Kwanini Republican establishment wanamchukia sana Donald Trump?

Mkuu ni kweli na safari hii walikuwa wanamtaka Rubio awe mgombea toka Republicans, lakini ndio hivyo tena hafanyi vizuri na inawezekana akapoteza hata nyumbani kwake FLORIDA.
Tutaona irakuwaje maana chama chake Republican kinapigania KUMKATA kikwazo ni kukubalika kwake kwa wananchi
 
Hivi kuna mwenye Uraia wa Marekani hapa?
Trump ilionekana anapigwa sana kwenye primaries ila tofauti ni kuwa kapata watu wengi sana mfano leo voters wake ni zaidi ya wale waliopiga dems combined jimbo la Michigan

Kama alivoshinda Obama ndio atavoshinda huyu Trump kila mtu anataka jobs zilizoenda China zirudi Marekani
Viwanda vinakufa kule na jobs zinapotea only Trump can

Obama amekuwa vere weak sana yeye na Mkwere hawana tofauti
Ni nini kinakufanya uone kwamba Obama amekuwa vere weak?
 
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu maarufu ndani ya republican wanaompinga Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho. Alianza John McCain, Mitch McConnell,Lindsey Abraham,Mitt Romney na sasa kuna afisa mstaafu mmoja wa jeshi.Hivi ni kwanini wanampinga sana Trump? Anatishia maslahi yao?Ni tishio kwa ajenda yao ya kuendelea kuleta machafuko sehemu mbalimbali za dunia kwaajili ya maslahi yao ya kimadaraka na kuuchumi?
Amevuta bangi sana
 
Wamericani washachoka na mbwembwe za wanasiasa,Trump anaweza kabisa kupasua
 
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu maarufu ndani ya republican wanaompinga Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho. Alianza John McCain, Mitch McConnell,Lindsey Abraham,Mitt Romney na sasa kuna afisa mstaafu mmoja wa jeshi.Hivi ni kwanini wanampinga sana Trump? Anatishia maslahi yao?Ni tishio kwa ajenda yao ya kuendelea kuleta machafuko sehemu mbalimbali za dunia kwaajili ya maslahi yao ya kimadaraka na kuuchumi?
Hivi wewe kweli unamuunga mkono mtu kama Donald Trump? Sijui kama umeuona ujumbe mmoja unaozunguka kwenye mtandao wa daktari wa Kimarekani akimhoji mgonjwa aliyelazwa hapo hospitali. Anamuuliza kama kuna historia ya magonjwa ya akili kwenye ukoo wake. Mgonjwa anajibu ndiyo kwani mmoja wa wajomba zake yuko upande wa Donald Trump.
 
It's just a smear campaign,in the end people have already made up their minds who they want as their next President.
Hivi wewe kweli unamuunga mkono mtu kama Donald Trump? Sijui kama umeuona ujumbe mmoja unaozunguka kwenye mtandao wa daktari wa Kimarekani akimhoji mgonjwa aliyelazwa hapo hospitali. Anamuuliza kama kuna historia ya magonjwa ya akili kwenye ukoo wake. Mgonjwa anajibu ndiyo kwani mmoja wa wajomba zake yuko upande wa Donald Trump.
 
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu maarufu ndani ya republican wanaompinga Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho. Alianza John McCain, Mitch McConnell,Lindsey Abraham,Mitt Romney na sasa kuna afisa mstaafu mmoja wa jeshi.Hivi ni kwanini wanampinga sana Trump? Anatishia maslahi yao?Ni tishio kwa ajenda yao ya kuendelea kuleta machafuko sehemu mbalimbali za dunia kwaajili ya maslahi yao ya kimadaraka na kuuchumi?
Jamaa ana misimamo mikali kama Magufuri na bahati mbaya uliowataja karibu wote ni washika ukuta.
 
Hivi wewe kweli unamuunga mkono mtu kama Donald Trump? Sijui kama umeuona ujumbe mmoja unaozunguka kwenye mtandao wa daktari wa Kimarekani akimhoji mgonjwa aliyelazwa hapo hospitali. Anamuuliza kama kuna historia ya magonjwa ya akili kwenye ukoo wake. Mgonjwa anajibu ndiyo kwani mmoja wa wajomba zake yuko upande wa Donald Trump.
WEWE kweli hamnazo kwa hiyo shujaa wetu Nyerere asingetakiwa kuwa Raisi eti sababu kwenye ukoo wake kuna watu wako 5 mbele??
 
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu maarufu ndani ya republican wanaompinga Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho. Alianza John McCain, Mitch McConnell,Lindsey Abraham,Mitt Romney na sasa kuna afisa mstaafu mmoja wa jeshi.Hivi ni kwanini wanampinga sana Trump? Anatishia maslahi yao?Ni tishio kwa ajenda yao ya kuendelea kuleta machafuko sehemu mbalimbali za dunia kwaajili ya maslahi yao ya kimadaraka na kuuchumi?
Ana mwelekeo wa kudhalilisha taasisi ya urais wa marekani na kuathiri mustakabali wa uchumi, siasa na usalam wa dunia nzima kwa kauli zake zisizo na kiasi; adolf hitler alizuka hivyo hivyo!
 
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la watu maarufu ndani ya republican wanaompinga Donald Trump, mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya chama hicho. Alianza John McCain, Mitch McConnell,Lindsey Abraham,Mitt Romney na sasa kuna afisa mstaafu mmoja wa jeshi.Hivi ni kwanini wanampinga sana Trump? Anatishia maslahi yao?Ni tishio kwa ajenda yao ya kuendelea kuleta machafuko sehemu mbalimbali za dunia kwaajili ya maslahi yao ya kimadaraka na kuuchumi?
Because he's Dimwitted.
 
wahamiaji haramu
pro abotion
gays
isis nk
loters kibiashara
nk
HUMCHUKIA TRUMP
Hivi niulize tu: Wazee wa Republican party wote wanaompinga, kama akina Romney ni pro-abortion (sio abotion), pro-gays, pro-ISIS? Sijui "loters" ni nini kwa hivyo siwezi kusema.
I think unarahisha mno mambo na nachelea hujayaangalia mambo kwa makini au critically. Ukifuata habari tu za vijiweni utaishia kuamini mambo ambayo si ya kweli.
 
Apewe urais ili aje atusaidie waafrika kuondokana na wizi wa kura kwenye chaguzi zetu
 
Trump huwa analia na wahamiaji haramu, ambao huwa inadaiwa keshawahi kuwaajiri baadhi yao.

Sijawahi hata siku moja kumsikia akiongelea kuhusu wahamiaji halali.

Matatizo ya siasa ndo hayo....perception vs reality.

Hata yale mtu ambayo hajayasema watu wanadhani kayasema kwa sababu tu kuna dhana flani juu yake.

Jamaa anaandamwa na wafanya biashara wakubwa mno marekani ambao ndio wanasponsa jampeni za Hillary Clinton.

mataifa kama saudi arabia, south korea, japan, kuweit, jordan, china na vietnum. Mengi ya mataifa haya yana mslahi makubwa ya kiuchumi na usalama hivyo change ya foreign policy na renegotiation ya trade deals na nchi hizi kama "nafta" na "tpp" akizizikazia Trump kuxibadilisha zinawatia kiwewe mataifa hayo. Mataifa kama saudi arabia, kuweit, south korea, jordan, japan haya mataifa yana mikataba ya kiusalama na america, kulindwa na majeshi ya america na yawapo kwenye vita na nchi yeyote America lazima ingilie. Anachlalamika Trump ni kua, mikataba hii inawanyonya na america kwa sasa inadeninkubwa la dola trilion 20 naa na wakati nataifa hayo ni matajiri wamafuta na mengine uchumi wao ni mkubwa na watu wao wanamaisha bora kuliko america wakati America inalipwa kiduchu kwenye mikataba hiyo. Aneliongea hili kwenye kampeni Atalanta. Kua lazima nnchi hizo ziwalipe heka za maana kwa kulindwa.

unapikuja kwenye trade deals kama tafta na tpp kwenye kampeni ndani ya florida kwenye mji nwingine sio Atlanta, anawalalamikia Hela alizopewa Hillary Clinton 48 500 000 million dollars na wafanya biashara, kuweit $10m, saudi arabia $25m na jordan $5m. Wafanya biashara wakubwa wametoa kilichobaki.

kikubwa hapa ni ni kuwa makampuni makubwa usa yaanaamisha biashara kupeleka Mexico kutokana na Tax kubwa usa lakini bidhaa wanazotengeneza ndani ya mexico soko ni usa quota free na duty free bidhaa hizo zinaingizwa usa na hili limrsababisha makampuni maelfu kuekekea mexico.

Hillary Clinton anataka ongeza tax na Trump anadani yeye atapunguza tax, nakujenga ukuta na mexico pia trade deal lazina zibadilishwe wao ba china, south korea, vietnum, japan na Mexico. No duty free kwa bidhaa za inchi hizo usa ilikuziridisha kampuni nyingi zilizo kimbilia Mexico na kufanya usa shamba la bibi.

yupo sahihi while Clinton anataka ongeza tax na ni hai wafanya biashara eakubwa ndio wamechangia hela za kampeni zake ili kampuni ziendelee kua Mexico, tax ndogo wanalipa, cheap leba ndani ya Mexico wakati manufakcha goods soko ni USA zikiingizwa duty free.

Waamerica walikua wamelala jamaa kawaamsha.
 
Back
Top Bottom