Kwanini Rais, Mawaziri na Wabunge hawalipi kodi?

Zillion

JF-Expert Member
May 15, 2017
1,358
1,807
Salaam wanajukwaa,

Maandiko matakatifu yanasema "usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwingine"
Naamini wanasiasa wengi ni wacha Mungu na wanayajua mafundisho vyema na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Kumekuwa na msukumo mkubwa kutoka kwa viongozi hasa Rais, mawaziri na wabunge kuwasisitiza wananchi walipe kodi
Cha kushangaza wao katika mishahara, posho na marupurupu hawalipi kodi

Rais alituambia analipwa 9.5mill kwa mwezi
Waziri ni zaidi ya 6mill kwa mwezi
Wabunge zaidi ya 6mill kwa mwezi plus posho zaidi ya laki 3 na marupurupu

Watu hawa licha ya kupata mishara minono wamejitungia sheria ya kuwa exempted kwenye kodi lakini wao ni nambari wani kuwataka wananchi walala hoi, wamachinga mama ntilie, wakulima na wafugaji walipe kodi.
Serikali inapaswa kuongoza kwa mifano.

Hivi katika wabunge 394 kila mbunge akikatwa 50,000 kwenye posho ni Tsh 19700,000
Kwa vikao kumi tu ni Tsh 197,000,000
Wanakaa vikao vingapi kwa mwaka?
Kuna sababu gani za msingi za kuangaika na machinga na mama ntilie anayetafuta $1 kwa siku ili aishi?

This is unfair and unacceptable!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakwambia hawalipi
Salaam wanajukwaa,

Maandiko matakatifu yanasema "usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwingine"
Naamini wanasiasa wengi ni wacha Mungu na wanayajua mafundisho vyema na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Kumekuwa na msukumo mkubwa kutoka kwa viongozi hasa Rais, mawaziri na wabunge kuwasisitiza wananchi walipe kodi
Cha kushangaza wao katika mishahara, posho na marupurupu hawalipi kodi

Rais alituambia analipwa 9.5mill kwa mwezi
Waziri ni zaidi ya 6mill kwa mwezi
Wabunge zaidi ya 6mill kwa mwezi plus posho zaidi ya laki 3 na marupurupu

Watu hawa licha ya kupata mishara minono wamejitungia sheria ya kuwa exempted kwenye kodi lakini wao ni nambari wani kuwataka wananchi walala hoi, wamachinga mama ntilie, wakulima na wafugaji walipe kodi.
Serikali inapaswa kuongoza kwa mifano.

Hivi katika wabunge 394 kila mbunge akikatwa 50,000 kwenye posho ni Tsh 19700,000
Kwa vikao kumi tu ni Tsh 197,000,000
Wanakaa vikao vingapi kwa mwaka?
Kuna sababu gani za msingi za kuangaika na machinga na mama ntilie anayetafuta $1 kwa siku ili aishi?

This is unfair and unacceptable!





Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawaziri na wabunge hawalipi kodi na hawatakaa walipe kodi kwasababu kuna wapiga debe na wauza karanga wanakubali kulipishwa kodi ya 20k kwa kudanganyiwa vitambulisho vya wamachinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wanajukwaa,

Maandiko matakatifu yanasema "usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwingine"
Naamini wanasiasa wengi ni wacha Mungu na wanayajua mafundisho vyema na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Kumekuwa na msukumo mkubwa kutoka kwa viongozi hasa Rais, mawaziri na wabunge kuwasisitiza wananchi walipe kodi
Cha kushangaza wao katika mishahara, posho na marupurupu hawalipi kodi

Rais alituambia analipwa 9.5mill kwa mwezi
Waziri ni zaidi ya 6mill kwa mwezi
Wabunge zaidi ya 6mill kwa mwezi plus posho zaidi ya laki 3 na marupurupu

Watu hawa licha ya kupata mishara minono wamejitungia sheria ya kuwa exempted kwenye kodi lakini wao ni nambari wani kuwataka wananchi walala hoi, wamachinga mama ntilie, wakulima na wafugaji walipe kodi.
Serikali inapaswa kuongoza kwa mifano.

Hivi katika wabunge 394 kila mbunge akikatwa 50,000 kwenye posho ni Tsh 19700,000
Kwa vikao kumi tu ni Tsh 197,000,000
Wanakaa vikao vingapi kwa mwaka?
Kuna sababu gani za msingi za kuangaika na machinga na mama ntilie anayetafuta $1 kwa siku ili aishi?

This is unfair and unacceptable!





Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wakuu ni kweli hawa watu hawalipi kodi. Maana sielewi wengine wanasema wanalipa wengine wanasema hawalipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanalipa ila kuna kaupendeleo kwenye kununua gari
Huwa hawalipi ushuru wakinunua gar pale wanapoingia bungeni
 
umekuwa na msukumo mkubwa kutoka kwa viongozi hasa Rais, mawaziri na wabunge kuwasisitiza wananchi walipe kodi
Cha kushangaza wao katika mishahara, posho na marupurupu hawalipi kodi


Wao ni wenye nchi na wewe ni mwananchi
 
Back
Top Bottom