engulf them in problems after problems
 
Wahamiaji hao hao haramu unaowaita wewe aliwaajiri kutoka Poland, halafu anawapa watu sound.

Mimi wala sikatai kuhusu unafiki wake.

Ila, centerpiece ya kampeni yake ni illegal immigration.

Kama anasema ni immigrants wote basi ina maana hata mkewe Melania naye aondoke.

Lakini hasemi immigrants wote. Ni illegal tu.

Jambo ambalo karibu kila nchi kama si nchi zote, ina sheria dhidi yake.
 
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu maarufu ndani ya republican wanaompinga Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho. Alianza John McCain, Mitch McConnell,Lindsey Abraham,Mitt Romney na sasa kuna afisa mstaafu mmoja wa jeshi.Hivi ni kwanini wanampinga sana Trump? Anatishia maslahi yao?Ni tishio kwa ajenda yao ya kuendelea kuleta machafuko sehemu mbalimbali za dunia kwaajili ya maslahi yao ya kimadaraka na kuuchumi?
...Actually, mwenye uwezo wa kufanya hivyo ni Trump!
 
Back
Top Bottom