Tulitarajia kwamba Rais Samia takutana na Watanzania wanaoishi Marekani kwenye ukumbi, lakini hili halikufanyika. Kuna sababu zozote zilizotajwa kwa Rais kutokutana na Diaspora na kujibu baadhi ya maswali tuliyo nayo?
Hana cha kuongea. Na si ajabu angepata watu wachache sana na kwenye issue ya uDC ambayo wao wanataka kutoa special status angeishia kuzomewa tu kwani DIASPORA kwa asilimia kubwa hawataki kusikia huo upuuzi hasa ukitilia maanani Nchi nyingi za Africa zinaruhusu uDC zikiwemo Kenya, Uganda na Rwanda.
Tulitarajia kwamba Rais Samia takutana na Watanzania wanaoishi Marekani kwenye ukumbi, lakini hili halikufanyika. Kuna sababu zozote zilizotajwa kwa Rais kutokutana na Diaspora na kujibu baadhi ya maswali tuliyo nayo?