Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Tutaona irakuwaje maana chama chake Republican kinapigania KUMKATA kikwazo ni kukubalika kwake kwa wananchiMkuu ni kweli na safari hii walikuwa wanamtaka Rubio awe mgombea toka Republicans, lakini ndio hivyo tena hafanyi vizuri na inawezekana akapoteza hata nyumbani kwake FLORIDA.