Kwanini Rav4 huota tege?

Kwanini Rav4 huota tege?

Hiyo kitu inaniuzi sana ndo mana nimezikimbia though kuna fundinkaniambia zinarekebishika..

Unafanya kitu kinaitwa kemba...... (sijui inaandikwaje kikoloni).......inakaa vizuri........
Ukiangalia vizuri.......karibia Rav4 zote zipo hivyo........ni kitu kidogo sana hicho na kinarekebishika.........
 
Gari ni matunzo n matengenezo mimi ninatumia toka mwaka juzi napita rough road ambayo ni mbaya sana km 26 ikiwa na rasta gari haijapata matege.rav4 ni imara sana ukiona hivyo jua mwenye nayo hafanyi matengenezo
Kweli na kubadilisha bush mara zinapokuwa zimechoka. Watu wengi hawafanyi full service ya gari zao halafu utasikia wanalalamika gari ni mbovu.
 
Unafanya kitu kinaitwa kemba...... (sijui inaandikwaje kikoloni).......inakaa vizuri........
Ukiangalia vizuri.......karibia Rav4 zote zipo hivyo........ni kitu kidogo sana hicho na kinarekebishika.........
Ili uweze kufanya hivyo ni lazima uhakikishe bush zote ni nzima
 
Hata bito pia old model ....sema tege lake tofauti na la Rav 4 lenyewe limegeukia kwa ndani

attachment.php

Mkuu umenikumbusha mbali sanaa
 
Back
Top Bottom