qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Njoo na ushahidi wa clip zao hao viongozi wengine na Mengi. Hiyo issue kuna mbunge mmoja alishawah ropoka na OTV wakaamua kuweka ushahidi wa shutuma zao.
Mengi hutumia mda mrefu kuongea ITV kuliko viongozi wengine wa nchi akiwemo rais. Je, ni kwa nini?
Mengi hutumia mda mrefu kuongea ITV kuliko viongozi wengine wa nchi akiwemo rais. Je, ni kwa nini?
lHata kama wengi wenu mnajitoa ufahamu lakini kuna hoja ya msingi.
Maana huo utaratibu nimeuona kwenye IPP MEDIA muda wote nami huwa najiuliza hilo swali.
Jaribuni kufatilia vituo vyote sio rahisi kumkuta mmiliki kila siku anauza sura kwenye media kisa ndo mmiliki.
Na kama mnakumbuka ishawahi kuletwa kesi kule mjengoni na mbunge malima juu ya kile bwana mengi anachokifanya itv.
Anauza sura kwenye media zake muda mwingi kuliko hata mambo muhimu ya kitaifa. Kuliko hata viongozi wa kitaifa. Kuliko hata mkuu wa nchi.
Ni tz peke ake ndo kuna huo ujinga, na ni itv pekee wanaendekeza huo ujinga.
Me nadhani hapo kuna ubinafsi na kutaka kujikwenza mbele ya jamii ili imuone kama mtu special ndani ya nchi hii.
Anatafuta heshima kwa nguvu.
Au ndo mambo ya fursa?
Mengi hutumia mda mrefu kuongea ITV kuliko viongozi wengine wa nchi akiwemo rais. Je, ni kwa nini?
Vituo vingine wala hatuwajui wamiliki wake,cha muhimu habari tuzipatazo tu,ushamwona mmiriki wa CNN,NBS,C/TEN na vituo vingine wakiuza nyago kwenye Tv zao?huo utaratibu upo kwa IPP MEDIA pekee...
Utawaonaje wakati walishakufa unataka mzimu wao ujifunue kwenye screen za tv station zao na walio hai nenda kawalambe miguu ili na wao waanze kujionyesha kwenye tv station wanazomiliki.
Mengi utumia muda mrefu kuongea ITV kuliko viongozi wengine wa nchi akiwemo rais. Je, ni kwanini?
Akili fupi sana hii, Mbona mmiliki wa Star TV hutakaa umuone hata siku moja kwenye TV yake. Kama na mmiliki wa CNN angekuwa anajiweka kwenye TV yake sijui ingekuwaje. Wale waandishi wa ITV ni makanjanja wanadhani wakimuweka bosi wao muda mrefu ndio atawapenda zaidi.shame on them!!!
Hata kama wengi wenu mnajitoa ufahamu lakini kuna hoja ya msingi.
Maana huo utaratibu nimeuona kwenye IPP MEDIA muda wote nami huwa najiuliza hilo swali.
Jaribuni kufatilia vituo vyote sio rahisi kumkuta mmiliki kila siku anauza sura kwenye media kisa ndo mmiliki.
Na kama mnakumbuka ishawahi kuletwa kesi kule mjengoni na mbunge malima juu ya kile bwana mengi anachokifanya itv.
Anauza sura kwenye media zake muda mwingi kuliko hata mambo muhimu ya kitaifa. Kuliko hata viongozi wa kitaifa. Kuliko hata mkuu wa nchi.
Ni tz peke ake ndo kuna huo ujinga, na ni itv pekee wanaendekeza huo ujinga.
Me nadhani hapo kuna ubinafsi na kutaka kujikwenza mbele ya jamii ili imuone kama mtu special ndani ya nchi hii.
Anatafuta heshima kwa nguvu.
Au ndo mambo ya fursa?